Kathrin Steinbrenner, Naibu Balozi wa Ujerumani kamwambia Mbowe ‘Never Give Up’

Kathrin Steinbrenner, Naibu Balozi wa Ujerumani kamwambia Mbowe ‘Never Give Up’

Kwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo barozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
Ujue kwamba nyie ni makokolo. Ugaidi gani wa laki 6?. Mmeumiza na watu wawe upande wenu imeshindikana. Hii ni aibu sana kwa Taifa letu
 
Naibu Balozi wa Germany nchini Tanzania KATHRIN STEINBRENNER akamsogelea Freeman Mbowe na kumueleza "never, never, never Give up!" Freeman akasema "I will never give up".

Ikapigwa ngeli ya kutosha hapo. MaCCM wanalalamika koridoni, wanasema Germans wanasapoti ugaidi wa FREEMAN.


This is very interesting...

Mimi sijawahi kuona kesi yoyote ya mtanzania kuwahi kushitakiwa na Jamhuri (serikali) halafu mshitakiwa huyo akawa na support kubwa toka balozi za nje ya nchi kama hii ya mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe...!!

Huko Arusha kuna kesi inayofanana kwa kiasi fulani na hii tena ikimhusu aliyekuwa kiongozi wa serikali DC wa Hai, Ole Lengai Sabaya. Lakini hakuna hata balozi mmoja mwenye interest na kesi yake hata wale wa Uganda na Rwanda...!

There must be something going on underneath which will affect some people in a near future...
 
I will never do - reiterated the leader of the main opposition party in Tanzania Mr. Freeman A. Mbowe.
 
Kwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo barozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
"barozi" ndo nani we punda?
 
Wakati hayo yakiendelea, wajumbe wa CCm kama kawaida na mambo yao ya hovyo

“Pili Kasingizia mimba kwa wanaume wawili, Dreva wangu anatoa matumizi, na huyo Mumewe ( Mwenyekiti) naye anatoa matumzi
nawaambieni huyo Pili(Mke wa Diwali)hajitambui ni mpumbavu tu kazi kutembea na wanaumee na kuzalishwa”Prof Muhongo kwenye kikao cha almashauri Musoma https://t.co/zKuglir5mX
Wengine wamezichapa huko sijui mkoa gani kisa tsh. 40 elfu

Madiwani bwana
 
Kwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo balozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
Mjinga mama yako aliyezaa ntoto si riziki eti nawe tahira ni mwana JF kula vya bure bashite mkubwa weye
 
Wengine wamezichapa huko sijui mkoa gani kisa tsh. 40 elfu

Madiwani bwana
Umalaya tu unawasumbua

IMG_20211002_200305.jpg
 
mbona mashekh wa uamsho wamekaa jela miaka hakuna hata mtu kwenye mitandao kuwatetea hata mabalozi hawajaenda mahakamani kusema dont give up lakini kwa mbowe kila mtu mtetezi kila mtandao mbowe why mwacheni akafungwe serikali nawaambia dont give up
 
Back
Top Bottom