Quran, 6:108--Tatizo akifanya muislam inahusishwa dini ila mkatoliki hamtaki ukatoliki wake uhusishwe, mbona mapadri hawaoi na hakuna sehemu biblia imeandika wasioe?
Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliyo kuwa wakiyatenda
Ulawiti hauna dini upo kila mahali mashuleni, Mitaani, Jela, Madrasa, Misikitini na hata Kanisani . Ni hulka mbovu tu ya baadhi ya wanajamiii...!Wakatoliki kama kawaida yao kulawiti watoto.
Ulawiti wa watoto ndio signature ya wakatoliki.
Vijana wengi sana wanaofanya kazi kwenye altare na wengine kufikia upadri hua wengi wamelawitiwa na mapadri, katekista, waalimu wa komunio na hata Askofu.
Ukatoliki na ulawiti watoto ni sawa na samaki na maji.
Si angeenda mtaa wa fisi kujiopolea machangu aiseeHuyu nae katuabisha wakristo daaah, Katavi kuna machangu wengi alishindwa kuhonga kwani au domo zege khaaa
Mapepo kabisaHivi hizi dini (Christian, Muslims etc) mbona zina haya mambo sana ya ulawiti kwa watoto wadogo? ila ukiwakuta madhabauni huwezi kudhania kabisa.
Meseji sentiAngalau angalau ukisema Wakatoliki ingawaje pia sio sahihi, lakini ukisema Ukatoliki ndo SIO SAHIHI KABISA!!
If you don't mind, lemme ignore you, please!!
ntajuaje sasa jamani mi nlikuwepo???Kwani uongo kilichotokea?
Labda aliona makasisi wanaolalamikiwa kwingineko duniani hawashughulikiwi naye akafichamia humoJeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.
Tena ukimpa mtumishi wa Mungu unapata thawabu.Angekuja kwangu ningempea bureeee
Unakusudia nini ?Hivi hizi dini (Christian, Muslims etc) mbona zina haya mambo sana ya ulawiti kwa watoto wadogo? ila ukiwakuta madhabauni huwezi kudhania kabisa.
Hadi Sasa Nimepokea Sakramenti Zote Kama Mlei katika Kanisala Kristo Moja Takatifu Katoliki la Mitume La Kimisionari, sijawahi kufundishwa kulawiti Wala kuzini.
Nimezijua Amri za Mungu ningali mdogo.
Nitendapo Dhambi isihusianishwe na Mafundisho ya Imani Katoliki.
Huu ni ushahidi wangu. Nakushukuru Mungu wangu Kunijalia Imani Hii, Milele Siikani.
We hujamuelewa kwani?anakusudia kuongea fact.Unakusudia nini ?
Je iman Yako inahusika na wewe kutolewa usichana bila kuolewa au ni nafsi yako mwenyewe?Roman Catholic,Roman Catholic πππππππππππππ
Papa alishaomba radhi kwa hili...vipi una chochote Unataka niambia ndugu?Je iman Yako inahusika na wewe kutolewa usichana bila kuolewa au ni nafsi yako mwenyewe?