KATAVI: Wananchi walia upandishwaji nauli kiholela

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259


Wanachi mkoani Katavi, wameiomba Serikali kuingilia kati tabia ya madereva wa vyombo vya usafiri mkoani humo kupandisha nauli bila kufuata utaratibu uliowekwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA).

Tabia hiyo ya kupandisha bei inadaiwa kuanza siku za hivi karibuni baada ya serikali kutangaza bei elekezi ya mafuta ya petroli na dizeli.

CHANZO: AZAM TV
 
Chini ya CCM mwananchi hana mtetezi
 
Kwani bei za mafuta si zimepanda ? Lazima tugawane maumivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…