Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio kukiwa hakuna njia ya kukimbia utatulia tu uliwe kwasababu wewe huwezi vita na mnyamaMimi nikikutana na mnyama yeyote lazima nitoke ndukii,,siwezi kurisk maisha yangu kwa vita ambayo najua probability ya kushindwa Ni 99.99%
Kwa fikra zako hujakosea, ila tukirudi kwenye uhalisia, you should be ashamed of yourself for being rigid minded. Next time, research first. Which is taller, a Cow or a Lion? [Answered]Mbona unene umeandika wewe, kiujumla tu Simba ajamzidi kitu chochote Ng'ombe kinachogusa Body Size iwe urefu, upana, unene, ujazo, uzito nk
Huyo mlinzi yupo wapi? Picha hiyo hiyo wengine wanasema kaimeza pikipiki... Huo ni uongo.Hiyo Picha huyo Chatu kammeza Mlinzi wa WFP mwenye AK47 wakati anavuka Fensi ndio akapigwa Zap akaing'ata Fence ndio kufia hapo hapo na asubuhi akakutwa hivyo hivyo.
Sudan Kusini.
Mlinzi yuko tumboniHuyo mlinzi yupo wapi? Picha hiyo hiyo wengine wanasema kaimeza pikipiki... Huo ni uongo.
Jaguar anawashambulia camens sio mamba wala alligators..Jaguar hawezi lingana nguvu na Simba na haijawai kitokea, Lion is more powerful than Jaguar no weightclass mbili tofauti Jaguar anachomzidi Simba ni Agility, Flexibility na Aggressive but in raw strength Simba weight class ya Tiger.
Kwenye Simba kutokuweza kishambulia mamba na Jaguar kiweza ni Aggressive ya Jaguar na Agility inamsaidia Jaguar.
Ila tuseme ukweli binadamu kiumbe dhaifu sana.
Yaani hakuna kiumbe ambacho tunalingana ukubwa au uzito ambacho unaweza kukimudu kukikalisha chini bila kutumia siraha.
Kucha zetu zenyewe umekuwa urembo tu, meno ya kutafunia mishikaki tena iliyokwiva.
Viumbe wengine angalau wanayo hata sauti ya kutisha, sisi nayo hatuna.
Mamba kwenye maji hutamuweza Kwa sababu lile ni eneo lake la kujidai halaf wewe hujazoea pia na nguvu syo Haba Yale meno yake hapo mnyonge ni chatu ambae Hadi akuvizieChatu utamuweza. Hana mbio ya kukushambulia, kukupata ni mpaka akuvizie
Unamkata hapo kichwani
Simba ndo atakumaliza kirahisi, ana nguvu, mbio kuliko wewe,
Kucha 1.5 in kama nyembe, akikurukia na kilo zake 200+ utadondoka tu
Na pia unakuwa umejengewa 'fear trigger' ya kumuogopa simba, anavyosimuliwa, ukimuona kwenye video,
kwahiyo mkikutana macho kwa macho utakuwa na hofu kubwa, hutoweza kufikiri haraka haraka
Tiger hata Simba haoni ndani.
Miss you so muchHapo kwenye Simba, una maanisha Simba Simba au Simba huyu ninaemjua Mimi hapa msimbazi???! [emoji848]
😂😂😂Mamba kwenye maji mdundiko wake si wa kitoto.
Ukimleta Nchi Kavu unaweza kumvalisha hata Nepi akakubali tu. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha akikuuta jike jeKila mnyama ana weekness yake chatu mbio hana, mamba nchi kavu mgambo tu hana jipya, simba ukimwangalia directly machoni ana aibu kama unamtongoza si ajabu akaanza kutafuna vidole na kuvunja vijiti ila ombea usikutane na nyegele ni mpaka akukague we ni jinsia gani