Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Ndo mana yakeKwa hiyo wote biyee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mana yakeKwa hiyo wote biyee!
Hakuna mtu alisema/tulimsema vibaya kama Magufuli tena akiwa hai na katoon za hovyo kabisa tuache unafikiTafuta Post zangu za wakati ule uone ngapi zilifutwa nami mara ngapi nilipigwa ban.
Profesa Assad bwana, any way aendelee kutoa miadhara pale MUMKati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria.
Leo Assad amejitokeza na kuelezea mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji wa bandari na kuungwa mkono na Paskal (Mwanasheria) hapa bado sijamuelewa Paskal uungaji wake mkono, is it a matter of masters are always right!
Prof. Assad! Huyu fani yake ni ya ndululu na matumizi yake, Paskali fani yake ni ya sheria imetekekezwa kiusahihi au imekosewa kutekelezwa, hebu fafanua pendekezo lako.Profesa Assad bwana, any way aendelee kutoa miadhara pale MUM
Assad hajachambua kifungu chochote cha sheria so kimsingi anaonesha tu uzuri wa kuwekeza na kwamba sisi Aftika siku zote hatutaweza! Waandishi wetu nao ni sifuri, wangemuuliza kuh vifungu yeye anaonajeKati ya Post zilizomo humu leo nimemuona Paskal akimuunga mkono Assad, Paskal ni mwanasheria mzuri Assad tunamfahamu kwa umahili wake kwenye mahesabu ya ndululu sijui kama naye ni mwanasheria.
Leo Assad amejitokeza na kuelezea mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji wa bandari na kuungwa mkono na Paskal (Mwanasheria) hapa bado sijamuelewa Paskal uungaji wake mkono, is it a matter of masters are always right!
Hauwezi kumuuliza mtu asiye mwanasheria kuhusu vifungu vya sheria, yeye amelenga kwenye mapato tu kama yatakuwepo akisahau kuwa aliyekuingiza mkenge na kuutambua udhaifu wako ndivyo atautumia kukupiga kisawasawa kwenye mgao wa ndululu huku akikuletea zawadi za tende na haruwa.Assad hajachambua kifungu chochote cha sheria so kimsingi anaonesha tu uzuri wa kuwekeza na kwamba sisi Aftika siku zote hatutaweza! Waandishi wetu nao ni sifuri, wangemuuliza kuh vifungu yeye anaonaje