Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
HahahahaMbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Sio tishio au sababu madhara yake au ugunduaji hayaonekani kwa macho?Usagaji sio tishio sana kama ushoga
Je wadada nao wana katazwa kulala wa wili wawili ?/kama katazo hili lina wa exclude wadada basi huu ni unyanyasaji wa kijinsiaNi jumatatu tulivu tenaaa.
Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge,guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.
Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Na kwa wanaume na wanawake waofanya hayo hayo hakuna inya?Wamechoka kufua Inya
Watu wametoka huko mpaka kufika hapo, hawajui usalama wao!?mkipakuana je vidume hatuwez kulala wawili, iyo ni kwa usalama wenu
ka AC kwa ,mbali kale ka ubaridi mnaweza kupakuana na ule uchomvuWatu wametoka huko mpaka kufika hapo, hawajui usalama wao!?duni
Ni la wanaume tu ndo nashangaa.Je wadada nao wana katazwa kulala wa wili wawili ?/kama katazo hili lina wa exclude wadada basi huu ni unyanyasaji wa kijinsia
utajuaje sasa wengine ndugu wana safari zao.Je kama watu wana nia ya kubanduana
Ova
Ngumu wenye gesti Lodge nao kujua kama ni ndugu mzeeutajuaje sasa wengine ndugu wana safari zao.
chuo tunabebana mpaka wanne au tunapanga room wawili tunashare kodi mbona hamna tatizo?? ni jamii imekua na mawazo mabaya kuhusu wanaume kiasi hiki?mkipakuana je vidume hatuwez kulala wawili, iyo ni kwa usalama wenu
labda kama mmoja wenu ana hizo tabia bila hivo haiwezekani.ka AC kwa ,mbali kale ka ubaridi mnaweza kupakuana na ule uchomvu