Katazo la kulala wanaume wawili Lodge

Katazo la kulala wanaume wawili Lodge

Madem hawamwagiani shahawa kwenye ****.Ila dume linammwagia shahawa na zile shahawa zinaenda kuganda mule ndani afu zinaanza kuwasha washa,sasa unadhani ataacha? Sie kwetu kuna msemo usemao AFIRWAE HAFIRUKI.
Ushahidi wa hili jambo upo kisayansi? Sijawahi ona tafiti ikikubali hili. Kwamba ina maana wakitumia condom basi hawezi kuwa shoga?

Mbona kuna walakini hapa
 
Ni upuuzi tu kuwafkiria watu negative.Nimetembelewa na mgeni siku nne tumelala poa tu mpk kaondoka,vyumba vingine vilikua full nikamwambia pumzika tu room kwangu huku kuliko uende Hotel. Kamaliza kazi zake katimua.
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Hii hali ya kindezi sana nilikutana nayo mbeya maeneo ya stendi kuu niliboreka vibaya mno nikawachana nikawaambia ndio maana mkoa huu upo kimende mende kila ukifika level flani madoni wanafilisika mnaanza upya.
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
We unaona sawa kulala na mwanaume mwenzio

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao
 
Hakuna kuruhusiwa hata kama alikua ni baba yako.
Tena muandika uzi nina wasiwasi nae.. imemuuma mpaka kaamua kuja kualeta huku..
Tena wewe ndio usiruhusiwe kabisa.
Shenzi
 
Katika vita vya ushoga wamejitahidi kuvipiga ila kuna sababu za kibiashara pia wanapokataza wanajua watalazimika kuchukua vyumba vingi wakiwa zaidi ya mmoja badala ya kurundikana chumba kimoja.
 
Ni sheria za biashara zilizopitwa na wakati.
 
Ni Jumatatu tulivu tenaaa

Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.

Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Hilo ni katazo la kijinga kwani double room ina vitanda 2wanaune unawakatazaje kulala?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kuruhusiwa hata kama alikua ni baba yako.
Tena muandika uzi nina wasiwasi nae.. imemuuma mpaka kaamua kuja kualeta huku..
Tena wewe ndio usiruhusiwe kabisa.
Shenzi
mawazo yako mgando. Unaogopa nini au una wasiwasi mwenzio akikuomba utashindwa mnyima?
 
mawazo yako mgando. Unaogopa nini au una wasiwasi mwenzio akikuomba utashindwa mnyima?
mi nashangaa, watu wanazungumza vitu vya kufikirika ambavyo havipo. Hakunaga ushoga. Ushoga ni maneno ya motivational spika tuuu. Hivi unawezaje kuingiza mtwangio wa kinu au mpini wa jembe kwenye pua au sikio ukaenea?

Motivational spika wanapenda sana kukuza maneno ya uongouongo ambayo hayapo wala hayajawai kuwezekana.
 
Mkuu mwanamke au mwanaume akifanyiwa usodoma na kumwagiwa Shahawa huwa hazitoki zote badala yake hutengeneza bacteria f''lan wanaokula shahawa zilizobaki m-kunduni so hizo shahawa zikiisha humnyevua nyevua mpaka amwagiwe tena ndio vijamaa hutulia maana wanapata chakula chao mwendo huwa ni huohuo.
Labda wapigwe bomba kabla mambo hayajawa mabaya zaidi ila kusema zinatoka zenyewe hapo umefeli
Pia


Mwanaume anayeingiliwa nyuma hupata michubuko ya ndani ambayo husababishwa na ùume wa anayemwingilia..

Michubuko hii kuna wakati huwa inawasha na kumpelekea kuhitaji kitu cha kumkuna... shida ndiyo huanzia hapa...
 
Zanziarrr

FB_IMG_1637700598330.jpg
 
Back
Top Bottom