Katavi University of Agriculture iliishia wapi?

Katavi University of Agriculture iliishia wapi?

Mkuu hapo ni watu wanatafuta ulaji wa vyeo, vice chancellor, deputy vice chancellor.....hayo maeneo yanatakiwa kuwa na centre za utafiti siyo kuanzisha chuo kipya wakati pale SUA hapajawa utilized at full capacity. Nilisikia na kingine kitajengwa kule Bitiama, sijui Mwl Nyerere University of Agricuture. Huwezi kujenga vyuo vikuu kila pahala, wakati kwenye kazi za field huhitaji watu wengi wenye degree bali wenye certificate na diploma......Badala ya kusisitiza kupanua elimu ya vyuo vya kati, wamekomaa na kuongeza vyuo vikuu......kwa hiyo utaona bongolala kinachotafutwa ni ulaji binafsi wa watu siyo ku address maswala ya msingi.​
Cha Butiama kipo na watumishi washa ajiriwa wanakula mshahara tu bila kazi wote hawapo kituoni kila mtu anafanya mambo yake.!
 
Haya sii yakufurahia ila ni matikisiko, kweli kweli
Ni kweli kabisa. Ila kila nikifikiria tunakoelekea moyo wangu huwa unalipuka kwa hofu. Tanzania kuna jeshi kubwa linatengenezwa na litakuja kuihangaisha sana nchi yetu. Wamachinga+Bodaboda+Wahitimu wasio na ajira. Wewe waache kina mama Samia wadhani wataendelea na usanii wanaofanya kwa muda mrefu. Siku nchi itakapolipuka itakuwa ngumu sana kuirudisha tena kwenye reli.
 
Katavi University of Agriculture (KUA) ilipata mpaka ithibati ya kutoa Shahada za Awali zaidi ya miaka 5 iliyopita, wakapewa mpaka Ardhi ya kuendeleza. Lakini yaliyobaki Ni historia. Kuna watu watafika Motoni wamechoka Sana aisee

View attachment 2002489
Chezea magufuli? Ubabaishaji kweli elimu alikomesha kisha akamalizia kutimua cheti feki.
 
Katavi University of Agriculture (KUA) ilipata mpaka ithibati ya kutoa Shahada za Awali zaidi ya miaka 5 iliyopita, wakapewa mpaka Ardhi ya kuendeleza. Lakini yaliyobaki Ni historia. Kuna watu watafika Motoni wamechoka Sana aisee

View attachment 2002489
Mbona kilishaanza.Jamaa yangu ameajiriwa pale,Kuna Diploma, Upande wa Digrii wanatoa Digrii ya nyuki.Sema hakiitwi Katavi Bali Mizengo pinda Campus,km branch ya SUA.
 
Mbona kilishaanza.Jamaa yangu ameajiriwa pale,Kuna Diploma, Upande wa Digrii wanatoa Digrii ya nyuki.Sema hakiitwi Katavi Bali Mizengo pinda Campus,km branch ya SUA.
Una elimu Kiwango gani? Maana kawaida ya sisi Ngumbaru hua tunaropoka tu
 
Una elimu Kiwango gani? Maana kawaida ya sisi Ngumbaru hua tunaropoka tu
Nashukuru Mkuu Kwa Kunidharau kiasi hicho,Sina haja ya kukwambia Elimu yangu.Hongera yako wewe uliyesoma sana,Mshukuru MUNGU kwa hatua hiyo nzuri.Lkn tumia usomi wako kutuelewesha sisi Wajinga ili tuelewe.
 
Katavi University of Agriculture (KUA) ilipata mpaka ithibati ya kutoa Shahada za Awali zaidi ya miaka 5 iliyopita, wakapewa mpaka Ardhi ya kuendeleza. Lakini yaliyobaki Ni historia. Kuna watu watafika Motoni wamechoka Sana aisee

View attachment 2002489
Kuna ile nyingine huko kwao na Baba wa Taifa kwa madhumuni hayohayo. Profesa Kambarage aliyekuwa SUA nimoja Kati ya wahadhiri hapo. Baba tupate mrejesho wa nini kinaendelea huko.
 
Back
Top Bottom