Egbert saka
Member
- Jun 19, 2024
- 43
- 36
Kati ya Clinical Medicine, Dentist na Radiology ipi ni kozi nzuri kwa sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuajiliwa yaaniNzuri katika nyanja ipi?
- Kipesa?
-Kijamii?
- Kitaaluma?
Sawa but lazima uangalie upepo unaendaje katika soko LA ajiraKozi inakua nzuritu pale unapopata ajira kama ajira hupati kozi sio nzuri
WapiNipo huko
RadiologyWapi
Nisaidie na me Nina wish kusomea hyo kozi je ni chuo gani cha government kizuri kinachotoa hyo kozi ukiondoa muhas kwa diploma lakiniRadiology
Naona mbeya wameanzishaNisaidie na me Nina wish kusomea hyo kozi je ni chuo gani cha government kizuri kinachotoa hyo kozi ukiondoa muhas kwa diploma lakini
Asante vpi kwa vyuo vya private unaeza pata mkopoNaona mbeya wameanzisha
Now viko vingi omba dirisha liko wazi kuna Mbeya,Kigoma nk wanatoa muhimu nenda kadownload guide book ya mwaka huu utaona. Mwisho wa kuomba ni tarehe 30 mwezi huu.Nisaidie na me Nina wish kusomea hyo kozi je ni chuo gani cha government kizuri kinachotoa hyo kozi ukiondoa muhas kwa diploma lakini
Now vyuo viko karibu 8 vya serikali acheki guide book ataonaNaona mbeya wameanzisha
Hapo upepo mzuri kwa Sasa ni mtaji wako maana kikokotoo ndio hivyo tenaSawa but lazima uangalie upepo unaendaje katika soko LA ajira
SureNow viko vingi omba dirisha liko wazi kuna Mbeya,Kigoma nk wanatoa muhimu nenda kadownload guide book ya mwaka huu utaona. Mwisho wa kuomba ni tarehe 30 mwezi huu.
OK thanksNow viko vingi omba dirisha liko wazi kuna Mbeya,Kigoma nk wanatoa muhimu nenda kadownload guide book ya mwaka huu utaona. Mwisho wa kuomba ni tarehe 30 mwezi huu.
KUAJIRIWA. Andika vizuriKuajiliwa yaani