Katazo la kulala wanaume wawili Lodge

Katazo la kulala wanaume wawili Lodge

Mnaweza kulala chumba kimoja lakini vitanda tofauti.

Hizi room ndio zinaitwa double na mnaokowa gharama, kuchukuwa double si sawa na gharama ya vyumba viwili.

Kulala kitsnda kimoja wanaume ni umadkini tu lakini siyo powa kabisa.

Jitu lingine limezoea kulala na mwanamke usishangae usiku bila yeye kukusudia likakukumbati likadhani yupo na demu.

Na kwa watoto ni hatari ukipata mgeni nyumbani usimlaze na mtoto wako wa kiume ni bora umchukulie chumba gesti ya jirani maana kuna watoto wameanzishwa ushoga kwa style hii ya kulazwa kitanda kimoja na dume lililobarehe.

binafsi hata kuwe na vitanda double, kila mtu alale kivyake.... kama hakuna option nitalala na jeans boxer ndani kudadeki....

unaweza kukuta umeshakojolewa halafu ukaombwa samahani hahahaha
 
Ukishakua shoga there's no turning back. Huwezi sema umewahi kupulizwa mara moja tu ukaacha. Unakua mboga maisha yako yote

Ila unaweza kuwa lesbian na ukarudi kuwa straight fresh tu na hamna mtu atashangaa.

That being said, maoni yako yana tija.
Hivi hizi theory mnatoa wapi? Mbona kuna soccer players, musicians, au wanafunzi wa madrasa/seminary za waroma, walikua abused wakiwa vijana wadogo ila bado ni straight? Same to wanawake walibakwa/kulawitiwa wakiwa wadogo ila sio malaya?

Being straight or gay ni mentality sio penetration tu. Otherwise kila aliyewahi ingiliwa jela au boarding schools angekua shoga hii leo.
 
Hivi hizi theory mnatoa wapi? Mbona kuna soccer players, musicians, au wanafunzi wa madrasa/seminary za waroma, walikua abused wakiwa vijana wadogo ila bado ni straight? Same to wanawake walibakwa/kulawitiwa wakiwa wadogo ila sio malaya?

Being straight or gay ni mentality sio penetration tu. Otherwise kila aliyewahi ingiliwa jela au boarding schools angekua shoga hii leo.
Inabidi tupate ufafanuzi wa kitaalam, kwa sababu kuna watu wanasema hata mwanamke akilawitiwa hawezi kuacha mpaka apate medical treatment (kupigwa bomba) sasa najiuliza hii ni kweli. Ina maana hata kama alifanywa bila ridhaa yake hawezi kuacha kufanywa tena?
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Usihofie tangazo hilo, hijabu ndiyo suluhisho, muwenayo safarini ila vilainishi (KY) msibebe.
 
wanasema ukishamwagia shahawa kwenye Duburi lake zinabadilika kuwa bacteria ambao watamnyevua muda wote so anarudia tena na tena
Mwanamke akiingiliwa backdoor siku ya kwanza lazma ataumia mkuu. Hizo sha**wa huwa zinatoka tu akijisaidia au hta akikaa. In fact wengi huwa wanaichukia zaidi unless afanyiwe hivo multiple times azoee ila sio sawa kusema one time ndio hawezi badilika na kuacha.
 
Hivi hizi theory mnatoa wapi? Mbona kuna soccer players, musicians, au wanafunzi wa madrasa/seminary za waroma, walikua abused wakiwa vijana wadogo ila bado ni straight? Same to wanawake walibakwa/kulawitiwa wakiwa wadogo ila sio malaya?

Being straight or gay ni mentality sio penetration tu. Otherwise kila aliyewahi ingiliwa jela au boarding schools angekua shoga hii leo.

Waliokua abused ni different case nadhani tuwaache.

Nadhani sijaeleweka, kwa waliofanya kwa hiari yao sisemi kwamba hawawezi kuacha la hasha, wanaweza kuacha ila lile doa kwa kijana wa kiume linabaki pale pale utaendelea kutambulika kama shoga. Kwa wanawake lesbians linafutika.
 
Inabidi tupate ufafanuzi wa kitaalam, kwa sababu kuna watu wanasema hata mwanamke akilawitiwa hawezi kuacha mpaka apate medical treatment (kupigwa bomba) sasa najiuliza hii ni kweli. Ina maana hata kama alifanywa bila ridhaa yake hawezi kuacha kufanywa tena?
Kunaweza kuwa na ukweli ila ambacho sikubali ni eti mara moja tu ndio mtu hawezi kuwa straight tena. Coz yupo mdada namfahamu kuna siku aliingiliwa na mme wake huko, alinipigia simu analia sana na alichukia mnoo hiko kitendo. Sasa how do u say mdada kma huyo awe addicted na backdoor sex kisa cku hyo moja tu?
 
