Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Hii ilikuwa mwaka 2019. Mpaka leo hatujui alipo. Au ndio aliliwa na wanyama huko Katavi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi Chaula?Ya sita imeongoza, sahivi ukisema suu umeenda
Chaula ni mdogo sana yani ingekuwa wakati wa jiwe asingemshughulikia na kama hata ingetokea akamind basi angechappwa viboko tu. Mtu kama Sativa hakuwa wa kupiga risasi hakuwa na impact yoyote kwa mamlaka mpaka kufanyiwa vileHadi Chaula?
Awamu ya sita baadhi ya watekaji wamejitokeza hadharani kuitaka police isitafute wanaopotezwa kwani wanaikosoa serikali.Hii ilikuwa mwaka 2019. Mpaka leo hatujui alipo. Au ndio aliliwa na wanyama huko Katavi?View attachment 3065280
Zote.Hii ilikuwa mwaka 2019. Mpaka leo hatujui alipo. Au ndio aliliwa na wanyama huko Katavi?View attachment 3065280
Mojawapo ya legasi za yule mwovu wa ChatoHii ilikuwa mwaka 2019. Mpaka leo hatujui alipo. Au ndio aliliwa na wanyama huko Katavi?View attachment 3065280
Hii ilikuwa mwaka 2019. Mpaka leo hatujui alipo. Au ndio aliliwa na wanyama huko Katavi?View attachment 3065280
Ya sita imeongoza, sahivi ukisema suu umeenda
Wakati ule ni mpaka umkere sana jiwe yani umu criticize yeye kama yeye, wakati wa Jiwe watu wa chini hawakutekwa. Mtu kama yule dogo aliyechoma picha au Sativa wasingetekwa wakati wa jiwe, "bibi" anaona mnamdharau she is trying to assert dominance
Ukosoaji kamwe hauwezi kudhibitiwa kwa kuua Watu, kuteka Watu au kwa kuwafanyia watu uovu wa aina yoyote ile.Chaula ni mdogo sana yani ingekuwa wakati wa jiwe asingemshughulikia na kama hata ingetokea akamind basi angechappwa viboko tu. Mtu kama Sativa hakuwa wa kupiga risasi hakuwa na impact yoyote kwa mamlaka mpaka kufanyiwa vile
CCM ni chama cha wauajiYa 4 🐼
Ulimboka, Bashe, Nyololo nk
CCM ni chama cha wauajiYa 4 🐼
Ulimboka, Bashe, Nyololo nk
Chura kiziwi ni very insecure, twitter(X) kila siku wanakazi yaku repost vijana waliopotea kama imeshakuwa normal, chura kiziwi anasema ni dramaHii ilikuwa mwaka 2019. Mpaka leo hatujui alipo. Au ndio aliliwa na wanyama huko Katavi?View attachment 3065280
Aisee! kumbe wanaodai wametekwa ni sehemu ya DRAMA tu! 😳Awamu hii hakuna utekaji, Kuna drama tu.
Jiwe kateka na kuuwa watu wengi sana. Ndiyo maana akafa mapema.