Katazo la kulala wanaume wawili Lodge

Katazo la kulala wanaume wawili Lodge

Mwanaume ukifanyiwa hivi? heee!! uwe makini sana!! hasa Bongo!! kuna baadhi ya wamiliki wa Guest za siku hizi (hasa Darisalama!! ) ni wafiraji wakubwa hasa Manispaa ya Temeke! na Kinondoni!! ni Miradi ya watu!! utafirwa wewe mpaka ulie pooo!!

halafu unapewa kadose ka madawa ya kulevya!! utalala hapo hata siku tatu! kadiri unavo kaa unapunguziwa bei!! siku ukifika pande hizi fanya ivi wakiwakomalia saana!! waambieni hivi tuta lala wote!! lkn tutaacha milango, na taa! wazi! tena ivi pia mnalala kwa zamu ili kulinda mali zenu!

wanaume wanawindwa sana kwa sababu wengi ni Mabikra kitu intact hakijaguswa!! hasa wa Mikoani! wanapendwa sana! na mara nyingi hawajuagi chochote!! akipigwa spray ya cocain anaona ni guest classic huduma kwa wateja! tena wanapewa kujipiga wenyewe wakidhania ni perfume za kawaida!!

km ukilala pekee chakula utapew bei poaa!! na wakisha kupakua, nyaa inapigwa EX pel faster!! kitu kinakuwa km kawaida tu!! ila utasikia kamuwasho kwa mbaali!! utaenda kuharisha kidogo lkn salama! utasema tu labda chips ulizo kula jana!! kadri unavolala hapo!! unalalishwa! wao wanarecord mikanda tu!!

zIle picha ni Biashara tamu sana, tena yenye kipato mwanana Ulaya, China Taiwani nk! Faster! siku ikitokea bahati ukaenda kusoma,huko au Biashara!! yaaani utashangaa wewe ulivo maarufu!

wewe!! Air port utaona tu!! unalakiwa kwa mashamu shamu! usijue nini maana yake! kila kitu bureee! mara ivi mara vile ilimaradi tu wanakujua!

ndo maana siku hizi huko walitoa viza!! kwa mtanzania na nchi nyingine za kiafrica !!! lengo mojawapo lingine ni hilo! watanzania wengi hamjui kwa nini visa ziliondolewa kwa baadhi ya nchi!! hivi ulisha wahi jiuliza ki guest bubu! kiko chocho lkn safiii! kinapiaga ndefu miaka nenda miaka rudi?

Tangu ukiwa shule mpaka leo kanastawi tu!! na mmiliki ana piga ndefu mara anunue mafuso, mara afungue biashara !! na ukishaonjwa tu baaasi weye ni kwishne!! umesha pigwa chapa! sasa endeleeni kuwaendekeza wamiliki wa hayo makitu!

Jiulize tu km mtu mwenye akili timamu kwa nini ni ME tyuuuuu!! why!! ...Ok! km mashuka wamenyea kwa nini usiwapeleke polisi bana??! au lazimisha wayafue! au wanunue mapya! si kuna ukaguzi kabla na baada ya kukabidhi chumba bana?

siku hizi kuna surveylance Camera kwa nini wasiwekewe kwa watu wanao tia shaka/ mashaka? km hao? me mnaliwa nyaa zenu sana km mie muongo fungeni alarm viunoni mwenu wote wkt wa kulala!! au muwe na camera za siri wallahi mtashangaa maono!
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Coco watu wanafukuana kwenye maji
 
Walale huko walipotoka tu.
kwa mjisura huu utakuwa mnyemeleaji tu!! tena sasa km wamechukua vyumba tofauti watashindwa kutumia kimoja wapo bana? kingine kikalala tupu? mwenye guest atawachunga usiku kucha kwani? wanaweza kunyemeleana!! kwanza simple tu! watafanya hivi!!...

Baby ''usiku mkubwa kamlango egesha tu! ntakuja au utakuja wewe??.....
Njoo wewe haya!.... hayaaa!! sasa je!!

