Kati Bakari Mwamnyeto wa Yanga SC na Ibrahim Ame wa Simba SC, nani kafanikiwa zaidi kimpira?

Kati Bakari Mwamnyeto wa Yanga SC na Ibrahim Ame wa Simba SC, nani kafanikiwa zaidi kimpira?

Bakari yupo CHAN na anauhakika wa namba Yanga & Taifa Stars

Ame anaungana na shabiki anaelipwa pesa ndefu kuliko mashabiki wote bongo (Morrison) kwenda Mapinduzi Cup akiwa na wida yake mfukoni
Ame ameongezwa kikosi cha stars leo
 
Back
Top Bottom