Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Huyo ni alligator mkuu ni jamii ya mamba lakini ni wadogo, acha masihara na mjomba mamba mkuu chatu hawezi kumla.Chatu anamla hata Mamba kuna picha moja huko Florida Everglades Mamba aliliwa na ubabe wake.
💪Chatu Bingwa.
View attachment 2928046
Chatu akijimezea kitoweo cha Mamba bila buguza.