Tena hivi ndo poa kabisaaa!! watajirusha mpaka mlie pooooo!! na mtawabadirishia mashuka mpaka mkome! chumba hiki kingine anaweza uza pia kwa mtu mwingine akitaka!

usicheze na akili za Binadamu km wewe! ...ni viumbe wa ajabu ever! en ever!! utakaa na mivyumba yako hapo weeee!! ,,,angalia sasa siku ukistuka utamuuliza '' yule ni nani aliye kuja hapo chumbani kwako!! utasikia

'''aah! yule ni kijana wangu wa kazi!!'' huwa anakuja kuchukua funguo za gari awahi day waka'' hata gari yenyewe hana!! kuumbe ni mteja wake magumashi wa chumba ulichompangisha weye! wao wanaendelea kulana hapohapo!
 
Mwanaume ukifanyiwa hivi? heee!! uwe makini sana!! hasa Bongo!! kuna baadhi ya wamiliki wa Guest za siku hizi (hasa Darisalama!! ) ni wafiraji wakubwa hasa Manispaa ya Temeke! na Kinondoni!! ni Miradi ya watu!! utafirwa wewe mpaka ulie pooo!!

halafu unapewa kadose ka madawa ya kulevya!! utalala hapo hata siku tatu! kadiri unavo kaa unapunguziwa bei!! siku ukifika pande hizi fanya ivi wakiwakomalia saana!! waambieni hivi tuta lala wote!! lkn tutaacha milango, na taa! wazi! tena ivi pia mnalala kwa zamu ili kulinda mali zenu!

wanaume wanawindwa sana kwa sababu wengi ni Mabikra kitu intact hakijaguswa!! hasa wa Mikoani! wanapendwa sana! na mara nyingi hawajuagi chochote!! akipigwa spray ya cocain anaona ni guest classic huduma kwa wateja! tena wanapewa kujipiga wenyewe wakidhania ni perfume za kawaida!!

km ukilala pekee chakula utapew bei poaa!! na wakisha kupakua, nyaa inapigwa EX pel faster!! kitu kinakuwa km kawaida tu!! ila utasikia kamuwasho kwa mbaali!! utaenda kuharisha kidogo lkn salama! utasema tu labda chips ulizo kula jana!! kadri unavolala hapo!! unalalishwa! wao wanarecord mikanda tu!!

zIle picha ni Biashara tamu sana, tena yenye kipato mwanana Ulaya, China Taiwani nk! Faster! siku ikitokea bahati ukaenda kusoma,huko au Biashara!! yaaani utashangaa wewe ulivo maarufu!

wewe!! Air port utaona tu!! unalakiwa kwa mashamu shamu! usijue nini maana yake! kila kitu bureee! mara ivi mara vile ilimaradi tu wanakujua!

ndo maana siku hizi huko walitoa viza!! kwa mtanzania na nchi nyingine za kiafrica !!! lengo mojawapo lingine ni hilo! watanzania wengi hamjui kwa nini visa ziliondolewa kwa baadhi ya nchi!! hivi ulisha wahi jiuliza ki guest bubu! kiko chocho lkn safiii! kinapiaga ndefu miaka nenda miaka rudi?

Tangu ukiwa shule mpaka leo kanastawi tu!! na mmiliki ana piga ndefu mara anunue mafuso, mara afungue biashara !! na ukishaonjwa tu baaasi weye ni kwishne!! umesha pigwa chapa! sasa endeleeni kuwaendekeza wamiliki wa hayo makitu!

Jiulize tu km mtu mwenye akili timamu kwa nini ni ME tyuuuuu!! why!! ...Ok! km mashuka wamenyea kwa nini usiwapeleke polisi bana??! au lazimisha wayafue! au wanunue mapya! si kuna ukaguzi kabla na baada ya kukabidhi chumba bana?

siku hizi kuna surveylance Camera kwa nini wasiwekewe kwa watu wanao tia shaka/ mashaka? km hao? me mnaliwa nyaa zenu sana km mie muongo fungeni alarm viunoni mwenu wote wkt wa kulala!! au muwe na camera za siri wallahi mtashangaa maono!
mshenzi unatunga chai za kuchekesha.
 
kwa mjisura huu utakuwa mnyemeleaji tu!! tena sasa km wamechukua vyumba tofauti watashindwa kutumia kimoja wapo bana? kingine kikalala tupu? mwenye guest atawachunga usiku kucha kwani? wanaweza kunyemeleana!! kwanza simple tu! watafanya hivi!!...

