Katavi : Rais Samia azalisha ajira za kudumu kwa vijana kupitia mikopo ya asilimia 10

Katavi : Rais Samia azalisha ajira za kudumu kwa vijana kupitia mikopo ya asilimia 10

msuyaeric

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
842
Reaction score
1,197
Vijana wa kikundi cha Kusakizya wilayani Mpanda mkoani Katavi ambao ni wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali kupitia Halmashauri, wameeleza kuwa mkopo huo umewawezesha kupata ajira za kuduma kupitia mradi wa kusindika na kuuza mafuta ya alizeti.

Kwa mujibu Muhasibu wa kikundi cha Kusakizya George Menasj kikundi hicho kilipewa mkopo kwa mara ya kwanza wa Tsh. Milioni 11, na baadaye wakaongezewa mkopo wa Tsh. Milioni 40 ambao umewafanya kununua mashine kubwa zaidi ya kusindika mafuta ya alizeti ambayo ina uwezo wa kukamua tani 2 za mafuta ya alizeti.

Mradi huo kwa sasa umezalisha ajira mbalimbali hasa kwa wanawake na vijana vingine wa Mkoa wa Katavi
 

Attachments

  • VID-20240712-WA0172.mp4
    24.2 MB
  • VID-20240712-WA0172.mp4
    24.2 MB
Ni wastani wa ajira ngapi zimezalishwa kwa utaratibu wa mikopo wilaya nzima? Safi sana
 
Vijana wa kikundi cha Kusakizya wilayani Mpanda mkoani Katavi ambao ni wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali kupitia Halmashauri, wameeleza kuwa mkopo huo umewawezesha kupata ajira za kuduma kupitia mradi wa kusindika na kuuza mafuta ya alizeti.

Kwa mujibu Muhasibu wa kikundi cha Kusakizya George Menasj kikundi hicho kilipewa mkopo kwa mara ya kwanza wa Tsh. Milioni 11, na baadaye wakaongezewa mkopo wa Tsh. Milioni 40 ambao umewafanya kununua mashine kubwa zaidi ya kusindika mafuta ya alizeti ambayo ina uwezo wa kukamua tani 2 za mafuta ya alizeti.

Mradi huo kwa sasa umezalisha ajira mbalimbali hasa kwa wanawake na vijana vingine wa Mkoa wa Katavi
Mmh hii ndio mikopo ambayo nimetoka kulalamikia kuwa tuli apply toka mwaka jana MAY hadi sasa licha mwaka jana huohuo SEPTEMBER kupewa taarifa kuwa taarifa zetu zimepokelewa na ku Assesiwa ila hadi sasa hamna taarifa yoyote ni zaidi ya Mwaka sasa Miezi kadhaa , Vijana wa halmashauri ya Jiji la Dodoma hatujapata wala hamna taarifa zozote Ma team leader wetu ni Afisa maendeleo Vijana ila nae tukimuuliza inaonesha nae hana Taarifa kamili kuhusu hiyo mikopo inatoka lini,

Hapa najiuliza mtu kama umeomba mkopo baada ya kuona biashara yako inaenda kombo alafu ukae Mwaka mzima hapo utaikoa kwel??

KamaMkuu wa Nchi ukipita hapa Au Waziri Mwenye Dhamana tufanyieni wepesi basi vijana wa Dodoma tulioomba mkopo Kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Vijana ajira na watu wenye ulemavu . Hadi sasa ni mwaka na miezi kadhaa bado hatujapata hiyo mikopo licha ya kupewa taarifa tangu mwaka jana kuwa maombi yetu yamekubaliwa.
 
Back
Top Bottom