Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mwanafunzi wa Darasa la Tatu katika Kijiji cha Uruwila, Wilaya ya Mpanda, Mkoa wa Katavi amejinyonga kwa kutumia sweta lake alipokuwa amelala chumbani kwake.
Akitoa taarifa ya tukio hilo Januari 03. 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Kasta Ngonyani, amesema tukio hilo limetokea mnamo January 2, 2025 Majira ya Saa tisa alasiri.
Ameeleza kuwa Matrida Kalibi aligundua kujinyonga kwa mtoto wake Christina Kalilo (8) mwanafunzi wa Darasa la tatu.
Ngonyani ameongeza kuwa mwanafunzi huyo amejinyonga kwa kutumia sweta lake kwenye chumba alichokuwa amelala.
Taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi imeeleza kuwa chanzo cha kujinyonga kwa Mwanafunzi huyo ni kutonunuliwa nguo za Sikuuu ya Chrismas na mwaka mpya.
PIA SOMA
- Dodoma: Mtoto ajinyonga kwa kukosa nguo za Sikukuu
Akitoa taarifa ya tukio hilo Januari 03. 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Kasta Ngonyani, amesema tukio hilo limetokea mnamo January 2, 2025 Majira ya Saa tisa alasiri.
Ameeleza kuwa Matrida Kalibi aligundua kujinyonga kwa mtoto wake Christina Kalilo (8) mwanafunzi wa Darasa la tatu.
Ngonyani ameongeza kuwa mwanafunzi huyo amejinyonga kwa kutumia sweta lake kwenye chumba alichokuwa amelala.
Taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi imeeleza kuwa chanzo cha kujinyonga kwa Mwanafunzi huyo ni kutonunuliwa nguo za Sikuuu ya Chrismas na mwaka mpya.
PIA SOMA
- Dodoma: Mtoto ajinyonga kwa kukosa nguo za Sikukuu