imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Cha kushangaza Simba akiwa Baba mtoto anakuwa ni mkubwa kuliko Wazazi lakini Tiger akiwa Baba mtoto anakuwa mdogo.
Simba Baba Tiger Mama 👇
View attachment 2929292
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha kushangaza Simba akiwa Baba mtoto anakuwa ni mkubwa kuliko Wazazi lakini Tiger akiwa Baba mtoto anakuwa mdogo.
Simba Baba Tiger Mama 👇
View attachment 2929292
😁Hiyo Story ina walakini Chatu akikuambush anakubana hata hiyo pumzi ya kumng'ata itatoka wapi?Pana mtu alidakwa na chatu silaha pekee aliyokuwa nayo ni meno akamng'ata nayo chatu bila kuachia, chatu akafyatuka akamtema jamaa.
Alikosea timing ya kumbana😁Hiyo Story ina walakini Chatu akikuambush anakubana hata hiyo pumzi ya kumng'ata itatoka wapi?
Ni ndani ya sekunde tano unakuwa teyari umeshabanwa.
Yule hata ukimng'ata kama ameshajikakamaza ni kama Tairi la Roli lilijazwa upepo wa 120 psiAlikosea timing ya kumbana
Yani kwa lugha nyingine huyo ni kama Navy SEAL'sView attachment 2928456View attachment 2928457
Chatu akipanda Minazi kumbuka ukipanda Mnazi Simba wala Mamba hakufuati ila Chatu anakufuata ukikimbilia kwenye Maji Simba hawezi kukufuata lakini Chatu na Mamba wanakufuata na Chatu anaogelea kuliko hata Mamba.
Kwahiyo Chatu yeye ni kila sehemu.
Munamu Overrate chatu kama Ana Super Power kuna video kibao chatu anakama kiumbe kiumbe kinajitahidi kujinasua wengine wanafanikiwa suala la baada ya kukupiga Ambush Amekubana vizuri pia una awareness kama ajakubana vizuri na kiakili upo aware unaenda against nae tu😁Hiyo Story ina walakini Chatu akikuambush anakubana hata hiyo pumzi ya kumng'ata itatoka wapi?
Ni ndani ya sekunde tano unakuwa teyari umeshabanwa.
Kwenye Maji Nchi kavu na kwenye Miti Chatu yote hiyo ni Mitaa yake.Yani kwa lugha nyingine huyo ni kama Navy SEAL's
Weka hizo Video na sisi tujiridhishe au tuwekee link.Munamu Overrate chatu kama Ana Super Power kuna video kibao chatu anakama kiumbe kiumbe kinajitahidi kujinasua wengine wanafanikiwa suala la baada ya kukupiga Ambush Amekubana vizuri pia una awareness kama ajakubana vizuri na kiakili upo aware unaenda against nae tu
Kwani ulikuwa unapinga nini?Huu ni ukweli siwezi kukupinga.
Anaweza kumeza wale viumbe wa ajabu sana midomo yao kama mpiraHebu tafuta Anaconda au Titanaboa wa Congo halafu njoo tujadiliane
Midomo ya hawa Viumbe sio kama yetu yao yanauvaa mlo kama Kikoi kinavyomvaa Mpemba.
View attachment 2926587
View attachment 2926589
👆 Taya zao huwa zinatanuka.
Yule uwezekano wa kujinasua ni mdogo kuliko kujinasua kwa simbaMunamu Overrate chatu kama Ana Super Power kuna video kibao chatu anakama kiumbe kiumbe kinajitahidi kujinasua wengine wanafanikiwa suala la baada ya kukupiga Ambush Amekubana vizuri pia una awareness kama ajakubana vizuri na kiakili upo aware unaenda against nae tu
🤣🤣 mkuu watu wanachukulia poa asee.wewe ulichoandika ni ukweli 1000% mimi mpaka wa leo nipo kisiwani
Mwaka jana wameua watu wengi sana mixer mbwa na ng'ombe
Wameacha majeruhi wengi sana
Hao viumbe ni hatari
Wao hawali sehemu ngumu wanakula kuanzia tumboni mpaka kwenye sehemu za siri na matako, kichwa na miguu wanatunza
Na mamba hali peke yake lazima akupeleke kwenye familia yake ili wasaidiane kukata nyama
Mungu fundi
Ni kama anakuvaa Mataya yake yanafanya kazi IndependentlyAnaweza kumeza wale viumbe wa ajabu sana midomo yao kama mpira
Nimesema leopard sio jaguar mkuu, hata jaguar hawezi kumla mamba am sure, jaguar na simba ni kama wanalingana nguvu hivi, the quiz is mbona simba hamli mamba? Pia usichukulie poa ngozi ya mamba mkuu.Hata hao crocodile wangekuwa wanaishi habitat moja na Jaguar wangeliwa sana tu unless awe mkubwa kabisa, so croco wanajizolea ujiko kwasababu wana bahati hio.