Kati ya Assad na Paskal nani anatakiwa amuunge mkono mwenzake kwenye jambo la kisheria?

Kati ya Assad na Paskal nani anatakiwa amuunge mkono mwenzake kwenye jambo la kisheria?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Kati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria.

Leo Assad amejitokeza na kuelezea mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji wa bandari na kuungwa mkono na Paskal (Mwanasheria) hapa bado sijamuelewa Paskal uungaji wake mkono, is it a matter of masters are always right!
 
Duh

Kulielewa Swala la Bandari hakuhitaji degree ya Sheria

Business Law tu ya Wasomi wa degree za Biashara inatosha kabisa 😀
 
Kati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria..
Sasa hakuna ubishi kwamba wakili Pascal Mayalla Ni tapeli na kajanja. I'm sorry to say so, lakini hii iko wazi kitambo tu. JPM alilijua hili na akamkataa mapema sana.
 
Kati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria.

Leo Assad amejitokeza na kuelezea mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji wa bandari na kuungwa mkono na Paskal (Mwanasheria) hapa bado sijamuelewa Paskal uungaji wake mkono, is it a matter of masters are always right!
Prof Assad ni Muhasibu, Pascal mwanasheria, mbona jibu rahisi?!
 
Kati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria.

Leo Assad amejitokeza na kuelezea mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji wa bandari na kuungwa mkono na Paskal (Mwanasheria) hapa bado sijamuelewa Paskal uungaji wake mkono, is it a matter of masters are always right!
Pascal huwa nahis huwa hana msimamo wa kusimamia anachokijuwa., bali hufuata upepo wa wenye Nchi., vijana wengi siku hizi TEUZI wanazichungulia kwa karibu full kujipendekeza.
 
Paskali ni mwanasheria msomi,ila anaagalia na upepo unapoelekea pia.
Sisi wengine huyo paskali tulishampuuza maana kipindi cha wale covid 19 walipofukuzwa alijitokeza na kutuletea notes za administrative law humu jf akijifanya kueleza kuwa walifukuzwa bila kufata taratibu za misingi ya haki huku akitumia maneno ya KILATIN kama NEMO JUDEX IN CAUSA SUA NA AUDI ALTERAM PARTEM, mim nilimuuliza maswali yafuatayo,
1. Je anaamin hao(covid 19) wamefukuzwa
2. Kama jibu ni ndio hata bila kufata taratibu je watabaki kuwa wanachama au mpaka mahakama iwarudishie uanachama wao kama itaona kunahoja hio?
3. Hukumu yoyote inapotolewa hata kama imekiuka misingi ya kisheria je huwa haifanyi kazi au inafanya kaz mpaka itakapoamuliwa vinginevyo kwenye refaa au mapitio?

Haya maswali hajawahi kuyajibu. Mwisho nikamshauri kuwa kama anaona wameonewa akajiunge na jopo la mawakili wanaowatetea hao covid 19 napo hajawahi kufanya hivyo sasa huyo naye ni wa kuamini au ni kumpuuza tu, kinachonishangaza ni kwamba humu jf kuna watu huwa wanafikiria huyo jamaa ni smart kumbe ni mbumbumbu tu haya leo hii mwanasheria anamuunga mkono Assad ambaye hajui chochote kuhusu mikataba hio kama sio aibu ni nini?
 
Kati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria.

Leo Assad amejitokeza na kuelezea mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji wa bandari na kuungwa mkono na Paskal (Mwanasheria) hapa bado sijamuelewa Paskal uungaji wake mkono, is it a matter of masters are always right!
Paschal yupo na Channel 10 Mbeya, Channel 10 ni mali ya CCM. Tuishi humu kwanza
 
Back
Top Bottom