Kathrin Steinbrenner, Naibu Balozi wa Ujerumani kamwambia Mbowe ‘Never Give Up’

Kathrin Steinbrenner, Naibu Balozi wa Ujerumani kamwambia Mbowe ‘Never Give Up’

Kwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo barozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
Wazungu sio wajinga wanawajua magaidi wa ukweli na magaidi wa kubumba.
 
Ni sawa,lakini na mimi nikasema marehemu wengi tu wakishatangulia basi wake zao wanabaki wanabanjuliwa na wana!Na mimi ndio nikauliza hivyo!

Kwahiyo ukianzisha vita ya mawe,hakikisha hauna nyumba ya vioo!
Duuuu!!!! Kumbe nimeanzisha vita,basi umeshinda mnama
 
Naibu Balozi wa Germany nchini Tanzania KATHRIN STEINBRENNER akamsogelea Freeman Mbowe na kumueleza "never, never, never Give up!" Freeman akasema "I will never give up".

Ikapigwa ngeli ya kutosha hapo. MaCCM wanalalamika koridoni, wanasema Germans wanasapoti ugaidi wa FREEMAN.

Maza na kakesi kake ka kutunga.... Sijui anajisikiaje akiwasikiliza mashahidi wake wa serikali....!!
 
Labda huyo naibu balozi atatoa Hukumu yeye badala ya jaji Aliekuwepo vituko haviishi mtaa wa ufipa [emoji23][emoji1787]
Akili za CCM utazijua tu. Amesena usikate tamaa Katy, hiyo ndiyo hukumu? Akili zenu Kama za maiti ya chato
 
Kwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo barozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
KUMBUKA ARV za jamaa zako anazilipia yeye
 
Kwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo barozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
Thibitisha...
 
kwani hao wajerumani ndio mahakama?

wenzake wanamchora tu awajui mabeberu!
Mtu mwenyewe hujawahi kutoka nje ya nchi hii kama JPM, mabeberu unawajulia wapi?Lecture za Mzee Polepole ya Mambo ya uongozi zisikupotoshe.
 
Naibu Balozi wa Germany nchini Tanzania KATHRIN STEINBRENNER akamsogelea Freeman Mbowe na kumueleza "never, never, never Give up!" Freeman akasema "I will never give up".

Ikapigwa ngeli ya kutosha hapo. MaCCM wanalalamika koridoni, wanasema Germans wanasapoti ugaidi wa FREEMAN.

ujerumani kimavi hamna kitu
 
Naibu Balozi wa Germany nchini Tanzania KATHRIN STEINBRENNER akamsogelea Freeman Mbowe na kumueleza "never, never, never Give up!" Freeman akasema "I will never give up".

Ikapigwa ngeli ya kutosha hapo. MaCCM wanalalamika koridoni, wanasema Germans wanasapoti ugaidi wa FREEMAN.

Ajiandae kurudi kwao
 
Back
Top Bottom