Katazo la kulala wanaume wawili Lodge

Katazo la kulala wanaume wawili Lodge

wanasema ukishamwagia shahawa kwenye Duburi lake zinabadilika kuwa bacteria ambao watamnyevua muda wote so anarudia tena na tena
Aisee sasa hawa mabinti wa siku hizi wanaopelekwa kwa mpalange na wengine halafu wanakuja olewa na wengine, hv huko kwenye ndoa inakuaje
 
Kwa kweli KABWILI ameharibu mambo mengi sana.
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Unabana matumizi kwa kulala na wanaume wenzio? Huu ni ishoga, kama unataka kubana matumizi so ulale stendi?
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Sababu ni kwamba, mnapoingia jinsia mbili tofauti mnachukuliwa kama mtu na mkewe (familia), hata kama sio hivo,

ambapo ni lazma mtashea kitanda kimoja na malipo yatakuwa ni ya mtu mmoja, maana kitanda ni kimoja na mmeshea.

Msiposhea au kama vitanda ni viwili itabidi mlipie ya vitanda viwili au ya watu wawili kama kawaida.

Pia kama mtakua wanaume zaidi ya mmoja kila mmoja atalipia kitanda chake. Maana huna la kujitetea eti kwamba mshee huyo ni mkeo.

Mara nyingi kila chumba kitanda ni kimoja, hawawezi kubali mshee, maana wanaangalia maslahi yao.

Wanataka kila mmoja alipie kitanda chake ili wapate mkwanja mrefu, na sio kama jinsi ninyi mnavofikiria eti sababu ya maswala ya kishoga.
 
Je wadada nao wana katazwa kulala wa wili wawili ?/kama katazo hili lina wa exclude wadada basi huu ni unyanyasaji wa kijinsia
Wanakataza pia.

Nilishaenda ku'book room kwa ajili ya mtu mwingine nikamchukua rafiki angu anisindikize.
Yule receptionist akanambia si mnafahamu hairuhusiwi jinsia moja ndani ya chumba kimoja?
Nilimwambia tu na'book room.
 
hii iko sawa kabisa, midume miwili mtalalaje chumba kimoja....kila kidume kilale chumba chake.....safi sana hii..
Mnaweza kulala chumba kimoja lakini vitanda tofauti.

Hizi room ndio zinaitwa double na mnaokowa gharama, kuchukuwa double si sawa na gharama ya vyumba viwili.

Kulala kitsnda kimoja wanaume ni umadkini tu lakini siyo powa kabisa.

Jitu lingine limezoea kulala na mwanamke usishangae usiku bila yeye kukusudia likakukumbati likadhani yupo na demu.

Na kwa watoto ni hatari ukipata mgeni nyumbani usimlaze na mtoto wako wa kiume ni bora umchukulie chumba gesti ya jirani maana kuna watoto wameanzishwa ushoga kwa style hii ya kulazwa kitanda kimoja na dume lililobarehe.
 
Daaah hii issue ya ushoga imekuwa kubwa sana hapa nchini
 
Hiyo ni biashara kama ilivyo biashara nyingine, anahitaji mapato. sasa jinsi moja mkilala wawili si mtalipia room 1 badala ya 2?
Katazo si kwa wanaume tu bali hata kwa wanawake.
Ingekuwa ni vinginevyo basi kusingekuwa na rooms za double.
 
Binafsi naona hili katazo ni unyanyasaji kwenye maisha ya utafutaji....sheria zingine wananchi wawe wanahusishwa kikamilifu zinapotungwa.
Kama kuna katazo la aina hiyo basi ni kwa ajili ya biashara. Unapopanga chumba kimoja unalipia huduma ya mtu mmoja hivyo akiongezeka mwengine basi inatakiwa alipe. Kumbuka huduma siyo kulala tu. Kuna matumizi ya maji, vyoo nk. Labda mtu anaweza kuuliza, mbona mwanamme akienda na mwanamke hawakatazi? Jibu ni kuwa uzoefu unaonyesha wateja wanaolala nyuma za wageni wengi sababu kubwa huwa wanawake. Hivyo basi kukataza mtu kulala na mwanamke ingekuwa ni kama kuua biashara.
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Umelisema la wanaume tu, je mwanaume kuingia na wanawake wawili chumba kimoja?

Maana kuna vyumba vinaitwa vya "double", ikimaanisha kuna vitanda viwili ndani.

Sasa watu watatu ama wanne wa jinsia tofauti kujiswenka chumba ki1 hairuhusiwi pia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua hata nyumban kwako akija mgeni wa kiume usimlaze na mtoto wako wa kiume chumba kimoja
mtoto anaweza kuanza kuchezewa taratibu usiku anaanza hata kupigwa mate na mgeni lakin akawa muoga kutoa taarifa kwa kwa wazaz mwsho wa siku jamaa anaingiza kichwa tu mwsho anakuharibia mtoto
Stori nying za watoto walio lawitiwa wamefanyiw hivyo na wageni mjomba, bamdogo na ndugu wengne wanaowekwa karibu nao hasa kulazwa chumba kimoja
 
Back
Top Bottom