E Evody New Member Joined May 2, 2014 Posts 2 Reaction score 1 Jan 7, 2021 #21 zanzibakwetu said: Hela za MO hizo Simba haipati kitu kwani kila kitu anagharamia yeye iwe posho,kambi au mishahara na huduma nyinginezo zote. Click to expand... zote achukue lakn atupe furaha kama ya jana
zanzibakwetu said: Hela za MO hizo Simba haipati kitu kwani kila kitu anagharamia yeye iwe posho,kambi au mishahara na huduma nyinginezo zote. Click to expand... zote achukue lakn atupe furaha kama ya jana
ummumuhammad JF-Expert Member Joined Sep 8, 2014 Posts 796 Reaction score 697 Jan 7, 2021 #22 Mr_X said: Bakari yupo CHAN na anauhakika wa namba Yanga & Taifa Stars Ame anaungana na shabiki anaelipwa pesa ndefu kuliko mashabiki wote bongo (Morrison) kwenda Mapinduzi Cup akiwa na wida yake mfukoni Click to expand... Ame ameongezwa kikosi cha stars leo
Mr_X said: Bakari yupo CHAN na anauhakika wa namba Yanga & Taifa Stars Ame anaungana na shabiki anaelipwa pesa ndefu kuliko mashabiki wote bongo (Morrison) kwenda Mapinduzi Cup akiwa na wida yake mfukoni Click to expand... Ame ameongezwa kikosi cha stars leo
jonas amos JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 3,645 Reaction score 4,438 Jan 7, 2021 #23 Livejr said: Anachukua nafasi ya nani? Click to expand... Onyango