Kati ya Assad na Paskal nani anatakiwa amuunge mkono mwenzake kwenye jambo la kisheria?

Kati ya Assad na Paskal nani anatakiwa amuunge mkono mwenzake kwenye jambo la kisheria?

Sisi wengine huyo paskali tulishampuuza maana kipindi cha wale covid 19 walipofukuzwa alijitokeza na kutuletea notes za administrative law humu jf akijifanya kueleza kuwa walifukuzwa bila kufata taratibu za misingi ya haki huku akitumia maneno ya KILATIN kama NEMO JUDEX IN CAUSA SUA NA AUDI ALTERAM PARTEM, mim nilimuuliza maswali yafuatayo,
1. Je anaamin hao(covid 19) wamefukuzwa
2. Kama jibu ni ndio hata bila kufata taratibu je watabaki kuwa wanachama au mpaka mahakama iwarudishie uanachama wao kama itaona kunahoja hio?
3. Hukumu yoyote inapotolewa hata kama imekiuka misingi ya kisheria je huwa haifanyi kazi au inafanya kaz mpaka itakapoamuliwa vinginevyo kwenye refaa au mapitio?

Haya maswali hajawahi kuyajibu. Mwisho nikamshauri kuwa kama anaona wameonewa akajiunge na jopo la mawakili wanaowatetea hao covid 19 napo hajawahi kufanya hivyo sasa huyo naye ni wa kuamini au ni kumpuuza tu, kinachonishangaza ni kwamba humu jf kuna watu huwa wanafikiria huyo jamaa ni smart kumbe ni mbumbumbu tu haya leo hii mwanasheria anamuunga mkono Assad ambaye hajui chochote kuhusu mikataba hio kama sio aibu ni nini?
Paschal ameajiriwa na channel 10 yupo Mbeya
 
Kati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria.

Leo Assad amejitokeza na kuelezea mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji wa bandari na kuungwa mkono na Paskal (Mwanasheria) hapa bado sijamuelewa Paskal uungaji wake mkono, is it a matter of masters are always right!
Iko hivi,
1. Wote ni ccm
2. Assad na uislam ni sawa na Pascal na ccm
3. Pascal ukisoma kwa umakini post zake kuhusu Bandari kwa ndani ya moyo wake na akili yake anaukosoa ule mkataba tatizo alisha guswa na mkono mrefu wa serikali, na hataki tena umguse.
4. Asad ukimsikiliza vizuri kabisa si kwamba kaukubali mazima ule mkataba tatizo anaangalia dhwabu za dini yake.
 
Iko hivi,
1. Wote ni ccm
2. Assad na uislam ni sawa na Pascal na ccm
3. Pascal ukisoma kwa umakini post zake kuhusu Bandari kwa ndani ya moyo wake na akili yake anaukosoa ule mkataba tatizo alisha guswa na mkono mrefu wa serikali, na hataki tena umguse.
4. Asad ukimsikiliza vizuri kabisa si kwamba kaukubali mazima ule mkataba tatizo anaangalia dhwabu za dini yake.
Kwa hiyo wote biyee!
 
Back
Top Bottom