Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
- Thread starter
- #21
Huo haukosiVp Mgao wa V8 hawakupata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo haukosiVp Mgao wa V8 hawakupata?
tulia wewe!Katavi University of Agriculture (KUA) ilipata mpaka ithibati ya kutoa Shahada za Awali zaidi ya miaka 5 iliyopita, wakapewa mpaka Ardhi ya kuendeleza. Lakini yaliyobaki Ni historia. Kuna watu watafika Motoni wamechoka Sana aisee
View attachment 2002489
Hicho chuo nasikia pesa imepatikana na ujenzi unaendelea nafikiri ndani ya miaka miwili tutaona matokeo.Acha katavi mkuu kuna kingine kule Butiama nao walipewa mpaka makamu mkuu wa chuo Prof. Msafiri.
SWALI MOJA TU: Hivi inawezekana kumchagua Rais wa nchi alafu kukawa na jina la nchi (imagination country) ila nchi yenyewe haipo?.Hicho chuo nasikia pesa imepatikana na ujenzi unaendelea nafikiri ndani ya miaka miwili tutaona matokeo.
Haiwezekani.SWALI MOJA TU: Hivi inawezekana kumchagua Rais wa nchi alafu kukawa na jina la nchi (imagination country) ila nchi yenyewe haipo?.
Kwa Tanzania hii inawezekana, tafuta taarifa za chuo nilichokielezea.Haiwezekani.
Taarifa zipi hizo?Kwa Tanzania hii inawezekana, tafuta taarifa za chuo nilichokielezea.
[emoji23][emoji23][emoji23]ww jamaaa ni shidaaaaHii nchi ni ngumu kikubwa mkono kwenda kinywani na ngono ukisubiria kufa.
Katavi University of Agriculture (KUA) ilipata mpaka ithibati ya kutoa Shahada za Awali zaidi ya miaka 5 iliyopita, wakapewa mpaka Ardhi ya kuendeleza. Lakini yaliyobaki Ni historia. Kuna watu watafika Motoni wamechoka Sana aisee
View attachment 2002489
Acha kuongea uwongo Wewe.Nimesoma SUA,kila mwaka nimeona Kampuni zikija kusaili wahitimu wa pale ili kuwaajiri, mfano Kagera sugar,Mtibwa sugar, Kampuni mbalimbali za Kilimo,Siku hizi wanapeleka wahitimu nje ya nchi km Israel na USA kwaajili ya Internship Kwa mwaka mmoja huku wakilipwa kiasi Cha Dola Saba kwa saa,halafu Wengine huwa wanaajiriwa huko huko.SUA wanaomaliza hawana ajira wala hawakubaliki, nstaka tena katavi?
Naendelea kujifunza siyo kila mtu ni great thinker jf.Taarifa zipi hizo?
Sioni taarifa ya kutafuta. Nilichofanya ni kitoa update ya kinachoendelea huko. Sina zaidi.Naendelea kujifunza siyo kila mtu ni great thinker jf.
Kwenye replies zangu ndani ya huu uzi click pale kwenye jina/vatar yangu zitakupeleka mpaka nilipoanzia.
SUA hii hii?Acha kuongea uwongo Wewe.Nimesoma SUA,kila mwaka nimeona Kampuni zikija kusaili wahitimu wa pale ili kuwaajiri, mfano Kagera sugar,Mtibwa sugar, Kampuni mbalimbali za Kilimo,Siku hizi wanapeleka wahitimu nje ya nchi km Israel na USA kwaajili ya Internship Kwa mwaka mmoja huku wakilipwa kiasi Cha Dola Saba kwa saa,halafu Wengine huwa wanaajiriwa huko huko.
Ndiyo.Hata mwaka huu walikuja.Wewe ulimaliza lini SUA??.SUA hii hii?