Waliokua abused ni different case nadhani tuwaache.

Nadhani sijaeleweka, kwa waliofanya kwa hiari yao sisemi kwamba hawawezi kuacha la hasha, wanaweza kuacha ila lile doa kwa kijana wa kiume linabaki pale pale utaendelea kutambulika kama shoga. Kwa wanawake lesbians linafutika.
Mkuu kwanini unaona wanaume kuacha ushoga hawezi ila mdada anaweza? Tofauti ni nini?
 
Ndiyo muandamane kutetea haki yenu yakubaguliwa
 
Wengi wanachukua double ukiona hotel nyingi au lodge zina room vitanda double huko ndio mende na mashoga wanapenda mnajua ni kila mtu kitanda chake kumbe wanalala bed moja jamaa anambandua mwenzake
hahahahaha
 
Aisee sasa hawa mabinti wa siku hizi wanaopelekwa kwa mpalange na wengine halafu wanakuja olewa na wengine, hv huko kwenye ndoa inakuaje
Ndo hivyo wanakupeleka huko, kaka wewe mume ni katika kundi la wasiopendezwa na huo usodoma basi atagawa nje huko kwa watu wake au watoto wa kihuni maana wanawake wa hivyo wanakuwa wameshaharibika.
Kuoa hiki kizazi cha kina Zuchu ni mtihani kweli kweli
 
Mwanamke akiingiliwa backdoor siku ya kwanza lazma ataumia mkuu. Hizo sha**wa huwa zinatoka tu akijisaidia au hta akikaa. In fact wengi huwa wanaichukia zaidi unless afanyiwe hivo multiple times azoee ila sio sawa kusema one time ndio hawezi badilika na kuacha.
Mkuu mwanamke au mwanaume akifanyiwa usodoma na kumwagiwa Shahawa huwa hazitoki zote badala yake hutengeneza bacteria f''lan wanaokula shahawa zilizobaki m-kunduni so hizo shahawa zikiisha humnyevua nyevua mpaka amwagiwe tena ndio vijamaa hutulia maana wanapata chakula chao mwendo huwa ni huohuo.
Labda wapigwe bomba kabla mambo hayajawa mabaya zaidi ila kusema zinatoka zenyewe hapo umefeli
 
Mkuu kwanini unaona wanaume kuacha ushoga hawezi ila mdada anaweza? Tofauti ni nini?

Bado hunielewi. Nasema hivi mwanaume anaweza kuacha ushoga ila akaendelea kutambulika kama shoga. Lile doa halifutiki kwa mwanaume wakati kwa mwanamke lesbian akiamua kuanza kulala na jinsia ME kila mtu anasahau kama aliwahi kuwa lesbian.

Naongelea doa.
 
Kunaweza kuwa na ukweli ila ambacho sikubali ni eti mara moja tu ndio mtu hawezi kuwa straight tena. Coz yupo mdada namfahamu kuna siku aliingiliwa na mme wake huko, alinipigia simu analia sana na alichukia mnoo hiko kitendo. Sasa how do u say mdada kma huyo awe addicted na backdoor sex kisa cku hyo moja tu?
Pona yake ni kama hajakojolewa huko kwenye kinyeo il kama kakojolewa na hakupata matibabu ya kusafishwa lazima chezo litaendelea
 
Yes huo ndio ukweli na sijui kwa nini mara nyingi dume linalopulizwa kuacha ni kazi sana lakini madem wasagaji wanaacha kirahisi tu sijui tatizo
Madem hawamwagiani shahawa kwenye ****.Ila dume linammwagia shahawa na zile shahawa zinaenda kuganda mule ndani afu zinaanza kuwasha washa,sasa unadhani ataacha? Sie kwetu kuna msemo usemao AFIRWAE HAFIRUKI.
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Sioni mantiki ya kuweka katazo kwa kweli. Ni swala la kutaka fedha zaidi.
Ndio maana kuna hoteli room 1 ina vitanda 2 na kama kuna hisia hizo hata wakichukua vyumba tofauti na wana nia zaoje kuna wa kuwazuia si wanatembeleana tu nini shida.

Huu ukiritimba unatakiwa kuachwa watu wana safari zao ndio maana ya kuandika utokako na uendako.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Je wadada nao wana katazwa kulala wa wili wawili ?/kama katazo hili lina wa exclude wadada basi huu ni unyanyasaji wa kijinsia
Nimeona nyumba za kulala wageni kadhaa piahuwa wanazuia wadada kulala pamoja. Ila sababu bado sijaijua, maana mara nyingi lengo huwa ni kujibana kutokana na few ufinyu wa bajeti
 
Back
Top Bottom