Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hii imeendaJamaa anajaribu kutafuta tofauti ya "Katambuga" na "Malapa"
View attachment 2753077
🤣 Landcruiser pickup
View attachment 2753078
🤣 Ford Ranger pickup
Hii ndio tofauti iliyopo baina ya hayo magari mawili.
You cant be giving an advantage of durability ford ranger over Landcruiser hard top. Ford hana an equivalent to Landcruiser hardtop kwe ye durability wala kwenye class ya LC.cruiser kwenye maintenance ni cheap kuliko ford, interms of spare parts na mafundi ila kwenye durability ford ranger Hana mpinzani
LC hazinaga mwendo; inachapwa hadi na Rav4, Crown, Subaru, etc! Ila kwa kuwa sio kwa ligi za barabarani, kwa off-road business iko vizuri.
Kwanza define 'durability'.cruiser kwenye maintenance ni cheap kuliko ford, interms of spare parts na mafundi ila kwenye durability ford ranger Hana mpinzani
Kwenye durability kweli 1hz ni kiboko ila kwa power ford ranger ni zaidi labda hiyo LC iwe ile yenye injini ya 1VD FTV.Sasa hapo kuna kulinganisha kweli? Cruiser is more powerful and durable. Labda kama unacompare na hilux
[emoji13][emoji13][emoji13] Kuna Ford ranger na kuna Ford Raptor, Ford F150, Ford F250, Ford F350, Ford F450, Ford F550, Ford F650 mpaka F950 hukoooKwenye durability kweli 1hz ni kiboko ila kwa power ford ranger ni zaidi labda hiyo LC iwe ile yenye injini ya 1VD FTV.
Mahindra Bollero au ScropionHZJ70 bila ngao na ile antena pale mbele ni sawa na mahindra tu!!!
Mkuu kwani we Nguvu ya gari unaipimaje? Maana umei'outsmart' Ranger vibaya sana!![emoji13][emoji13][emoji13] Kuna Ford ranger na kuna Ford Raptor, Ford F150, Ford F250, Ford F350, Ford F450, Ford F550, Ford F650 mpaka F950 hukooo
Ford ranger kalinganishe na Hilux bro yaani hana maajabu ya kumlinganisha na LC70, Hata Nissan NP300 anaetumiwa na Yarp Markez ana nguvu kuliko ranger [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Labda kama utazungumzia ford hizo zingine lakini sio Ranger
Ni huu uzi naona tunashindanisha Nyuki na Nzi, wakati waundaji wenyewe wanapambana sokoni kwa product hizi
Toyota - Hilux
Ford - Ranger
Volkswagen - Amarok
Nissan - Navara/ Hardbody
Isuzu - Dmax
Mazda - BT50
Honda - Ridgeline
Tata - Xenon
Mitsubishi - Triton
Toyota mbali na Hilux anazo V8 dual cab Toyota Tundra/ Toyota Tacoma kutokana na kukua kwa technology ameanza kutoa matoleo ya V6 engines zenye performance kubwa na fuel efficiency nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Bollero mkuu!Mahindra Bollero au Scropion
Hata kwa akili tu ya kawaida huwezi kulinganisha LC na uchafu mwingine! Chukua LC utakuja kutuletea taarifa! Mashine naikubali sana ile!Ingawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake".
Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi.
SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA:
1. Double Cabin Pick Up
2. Limudu safari ndefu za mara kwa mara
3. Limudu barabara za aina zote: lami, vumbi, na hata zenye utelezi nyakati za mvua
4. Liwe na uwezo wa kubeba mizigo midogo mara kwa mara na wakati mwingine muda mrefu - kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine au mingine
5. Lililo na uwezekano wa kudumu
muda mrefu.
Lipi linakidhi hivyo vigezo kati ya FORD RANGER na LAND CRUISER?
Kuna lililo bora zaidi kuzidi hayo machaguo mawili?
View attachment 2751225View attachment 2751229View attachment 2751231View attachment 2751238View attachment 2751239
Ahahaaa nimetumia gari zote, Ford, Nissan, Hilux zote O Km, ilichonacho cha ziada Ford ranger ni comfortability tu.Mkuu kwani we Nguvu ya gari unaipimaje? Maana umei'outsmart' Ranger vibaya sana!!
Jibu swali nguvu ya gari unaipimaje?hakuna aliyesema lc70 sio ngumu na kwanini isiwe ngumu injini ya toka 90 huko au tunalinganisha ugumu tu , hiyo 129 hp unaiona ni nguvu kubwa sana kuliko3f, 1fz,1gr,1vd,1hd zilizowahi kuwekwa humo kwenye 70series?tueleweshe nguvu ipo kwenye body au engine?!kuna comfortability,power,fuel consumption,durability...wewe unataka tuchague kipi?Ahahaaa nimetumia gari zote, Ford, Nissan, Hilux zote O Km, ilichonacho cha ziada Ford ranger ni comfortability tu.
Field huko kuna magari yake bro.
Serikali inanunua LC, hizo ford haizioni au haizijui????
Taasisi ngapi za kiraia naona zimejazana kwenye LC hizo Ford haizioni???
ISIS, huko Middle East, fleet lao ni full LC na Hilux tena vitu mang'anyu. Hizo Ford hawazioni????
M23 huko Goma wanatumia vyuma vipi???