Baby ''usiku mkubwa kamlango egesha tu! ntakuja au utakuja wewe??.....
Njoo wewe haya!.... hayaaa!! sasa je!!

Tena hivi ndo poa kabisaaa!! watajirusha mpaka mlie pooooo!! na mtawabadirishia mashuka mpaka mkome! chumba hiki kingine anaweza uza pia kwa mtu mwingine akitaka!

usicheze na akili za Binadamu km wewe! ...ni viumbe wa ajabu ever! en ever!! utakaa na mivyumba yako hapo weeee!! ,,,angalia sasa siku ukistuka utamuuliza '' yule ni nani aliye kuja hapo chumbani kwako!! utasikia

'''aah! yule ni kijana wangu wa kazi!!'' huwa anakuja kuchukua funguo za gari awahi day waka'' hata gari yenyewe hana!! kuumbe ni mteja wake magumashi wa chumba ulichompangisha weye! wao wanaendelea kulana hapohapo!
Hatuweki fensi kuzuia vibaka, tunawasumbua tu kuruka ukuta.
 
Mwanaume ukifanyiwa hivi? heee!! uwe makini sana!! hasa Bongo!! kuna baadhi ya wamiliki wa Guest za siku hizi (hasa Darisalama!! ) ni wafiraji wakubwa hasa Manispaa ya Temeke! na Kinondoni!! ni Miradi ya watu!! utafirwa wewe mpaka ulie pooo!!

halafu unapewa kadose ka madawa ya kulevya!! utalala hapo hata siku tatu! kadiri unavo kaa unapunguziwa bei!! siku ukifika pande hizi fanya ivi wakiwakomalia saana!! waambieni hivi tuta lala wote!! lkn tutaacha milango, na taa! wazi! tena ivi pia mnalala kwa zamu ili kulinda mali zenu!

wanaume wanawindwa sana kwa sababu wengi ni Mabikra kitu intact hakijaguswa!! hasa wa Mikoani! wanapendwa sana! na mara nyingi hawajuagi chochote!! akipigwa spray ya cocain anaona ni guest classic huduma kwa wateja! tena wanapewa kujipiga wenyewe wakidhania ni perfume za kawaida!!

km ukilala pekee chakula utapew bei poaa!! na wakisha kupakua, nyaa inapigwa EX pel faster!! kitu kinakuwa km kawaida tu!! ila utasikia kamuwasho kwa mbaali!! utaenda kuharisha kidogo lkn salama! utasema tu labda chips ulizo kula jana!! kadri unavolala hapo!! unalalishwa! wao wanarecord mikanda tu!!

zIle picha ni Biashara tamu sana, tena yenye kipato mwanana Ulaya, China Taiwani nk! Faster! siku ikitokea bahati ukaenda kusoma,huko au Biashara!! yaaani utashangaa wewe ulivo maarufu!

wewe!! Air port utaona tu!! unalakiwa kwa mashamu shamu! usijue nini maana yake! kila kitu bureee! mara ivi mara vile ilimaradi tu wanakujua!

ndo maana siku hizi huko walitoa viza!! kwa mtanzania na nchi nyingine za kiafrica !!! lengo mojawapo lingine ni hilo! watanzania wengi hamjui kwa nini visa ziliondolewa kwa baadhi ya nchi!! hivi ulisha wahi jiuliza ki guest bubu! kiko chocho lkn safiii! kinapiaga ndefu miaka nenda miaka rudi?

