Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Africana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Erythro, una maana gani hapa?
Kwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo barozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
Unachoandika hata wewe unajua si kweli!kwani hao wajerumani ndio mahakama?
wenzake wanamchora tu awajui mabeberu!
Hajahukumu kesi kama wale wawili waliohitimisha hukumu kabla ya kesi, hao wewe ndio unawaona mahakama.kwani hao wajerumani ndio mahakama?
wenzake wanamchora tu awajui mabeberu!
Akili zenu mnazijua wenyewe juzi tu mmefika kuwaramba miguu leo mnaowaita mabeberukwani hao wajerumani ndio mahakama?
wenzake wanamchora tu awajui mabeberu!
Nikujipa moyo tu na vipicha vyenu chadema mbowe ni gaidi
Ni maoni yangu tu...."Unahitajika kupata khabari za uhakika mara kwa mara kuhusu hao waarabu magaidi huko kwa Mabeberu."Kwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo barozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
Ni sera ya CCMNi aibu na kudhalilisha Nchi, kutengeneza makesi kila kukicha, nilidhani mambo hayo yameisha hawamu ya tano, kumbe bado!
Atafukuzwa US kwa kukiuka diplomatic code. Nasubiri kuona kama huyo balozi wa Ujerumani atachukuliwa hatua na serikali hata kwa kuitwa na kulalamikiwa tu...sasa hivi usa kuna kesi ya khalid sheikh mohammed mastermind wa shambulizi la 9/11. Balozi wetu marekani anaweza kuhudhuria kesi hiyo na hata kumtia moyo bwana khalid.
Wajinga moo wengi. Umeelewa ulichoandika?kwani hao wajerumani ndio mahakama?
wenzake wanamchora tu awajui mabeberu!
Hayawezi kwisha, mpaka siku nchi iwe na polisi wenye akiliNi aibu na kudhalilisha Nchi, kutengeneza makesi kila kukicha, nilidhani mambo hayo yameisha hawamu ya tano, kumbe bado!
Mama anatupeleka pabaya taratibu.Naibu Balozi wa Germany nchini Tanzania KATHRIN STEINBRENNER akamsogelea Freeman Mbowe na kumueleza "never, never, never Give up!" Freeman akasema "I will never give up". ikapigwa ngeli ya kutosha hapo. MaCCM wanalalamika koridoni, wanasema Germans wanasapoti ugaidi wa FREEMAN.
View attachment 1959863
Kwa upolisi huu wa kurithishana, kupata wenye akili ni bahati nasibu. Kilangila.Hayawezi kwisha, mpaka siku nchi iwe na polisi wenye akili
Wanaruka nakukanyagana ile 😆kinyamax2Migaamboo mnaruka na kukanyaganaa [emoji126][emoji1739]