Katavi: Mwalimu wa Mafundisho akamatwa kwa kulawiti Watoto wanne

Katavi: Mwalimu wa Mafundisho akamatwa kwa kulawiti Watoto wanne

Hadi Sasa Nimepokea Sakramenti Zote Kama Mlei katika Kanisala Kristo Moja Takatifu Katoliki la Mitume La Kimisionari, sijawahi kufundishwa kulawiti Wala kuzini.
Nimezijua Amri za Mungu ningali mdogo.
Nitendapo Dhambi isihusianishwe na Mafundisho ya Imani Katoliki.

Huu ni ushahidi wangu. Nakushukuru Mungu wangu Kunijalia Imani Hii, Milele Siikani.
 
Mungu awape Uvumilivu na Utulivu Wakatoliki wote kwa kipindi hiki cha fedhea. Wahenga walisema ukivuliwa nguo chutama

Duh jamaa katuhaibisha sana,ikithibitika mahakama imfunge maisha huyo jamaa
pumbavu sana
Jamani MamaKanisa embu muwe mnawafanyia vetting ya kutosha hawa makatekista ikiwezekana wawa wanawake tu
 
Wakatoliki kama kawaida yao kulawiti watoto.

Ulawiti wa watoto ndio signature ya wakatoliki.

Vijana wengi sana wanaofanya kazi kwenye altare na wengine kufikia upadri hua wengi wamelawitiwa na mapadri, katekista, waalimu wa komunio na hata Askofu.

Ukatoliki na ulawiti watoto ni sawa na samaki na maji.

Nakupinga kwa nguvu zote na ushindwe kwa jina la Yesu
 
Huyo mwalimu wa Mafundisho ni Padri?
Maana hizi kesi za ulawiti Katoliki zimekuwa nyingi kila kona ya dunia.
Kwa sasa walimu wengi wa mafundisho ni makatekista wanakuwa ni walei waliosomea elimu ya dini kwa kiasi fulani.
Nakumbuka enzi zetu mafundisho (sunday school) tulikuwa tunafundishwa na masista tu, huu utaratibu wa makatekista ni wa kipindi hiki cha kuanzia 2000s
 
Kwa sana walimu wengi wa mafundisho ni makatekista wanakuwa ni walei waliosomea elimu ya dini kwa kiasi fulani.
Nakumbuka enzi zetu mafundisho (sunday school) tulikuwa tunafundishwa na masista tu, huu utaratibu wa makatekista ni wa kipindi hiki cha kuanzia 2000s
Bora wangeendelea na utaratibu wa masista,hawa mapadri wanafanya umafia sana na mbaya zaidi ikigundulika wanaficha
 
Hawa walimu wanajidai kufundisha watoto dini ni mapervert na mapedophile watupu. Tunahitaji ushahidi gani?
 
1.sabuni kipande kikubwa jero
2.lotion kubwa ya Nivea buku 9,unatumia miezi miwili
3.mafuta ya baby care kopo kubwa haifiki buku 3
4.mbunye nzuri kabisa ni elfu kumi usiku mzima ukiichukua mida mibovu club
5.kasulu,kibondo na vijiji vingine unapewa mke kwa gunia saba za mahindi
#Kupanga ni kuchagua
 
Hivi ni vitendo vya kishenzi na ni aibu kubwa vinapofanywa na vingozi wa dini.
 
Back
Top Bottom