Katavi: Mwalimu wa Mafundisho akamatwa kwa kulawiti Watoto wanne

Katavi: Mwalimu wa Mafundisho akamatwa kwa kulawiti Watoto wanne

Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.

Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.

"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," amesema Makame.

"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.

Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
Huyu jamaa awe chakula ya nyapara mademu wa buku wamejaa unapata UTI unatibiwa kwa ten maisha yanaendelea.
 
1.sabuni kipande kikubwa jero
2.lotion kubwa ya Nivea buku 9,unatumia miezi miwili
3.mafuta ya baby care kopo kubwa haifiki buku 3
4.mbunye nzuri kabisa ni elfu kumi usiku mzima ukiichukua mida mibovu club
5.kasulu,kibondo na vijiji vingine unapewa mke kwa gunia saba za mahindi
#Kupanga ni kuchagua
Japo kwa kiongozi wa dini kamahuyu inajulikana jambo sahihi lililompasa kufanya, lakini kinacho shangaza hata kama ameamua kufanya dhambi ndio aamue kuwanajisi watoto!? hayo yote hajayaona?
 
Tukubaliane kwanza, siyo dini bali baadhi ya wafuasi wa hizo dini.
Hili lipo wazi ila wengine hutumia habari kama hizi, kama fursa ya kubeza dini.

Mbona wapo watu ambao hawana dini na wanafanya vitendo kama hivi au vichafu zaidi ya hivi, hapo napo wanasemaje?
 
Japo kwa kiongozi wa dini kamahuyu inajulikana jambo sahihi lililompasa kufanya, lakini kinacho shangaza hata kama ameamua kufanya dhambi ndio aamue kuwanajisi watoto!? hayo yote hajayaona?
Mkuu,mimi nahisi hawa jamaa kuna tatizo la ki akili,sio bure,
 
Hivi hizi dini (Christian, Muslims etc) mbona zina haya mambo sana ya ulawiti kwa watoto wadogo? ila ukiwakuta madhabauni huwezi kudhania kabisa.
Swala la ulawiti ni la mtu binafsi, dini haihusiki na ulawiti.
 
Ni tabia na uamuzi wa mtu mwenye fahamu zake. Sio dini. Mazingira yoyote akiwapata wahanga wake atawadhuru tu, kama ni mwalimu darasani au hata mwengine mtaani.
 
Wakatoliki kama kawaida yao kulawiti watoto.

Ulawiti wa watoto ndio signature ya wakatoliki.

Vijana wengi sana wanaofanya kazi kwenye altare na wengine kufikia upadri hua wengi wamelawitiwa na mapadri, katekista, waalimu wa komunio na hata Askofu.

Ukatoliki na ulawiti watoto ni sawa na samaki na maji.
Utakuwa ushawahi Kulawitiwa huko na WA Katoliki sio bure
 
Sio christian, unawaingiza wakristo wote kwenye makosa ya wakatoliki.

Wakatoliki ulawiti ndio kazi yao. Hao wakristo wengine unawaonea bure ila wakatoliki hiyo ndio identity yao.
Ushawahi kupigwa Para na Wakatoliki Mara Ngapi Kiongozi ?
 
Wapitishe sheria tu kuna baadhi za kazi asipewe mtu mpaka AOE/AOLEWE yaani awe kwenye ndoa mambo gani? Sasa hayo
 
Mwalimu wa dini? Hahahaha, jamaa kaona asiachwe nyuma, yaani viongozi wafaidi peke yao weeee weeeeee, hii hatari sana,
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Mwalimu kafundisha kwa vitendo🤣
Hakuna jipya hapo
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.

Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.

"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," seamesema Makame.

"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.

Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
Sex education kuanzia wtt wa kindergarten. Lazima kuwaelimisha vitu kuviripoti ni vibaya na vya sio kawaida
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.

Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.

"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," amesema Makame.

"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.

Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
Asante Mungu haya mambo hajayafanya muislam tungrshambuliwa hadi tukome. Na angekuwa kafanya ustaadh kesi ingechukua wiki tu angefungwa lakini kwa huyo itamiliza miaka na kuachiwa huru kama tule padri aliyetia mimba kident kule moshi
 
Back
Top Bottom