Kati ya Ford Ranger Double Cabin na Land Cruiser Double Cabin, lipi ni gari bora zaidi kwa kazi za "porini"?

Kati ya Ford Ranger Double Cabin na Land Cruiser Double Cabin, lipi ni gari bora zaidi kwa kazi za "porini"?

Japo muda ulipita wa hii thread, ila Lc usiifananishe na Ford range, F R ifananishe na mahindra mkuu maana ata hilux ukiifananisha na FR unaishushia heshima.

Huko field nimetumia gari zote Lc,Defender, Hilux F r hapo gari iliyoongoza kukwama na kuvuta mara kwa mara tena sehemu za kijinga tu ni hiyo FR.
Defender ni nzuri sana 4whl yake haikwami kizembe shida yake ni miguu na bush, sweevle bearing tu ndio kila trip utabadilisha ila ni jeuri haswaa kwenye tope mchanga milima utaipenda ukifungu tyre BF all terrain utaipenda.

Chukua LC uje ulete mrejesho hapa na kwa kukupa uhalisia jaribu kutumia FR kwa kukodisha halafu uone haya tuliyoyasema humu kama ni uongo au ukweli.
 
Kwenye off road sawa ila sio nguvu ya injini 1hz haina nguvu na ukitaka ijaribu mlimani,suala la off road halihusiani na nguvu ya injini, suzuki jimny zinatamba off road si kwa sababu ya nguvu ya injini.
Aahahaaaa, nguvu ya engine isiyokuwa na msaada ya nini???? [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Pamoja na nguvu kubwa ya engine zote ubaoni ni 200km/h. Ukija kwenye acceleration kuna Ford ranger 3.2 liters mazito kweli kwenye kuchanganya
 
Ahahaaa nimetumia gari zote, Ford, Nissan, Hilux zote O Km, ilichonacho cha ziada Ford ranger ni comfortability tu.

Field huko kuna magari yake bro.

Serikali inanunua LC, hizo ford haizioni au haizijui????

Taasisi ngapi za kiraia naona zimejazana kwenye LC hizo Ford haizioni???

ISIS, huko Middle East, fleet lao ni full LC na Hilux tena vitu mang'anyu. Hizo Ford hawazioni????

M23 huko Goma wanatumia vyuma vipi???
Hahaha! Mkuu wewe ni balozi mzuri wa J70
 
Aahahaaaa, nguvu ya engine isiyokuwa na msaada ya nini???? [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Pamoja na nguvu kubwa ya engine zote ubaoni ni 200km/h. Ukija kwenye acceleration kuna Ford ranger 3.2 liters mazito kweli kwenye kuchanganya
Kisahani kuwa 200 kwa injini ya diesel yenye 3.2L unashangaa?ila hz yenye 4.2L kufika 160 mtihani na unaona kawaida?suala la ulaji mzuri wa mafuta ndio kipaumbele kwa sasa .Na ndio maana walitoa ranger ya 2.0L yenye hp 210 na wewe ukabaki na hz yako ya cc4200 ya hp 129 kisa tu ni ngumu!wajapan wameliona hilo wakaamua kuiwekea injini ya 2.8L yenye hp 201.Nitakacho ki miss ni ugumu tu wa hiyo injini na mlio wake.
 
Kisahani kuwa 200 kwa injini ya diesel yenye 3.2L unashangaa?ila hz yenye 4.2L kufika 160 mtihani na unaona kawaida?suala la ulaji mzuri wa mafuta ndio kipaumbele kwa sasa .Na ndio maana walitoa ranger ya 2.0L yenye hp 210 na wewe ukabaki na hz yako ya cc4200 ya hp 129 kisa tu ni ngumu!wajapan wameliona hilo wakaamua kuiwekea injini ya 2.8L yenye hp 201.Nitakacho ki miss ni ugumu tu wa hiyo injini na mlio wake.
Wenzetu waliishamaliza hii league, tumebakia sisi wamatumbi...

