Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Ha ha ha. Walipewa Ardhi yapata 250 hectares.Katavi University of Agriculture (KUA) ilipata mpaka ithibati ya kutoa Shahada za Awali zaidi ya miaka 5 iliyopita, wakapewa mpaka Ardhi ya kuendeleza. Lakini yaliyobaki Ni historia. Kuna watu watafika Motoni wamechoka Sana aisee
Turejeshee kumbukumbu, ilianzia wapi? Hapa umetukumbusha mwisho.Katavi University of Agriculture (KUA) ilipata mpaka ithibati ya kutoa Shahada za Awali zaidi ya miaka 5 iliyopita, wakapewa mpaka Ardhi ya kuendeleza. Lakini yaliyobaki Ni historia. Kuna watu watafika Motoni wamechoka Sana aisee
Haya sii yakufurahia ila ni matikisiko, kweli kweliWanataka kufungua na chuo cha BIMA. Graduates wa Insurance IFM wapo mtaani ni madalali [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha
Acha katavi mkuu kuna kingine kule Butiama nao walipewa mpaka makamu mkuu wa chuo Prof. Msafiri.Katavi University of Agriculture (KUA) ilipata mpaka ithibati ya kutoa Shahada za Awali zaidi ya miaka 5 iliyopita, wakapewa mpaka Ardhi ya kuendeleza. Lakini yaliyobaki Ni historia. Kuna watu watafika Motoni wamechoka Sana aisee
Vyuo si vinakusanya pesa? Havina shida. Ila vijana wetu ndo kazi kwaoWanataka kufungua na chuo cha BIMA. Graduates wa Insurance IFM wapo mtaani ni madalali [emoji23][emoji23][emoji23]
Duh 🤣🤣
[emoji23][emoji23]Duh [emoji1787][emoji1787]
Huyo giraffe [emoji3069] anafata nini apo?