Kati ya Clinical Medicine, Dentist na Radiology ipi ni kozi nzuri kwa sasa?

Kati ya Clinical Medicine, Dentist na Radiology ipi ni kozi nzuri kwa sasa?

Samahan kwan wew ushaipitia iyo course?
Hapana sijaipotia ,Kuna mtu wangu wa karibu sana alinishauri nimsomeshe kijana wangu course hiyo (radiology) kwani soko lake la ajira walau lipo vizuri ukilinganisha na clinical medicine na nyinginezo
 
Hapana sijaipotia ,Kuna mtu wangu wa karibu sana alinishauri nimsomeshe kijana wangu course hiyo (radiology) kwani soko lake la ajira walau lipo vizuri ukilinganisha na clinical medicine nanyingi
 
Back
Top Bottom