Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Jamaa alizidiwa na aibuWAKATOLIKI noma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alizidiwa na aibuWAKATOLIKI noma!
Angekuja kwangu ningempea bureeeeShuaini zake,natamani asipelekwe mahakamani bali moja kwa moja kwenye kitanzi
Halafu unakuta Mwaafrika anashangaa Wazungu wanaacha kwenda Kanisani. Ukijua kwa undani historia za hizi taasisi za dini utapata taabu kwenda kanisani na Msikitini.Hivi hizi dini (Christian, Muslims etc) mbona zina haya mambo sana ya ulawiti kwa watoto wadogo? ila ukiwakuta madhabauni huwezi kudhania kabisa.
Afungwe maisha huyoJeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.
Kuna popote huo Ukatoliki unafundisha ushenzi kama huo?Wakatoliki kama kawaida yao kulawiti watoto.
Ulawiti wa watoto ndio signature ya wakatoliki.
Vijana wengi sana wanaofanya kazi kwenye altare na wengine kufikia upadri hua wengi wamelawitiwa na mapadri, katekista, waalimu wa komunio na hata Askofu.
Ukatoliki na ulawiti watoto ni sawa na samaki na maji.
Wala hajaaibisha wakristo, kwa wakatoliki hilo sio jambo la ajabu kulawiti watoto, hiyo ni moja wapo ya ibada.Huyu nae katuabisha wakristo daaah, Katavi kuna machangu wengi alishindwa kuhonga kwani au domo zege khaaa
Ni mbaya MNOJeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.
Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.
"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," amesema Makame.
"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.
Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
Hizi cases zimekua common sana kwenye ukatoliki, huku Afrika bado mambo yanawekwa chini ya kapeti ila ukweli siku ukijulikana hali ni mbaya zaidi ya ulaya.Kuna popote huo Ukatoliki unafundisha ushenzi kama huo?
Kwanini isiwe "Wanaume washenzi kama kawaida yao kulawiti watoto"
Hivi hapo tatizo ni Ukatoliki au ushenzi tu wa huyo mtu?!
Hiki kitu Ni kibaya .Viongozi wa Dini Ni Mfano wa Mambo mema sio huo ushetaniJeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.
Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.
"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," amesema Makame.
"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.
Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
Usimsingiziye shetani,Shetani amekuja juu sana kipindi hiki, hadi makanisani na misikitini
Mi naombaAngekuja kwangu ningempea bureeee
NakaziaSubiri povu hapa
Job TrueAisee
KabisaWAKATOLIKI noma!
Tafuta Pa Kukimbilia Kama BurundiDuh,ngoja nisubirie ligi ianze
Ova