[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aliyeshindwa battle na Mpoleee??? Utopolo mnachekesha sana nyie, khaaaah.Kolo wahuni nyie. Mlianzishaga uzi "kibu vs mayele", chama vs mayele sasa mmeutelekeza mmekuja na phiri vs mayele.
Baada ya hapo mzungu wenu akifunga vigoli viwili mtakuja mzungu vs mayele.
. Yaan mayele huyohuyo anapiganishwa na idadi kubwa ya wachezaji.
Mayele tuvuke mipaka sasa apiganishwe na akina Halland, Messi, Benzema, Mbape n k
Kama lakshindwa battle kwa nn msiwalinganishe hao wachezaji wenu na huyo George mpole?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aliyeshindwa battle na Mpoleee??? Utopolo mnachekesha sana nyie, khaaaah.
Kumbe ilikua league? Timu gan nyingine tofauti ya mlete mzunguuuu na warembo wauza nnya zilishiriki?Ligi ya ngao ya jamii, thimba wanajua.
nashangaa kama wanaona mfungaji bora wao yuko vyema basi alinganishwe na phiri ila analinganishwa mayeleKama lakshindwa battle kwa nn msiwalinganishe hao wachezaji wenu na huyo George mpole?
Hapa ndo akili zao zinapofeli. All in all mioyoni mwao wanajua moto wa Mayele pamoja na kudhulumiwa magoli yake: vs geita, vs mbeya city, vs mtibwa.nashangaa kama wanaona mfungaji bora wao yuko vyema basi alinganishwe na phiri ila analinganishwa mayele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unalia nn? Kisa jina la mpoleee?? KhaaaahKama lakshindwa battle kwa nn msiwalinganishe hao wachezaji wenu na huyo George mpole?
upo zako unaangalia mpira wa mexico vs poland, au australia vs france, afu mtu analeta story za mayele au firi sijui nini, inachefuaaa balaa. kwamba hao nao wanajua mpira? wasubiri hadi kombe la dunia liishe ndio wajadiliwe.Habari, kama thread inavyosema, hivi kati ya Mayele mfalme wa Jangwani na Phiri mfalme wa Msimbazi, nani ni mtu hatari zaidi bila ushabiki.
Daah Mayele unamfananisha na vitu vua ajabu ajabu tuHabari, kama thread inavyosema, hivi kati ya Mayele mfalme wa Jangwani na Phiri mfalme wa Msimbazi, nani ni mtu hatari zaidi bila ushabiki.
Kolo weeeupo zako unaangalia mpira wa mexico vs poland, au australia vs france, afu mtu analeta story za mayele au firi sijui nini, inachefuaaa balaa. kwamba hao nao wanajua mpira? wasubiri hadi kombe la dunia liishe ndio wajadiliwe.
Kwani Phiri ana tugoli tungapi?Habari, kama thread inavyosema, hivi kati ya Mayele mfalme wa Jangwani na Phiri mfalme wa Msimbazi, nani ni mtu hatari zaidi bila ushabiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Phiri ana tugoli tungapi?
mayele kapiga sana hao simbaKwan phiri hafungi? Acha ushabiki