Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
baby unagawa asali yangu bureðŸ˜Angekuja kwangu ningempea bureeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baby unagawa asali yangu bureðŸ˜Angekuja kwangu ningempea bureeee
Huyu jamaa awe chakula ya nyapara mademu wa buku wamejaa unapata UTI unatibiwa kwa ten maisha yanaendelea.Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.
Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.
"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," amesema Makame.
"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.
Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
Tukubaliane kwanza, siyo dini bali baadhi ya wafuasi wa hizo dini.Hivi hizi dini (Christian, Muslims etc) mbona zina haya mambo sana ya ulawiti kwa watoto wadogo? ila ukiwakuta madhabauni huwezi kudhania kabisa.
Japo kwa kiongozi wa dini kamahuyu inajulikana jambo sahihi lililompasa kufanya, lakini kinacho shangaza hata kama ameamua kufanya dhambi ndio aamue kuwanajisi watoto!? hayo yote hajayaona?1.sabuni kipande kikubwa jero
2.lotion kubwa ya Nivea buku 9,unatumia miezi miwili
3.mafuta ya baby care kopo kubwa haifiki buku 3
4.mbunye nzuri kabisa ni elfu kumi usiku mzima ukiichukua mida mibovu club
5.kasulu,kibondo na vijiji vingine unapewa mke kwa gunia saba za mahindi
#Kupanga ni kuchagua
Hili lipo wazi ila wengine hutumia habari kama hizi, kama fursa ya kubeza dini.Tukubaliane kwanza, siyo dini bali baadhi ya wafuasi wa hizo dini.
Mkuu,mimi nahisi hawa jamaa kuna tatizo la ki akili,sio bure,Japo kwa kiongozi wa dini kamahuyu inajulikana jambo sahihi lililompasa kufanya, lakini kinacho shangaza hata kama ameamua kufanya dhambi ndio aamue kuwanajisi watoto!? hayo yote hajayaona?
Swala la ulawiti ni la mtu binafsi, dini haihusiki na ulawiti.Hivi hizi dini (Christian, Muslims etc) mbona zina haya mambo sana ya ulawiti kwa watoto wadogo? ila ukiwakuta madhabauni huwezi kudhania kabisa.
Utakuwa ushawahi Kulawitiwa huko na WA Katoliki sio bureWakatoliki kama kawaida yao kulawiti watoto.
Ulawiti wa watoto ndio signature ya wakatoliki.
Vijana wengi sana wanaofanya kazi kwenye altare na wengine kufikia upadri hua wengi wamelawitiwa na mapadri, katekista, waalimu wa komunio na hata Askofu.
Ukatoliki na ulawiti watoto ni sawa na samaki na maji.
Enheee, tuelezee walivyokutendaWAKATOLIKI noma!
Ushawahi kupigwa Para na Wakatoliki Mara Ngapi Kiongozi ?Sio christian, unawaingiza wakristo wote kwenye makosa ya wakatoliki.
Wakatoliki ulawiti ndio kazi yao. Hao wakristo wengine unawaonea bure ila wakatoliki hiyo ndio identity yao.
Huyu nae katuabisha wakristo daaah, Katavi kuna machangu wengi alishindwa kuhonga kwani au domo zege khaaa
Dini haziwezi kufanya hivyo na hazina vimikia vya kufanyia hivyo.Hivi hizi dini (Christian, Muslims etc) mbona zina haya mambo sana ya ulawiti kwa watoto wadogo? ila ukiwakuta madhabauni huwezi kudhania kabisa.
Sex education kuanzia wtt wa kindergarten. Lazima kuwaelimisha vitu kuviripoti ni vibaya na vya sio kawaidaJeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.
Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.
"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," seamesema Makame.
"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.
Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
Asante Mungu haya mambo hajayafanya muislam tungrshambuliwa hadi tukome. Na angekuwa kafanya ustaadh kesi ingechukua wiki tu angefungwa lakini kwa huyo itamiliza miaka na kuachiwa huru kama tule padri aliyetia mimba kident kule moshiJeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.
Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.
"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," amesema Makame.
"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.
Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.