Hidden Diamond
Member
- Jan 31, 2024
- 42
- 119
Hapo mamba na simba mzee umeisha tayari.kuna clip niliona simba anavyomshambulia mtu Aisee ni hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiger haitwi Chui.Tiger, Leopard na Jaguar hawa wote kwa kiswahili tunawaita Chui.
Huyo ni kiboko aisee.uyo kambale hatari sana, nadhan hana adui
Ok Tiger ni Kingereza. Kiswahili anaitwaje?.Tiger haitwi Chui.
Nimesikia akiitwa Simba Marara.Ok Tiger ni Kingereza. Kiswahili anaitwaje?.
wewe jamaa hivi mamba ushawahi kukutana nae uso kwa uso?Simba kama ni dume jitahidi kumnyemelea Kisha mpige dole la kati kwenye sungilo/puru lazima atoke mbio mambo ya LGBQ hapendi, Kwa upande wa mamba jitahidi upapase jicho lake lazima akuache
wewe ulichoandika ni ukweli 1000% mimi mpaka wa leo nipo kisiwaniNimetoka visiwani majuzi nimeacha misiba miwili mmoja wa mvuvi mwingine wa m'mama wote walikua wanaoga pembezoni mwa ziwa ila wameliwa kwa nyakati tofauti. Kama mnavyojua visiwani watu wanatamaduni za kwenda kuoga pembezoni mwa ziwa, mamba hua anakupiga bite moja then anakurusha kwa nyuma kwenye maji ndio anakufata anaanza kujiroll kwenye maji mpaka unagawanyinga hicho ni kitendo cha dakika umeisha, yule mama tulimtafuta kesho yake tukamkuta kwenye mwamba amefichwa ila tulikuta kicha na mguu pamoja na mikono ila tako lote na papuchi mr mamba alikula vyote plus matiti. Wakuu hao wanyama wote ni hatari ila bwana mamba ukimkuta majini aseee kutoka ni ngumu sana mkubali au mkatae.
sasa hivi wamezagaa ziwa Victoria wengi mno, halafu ni madude balaa sio tudogoZiwa victoria la miaka ya hivi karibuni siyo lile la miaka ya 60 hadi 70 ambapo vijana walikuwa wanaweza kuogelea karibu siku yote. Miaka ya themanini ziwa lilianza kuharibika kwa uoto fulani likawa halifai kwa kuogelea tena na maji yake yakawa machafu kwa matumizi ya binadamu. Kuanzia miaka ya tisini mamba wakazagaa sana ziwani kutokana na serikali ya Uganda kuharibu makazi yao huko mto Nile wakahamia ziwani na kusambaa Afrika ya Mashariki yote. Kuna haja ya kuwadhibiti wasiendelee kuzaliana. Makazi ya asili ya Mamba huwa ni mitoni siyo ziwani.
Dah! sawa mkuu ila fahamu Tiger kwa lugha ya Kiswahili tunamuita ni [Chui Milia] na sio hilo jina lako. Umeelewa?.Nimesikia akiitwa Simba Milia.
Tiger hana ukaribu na Chui ana ukaribu na Simba hata kimwil wanauzito unaokaribiana Chui ni mdogo.Dah! sawa mkuu ila fahamu Tiger kwa lugha ya Kiswahili tunamuita ni [Chui Milia] na sio hilo jina lako. Umeelewa?.
Hilo nimelijua Leo asanteTiger hana ukaribu na Chui ana ukaribu na Simba hata kimwil wanauzito unaokaribiana Chui ni mdogo.
Simba anaweza hata kumpanda Tiger na kuzaa Mtoto Chotara aitwae Liger👇
View attachment 2929283
Cha kushangaza Simba akiwa Baba mtoto anakuwa ni mkubwa kuliko Wazazi lakini Tiger akiwa Baba mtoto anakuwa mdogo.Hilo nimelijua Leo asante
Jifunze kusoma kwa ufahamu. Jifunze lugha yako ya kiswahili. TIGER kwa Kiswahili anaitwa Chui Milia na sio hilo jina lako, Umeelewa?.Tiger hana ukaribu na Chui ana ukaribu na Simba hata kimwil wanauzito unaokaribiana Chui ni mdogo.
Simba anaweza hata kumpanda Tiger na kuzaa Mtoto aitwae Liger👇
View attachment 2929283
Hivi umkazie Simba macho wakati hujawahi kuexperience kuwa nae karibu unadhani ni rahisi ??Huo ni ukweli, hii inamaanisha endapo utakuwa kwenye situation ya uso kwa uso na Simba au Predator yeyote better kumkazia macho na kutokugeuka nyuma confidence yake kukushambulia itapungua kuliko ukimbie hapo utakuwa kama Swala tu unajua nini kinamtokea swala
JF Hili ni Jukwaa la kuongezeana maarifa na sio kulazimishana watu waliotunga hilo jina walikuwa na uelewa mdogo.Jifunze kusoma kwa ufahamu. Jifunze lugha yako ya kiswahili. TIGER kwa Kiswahili anaitwa Chui Milia na sio hilo jina lako, Umeelewa?.
Kuna mtu aliwahi pigwa "kofi" na simba kuanzia kwenye kwapa hadi matakoni ikabakia mifupa tuNaombeni mniambie mimi sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama.
Assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo.
Yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda.
Hiyo ni kama pie27Nasikia kanyegere kavulana kana wivu kiasi kwamba kakimwona binadamu yupo nyuma ya nyegere jike kanahisi labda binadamu anataka penzi kwa demu wake, katakufukuza kweli.
Sijui ni kweli au stori!
Ni Simba marara sio Chui milia.TIGER kwa Kiswahili anaitwa Chui Milia na sio hilo jina lako, Umeelewa?