Tangu ukiwa shule mpaka leo kanastawi tu!! na mmiliki ana piga ndefu mara anunue mafuso, mara afungue biashara !! na ukishaonjwa tu baaasi weye ni kwishne!! umesha pigwa chapa! sasa endeleeni kuwaendekeza wamiliki wa hayo makitu!

Jiulize tu km mtu mwenye akili timamu kwa nini ni ME tyuuuuu!! why!! ...Ok! km mashuka wamenyea kwa nini usiwapeleke polisi bana??! au lazimisha wayafue! au wanunue mapya! si kuna ukaguzi kabla na baada ya kukabidhi chumba bana?

siku hizi kuna surveylance Camera kwa nini wasiwekewe kwa watu wanao tia shaka/ mashaka? km hao? me mnaliwa nyaa zenu sana km mie muongo fungeni alarm viunoni mwenu wote wkt wa kulala!! au muwe na camera za siri wallahi mtashangaa maono!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
kwa mjisura huu utakuwa mnyemeleaji tu!! tena sasa km wamechukua vyumba tofauti watashindwa kutumia kimoja wapo bana? kingine kikalala tupu? mwenye guest atawachunga usiku kucha kwani? wanaweza kunyemeleana!! kwanza simple tu! watafanya hivi!!...

Baby ''usiku mkubwa kamlango egesha tu! ntakuja au utakuja wewe??.....
Njoo wewe haya!.... hayaaa!! sasa je!!

Tena hivi ndo poa kabisaaa!! watajirusha mpaka mlie pooooo!! na mtawabadirishia mashuka mpaka mkome! chumba hiki kingine anaweza uza pia kwa mtu mwingine akitaka!

usicheze na akili za Binadamu km wewe! ...ni viumbe wa ajabu ever! en ever!! utakaa na mivyumba yako hapo weeee!! ,,,angalia sasa siku ukistuka utamuuliza '' yule ni nani aliye kuja hapo chumbani kwako!! utasikia

'''aah! yule ni kijana wangu wa kazi!!'' huwa anakuja kuchukua funguo za gari awahi day waka'' hata gari yenyewe hana!! kuumbe ni mteja wake magumashi wa chumba ulichompangisha weye! wao wanaendelea kulana hapohapo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kweli kabisa, ukweli mtupu.
 
Hatuweki fensi kuzuia vibaka, tunawasumbua tu kuruka ukuta.
Labda kafensi km kalee ka NH za nyerere!! sasa mji fence km ule wa air port mwee!! kwanza kuuruka tu una umeme!! sasa sijui uta pandaje kule juu!! hata km ukifika juu mandata wanakuona! ukishuka chini ni mtaroni!! tofautisha fensi na kijiukuta! si ndoutaliwa kabisa
 
Hilo katazo haliwahusu wapare.
Wapare wanapenda sana kuchangishana ili kuweza kutonga na bajeti
 
Haiwezekani uchukuwe chumba single bed ulale na mwanaume mwezio.

Vipo vyumba maalum vya double bed,

Specifically kwa ajili ya jinsia moja kulala chumba kimoja..


Suala la kulala kitanda kimoja wanaume watupu si guest tu hata kwako nyumbani pia hailipo Sawa..
 
Haiwezekani uchukuwe chumba single bed ulale na mwanaume mwezio.

Vipo vyumba maalum vya double bed,

Specifically kwa ajili ya jinsia moja kulala chumba kimoja..


Suala la kulala kitanda kimoja wanaume watupu si guest tu hata kwako nyumbani pia hailipo Sawa..
wewe huwezi kulala na kaka yako au mdogo wako??
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Huo ni uzushi kwani katika lodge kuna vyumba vina double beds, unadhani kwa nini kuna vyumba hivyo!
 
Sasa hivi hata boda boda ni marufuku kupanda mishikaki wanaume
 
Ama kweli baniani mbaya kiatu chake dawa.. we huwezi kosa connection za wenzio hebu leta ya kabwili, kisha leta za hawa vijana wa3.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teeeena had video mnataka, mnajifanya hamtak mambo hayo,
Mbna zisha link San huko nje. Hujapata bado?
 
Back
Top Bottom