Egbert saka
Member
- Jun 19, 2024
- 43
- 36
- Thread starter
- #21
KUAJIRIWA. Andika vizuri
Haya kuajiriwa. Nambie sasaKUAJIRIWA. Andika vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUAJIRIWA. Andika vizuri
Haya kuajiriwa. Nambie sasaKUAJIRIWA. Andika vizuri
DentistKati ya Clinical Medicine, Dentist na Radiology ipi ni kozi nzuri kwa sasa?
KwaniniDentist
Nishawishi ndugu yangu kuhusu hyo coursechukua dental inafaa kuajiriwa na kujiajiri----
Acha ujuaji🤣Nzuri katika nyanja ipi?
- Kipesa?
-Kijamii?
- Kitaaluma?
VP nambie na weweAcha ujuaji🤣
Hi no.3 ni kuhusu nini1.Radiology
2.Dentistey
3.Optometery
4.Nursing
5.Biomedical Engineering.
Omba City college campus ya Mwanza kama una Ufaulu wa Kawaida.VP nambie na wewe
Majicho hasa Miwani.Hi no.3 ni kuhusu nini
Thanks kwa advice yako1.Dental (hii ukijiajiri sehemu poa utapiga hela maana utafanya vitu vingi)
2.Radiology(hii kuajiriwa unapata ,kujiajiri nzuri pia ila hutafanya vitu vingi kutokana na ughali wa vifaa vyake ukitoa ultrasound).
3.Clinical medicine huu utaajiriwa na serikali ila mtaa unejas now ni kozi nzuri kama unataka future kubwa kwenye ishu ya kutibu.
kwanini asisomee kama jina lako...Kasome Radiology
Kigoma kipo mwenyewe nmefankiwa kuchaguliwa kwa course ya radiologyOK thanks
Samahan kwan wew ushaipitia iyo course?Radiology