Kati ya Assad na Paskal nani anatakiwa amuunge mkono mwenzake kwenye jambo la kisheria?

Kati ya Assad na Paskal nani anatakiwa amuunge mkono mwenzake kwenye jambo la kisheria?

Kati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria.

Leo Assad amejitokeza na kuelezea mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji wa bandari na kuungwa mkono na Paskal (Mwanasheria) hapa bado sijamuelewa Paskal uungaji wake mkono, is it a matter of masters are always right!
Profesa Assad bwana, any way aendelee kutoa miadhara pale MUM
 
Profesa Assad bwana, any way aendelee kutoa miadhara pale MUM
Prof. Assad! Huyu fani yake ni ya ndululu na matumizi yake, Paskali fani yake ni ya sheria imetekekezwa kiusahihi au imekosewa kutekelezwa, hebu fafanua pendekezo lako.
 
Kati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria.

Leo Assad amejitokeza na kuelezea mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji wa bandari na kuungwa mkono na Paskal (Mwanasheria) hapa bado sijamuelewa Paskal uungaji wake mkono, is it a matter of masters are always right!
Assad hajachambua kifungu chochote cha sheria so kimsingi anaonesha tu uzuri wa kuwekeza na kwamba sisi Aftika siku zote hatutaweza! Waandishi wetu nao ni sifuri, wangemuuliza kuh vifungu yeye anaonaje
 
Assad hajachambua kifungu chochote cha sheria so kimsingi anaonesha tu uzuri wa kuwekeza na kwamba sisi Aftika siku zote hatutaweza! Waandishi wetu nao ni sifuri, wangemuuliza kuh vifungu yeye anaonaje
Hauwezi kumuuliza mtu asiye mwanasheria kuhusu vifungu vya sheria, yeye amelenga kwenye mapato tu kama yatakuwepo akisahau kuwa aliyekuingiza mkenge na kuutambua udhaifu wako ndivyo atautumia kukupiga kisawasawa kwenye mgao wa ndululu huku akikuletea zawadi za tende na haruwa.
 
Back
Top Bottom