Kati ya Belta, Premio, Allex na Raum, zote 1.5l, nichukue ipi?

Kati ya Belta, Premio, Allex na Raum, zote 1.5l, nichukue ipi?

Premio.
Tena chukua Premio New model ile ina rangi ya Maroon, tamu ile wewe. Ni balaa.

Sema nyingi naona zina 1.8L.
Tofauti ya 1.5L na 1.8L sio kubwa kiviiiile.

Cheki inavong'aa... Cheki.
Screenshot_20230216-075657.jpg

Screenshot_20230216-075747.jpg

Mimi sina hiyo gari, namiliki Passo kali vioo tinted. Siku uchumi wangu ukiwa vizuri lazima nivute Premio New Model Maroon color
 
Usichukue Belta.
Kwanini? Shape yake mbaya. Ni kama walichukua VITZ wakaongeza matako ya VEROSSA kwa nyuma.
Screenshot_20230216-080827.jpg


Usichukue Raum.
Kwanini? Ule mlango wake wa kuburuza ukianza kuzingua unazinguaga ule wewee...
Screenshot_20230216-081214.jpg


Usichukue Allex.
Kwanini? Hivi vigari vilivokatwa matako sijui huwa navionaje.
Screenshot_20230216-080942.jpg
 
Wakuu, kati ya premio, belta, allex na raum zote 1.5l nichukue ipi, kipato changu cha kawaida,vigezo
1. Ulaji mdogo mafuta
2. Spare bei nafuu
3. Body imara
4. Kuhimili safari ndefu kila siku, km150 kwa siku.

Ni hayo tu wazoefu wa magari, nipeni msaada.
Usichukue Raum mkuu utakuja kuji_LAUM
 
Premio.
Tena chukua Premio New model ile ina rangi ya Maroon, tamu ile wewe. Ni balaa.

Sema nyingi naona zina 1.8L.
Tofauti ya 1.5L na 1.8L sio kubwa kiviiiile.

Cheki inavong'aa... Cheki.
View attachment 2518947
View attachment 2518948
Mimi sina hiyo gari, namiliki Passo kali vioo tinted. Siku uchumi wangu ukiwa vizuri lazima nivute Premio New Model Maroon color
hivi mkuu kuna passo''kali"?
 
Back
Top Bottom