profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Alex na runx kwanza ndani space ndogoUsichukue Belta.
Kwanini? Shape yake mbaya. Ni kama walichukua VITZ wakaongeza matako ya VEROSSA kwa nyuma...
Usichukue Raum mkuu utakuja kuji_LAUMWakuu, kati ya premio, belta, allex na raum zote 1.5l nichukue ipi, kipato changu cha kawaida,vigezo
1. Ulaji mdogo mafuta
2. Spare bei nafuu
3. Body imara
4. Kuhimili safari ndefu kila siku, km150 kwa siku.
Ni hayo tu wazoefu wa magari, nipeni msaada.
dah mkuu una chuki binafsi na magari imara 🤣🤣🤣🤣Usichukue Belta.
Kwanini? Shape yake mbaya. Ni kama walichukua VITZ wakaongeza matako ya VEROSSA kwa nyuma...
hivi mkuu kuna passo''kali"?Premio.
Tena chukua Premio New model ile ina rangi ya Maroon, tamu ile wewe. Ni balaa.
Sema nyingi naona zina 1.8L.
Tofauti ya 1.5L na 1.8L sio kubwa kiviiiile.
Cheki inavong'aa... Cheki.
View attachment 2518947
View attachment 2518948
Mimi sina hiyo gari, namiliki Passo kali vioo tinted. Siku uchumi wangu ukiwa vizuri lazima nivute Premio New Model Maroon color
Sasa umependekeza lipi chief?Usichukue Belta.
Kwanini? Shape yake mbaya. Ni kama walichukua VITZ wakaongeza matako ya VEROSSA kwa nyuma.
View attachment 2518963
Usichukue Raum.
Kwanini? Ule mlango wake wa kuburuza ukianza kuzingua unazinguaga ule wewee...
View attachment 2518962
Usichukue Allex.
Kwanini? Hivi vigari vilivokatwa matako sijui huwa navionaje.
View attachment 2518961
Hahahhqhivi mkuu kuna passo''kali"?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cheki inavong'aa... Cheki
hiyo ndio gari sasa,gari ya kazi.Allex
Ushaujulia chief? Hongera sana [emoji3][emoji3][emoji3]Nina Raum na naipenda kufa...haina tatizo lolote mlango nishaujulia
mlango unashida gani mpaka uujulie mkuu?Nina Raum na naipenda kufa...haina tatizo lolote mlango nishaujulia