Hakuna sehemu wameacha, kuanzia kwenye

Engine capacity
Field performance
Fuel consumption
Comfortability
Reliability
Price per unit

Over all 70 series bado ni gari Bora kuliko Ford Ranger


View: https://youtu.be/c2QAT715c7w?si=noUKh6CRiBVEV7vK
 
Kisahani kuwa 200 kwa injini ya diesel yenye 3.2L unashangaa?ila hz yenye 4.2L kufika 160 mtihani na unaona kawaida?suala la ulaji mzuri wa mafuta ndio kipaumbele kwa sasa .Na ndio maana walitoa ranger ya 2.0L yenye hp 210 na wewe ukabaki na hz yako ya cc4200 ya hp 129 kisa tu ni ngumu!wajapan wameliona hilo wakaamua kuiwekea injini ya 2.8L yenye hp 201.Nitakacho ki miss ni ugumu tu wa hiyo injini na mlio wake.
Chief unadefine power vipi katika upande wa engine? Nadhani inabidi ujeree vizuri power maana yake nini.

Unapozungumzia power kwenye engine. Unatakiwa kuangalia vitu viwili. Torque vs HP.

Tuanze na horsepower.
Engine ya ya IST ya 1NZ ina 109.5 Hp na kisahani kina 180 km

Engine ya tractor ina 60HP na kisahani ni KM 60 maximum .Tractor liko capable kuvuta trailer ya mpaka 10 tones na lisikwame kwenye mlima wowote ule. Kazi ambayo IST hata kuisogeza iyo trailer kwenye lami haiwezi. Utajiuliza kwa nini! Jibu ni torque.

Kwenye landcruiser ya 1hz, its not designed for speeding, but for torque. Ndo maana engine iyo iko kwenye Toyota coster ikabeba watu 30 na ikawa poa tu barabarani.

Kwa toerque ambayo engine ya 1HZ inayo, hakuna kilima itashindwa kupanda, haitapanda kwa speed. Ila itapanda hata ikiwa inavuta mzigo nyuma. Kwa sababu engine ina torque.


Manufacturer wengi baada ya kuona watu wanapenda luxury kwenye magari, wakaanza kutengeneza magari yenye speed, na in principle as long as una maximize speed ya chombo, lazma uwe una compromise upande wa torque.

Ndo maana toyota akatengeneza 1HD akaiweka kwenye LC amazon na si kwenye mkonga. Akaweka akina 1KD na 1GD kwenye prado na hilux ili wapambane na kina ford ranger, Japo bado ana maintain engine yake ya 5L, ambalo halina mbio, ila hakuna kazi utalipa likashindwa kufanya. 5L ni engine ya miaka ya 90, na mpka sasa baadhi ya prado 150 na hilux zinakuja na hii engine.

So chief, HP sio determining factor ya power ya engine...we use torque zaidi kupima nguvu ya engine kwenye magari ya kazi.
 
cruiser kwenye maintenance ni cheap kuliko ford, interms of spare parts na mafundi ila kwenye durability ford ranger Hana mpinzani
Durability ford is better than Toyota? Ndugu yangu kuwa serious basi. Anyway, inategemeana na mtumiaji mwenyewe anavolitumia gari yake. Ila kwa upande wa Toyota uipeleke barabara ngumu kiasi gani, still bado itaonekana kuwa durable zaidi ukilinganisha na Ford
 
Wakuu sina uzoefu sana na magari ila kuna hizi gari za land rover 110, japokuwa zimesitishwa kutengenezwa lakini nahisi ni gari ambalo liko akilini mwangu tokea zamani.

Mwenye ujuzi naomba anisaidie faida na hasara za kumiliki hili gari.

Je katika kupambana na mazingira magumu linaweza kushindana na magari kama land cruiser?.

Nimefuatilia sana kuhusu upatikanaji wake sasa hivi umekuwa adimu sana. Je kwa nchi kama south Africa linaweza kuwa adimu kama ilivyo kwa tz? Ahsante.

Hii gari unanunua iliyotelekezwa then unaileta Arusha wanaimfufua
Haitakua na gharama sana kama ukiagiza kutoka uk
 
Nissan kamfuata Toyota huko huko juu, baada ya Toyota kutoka na LC 300 series V6. Sasa Nissan patrol baada ya kutokufanya vizuri na gari lake Nissan Y63 V8 petrol engine. Sasa kahamua kurudi sokoni na Nissan Patrol V6 3.5 liter super charged kwa ajili ya kupambana na LC 300 series. Inawezekana akafanya vizuri kutokana na kuwa na bei rafiki sokoni zaidi ya mpinzani Toyota.

Naona Nissan kurudi kwenye soko la Tanzania hasa serikalini kama ilivyokuwa kipindi cha Kikwete.

⚠️Tutafute helaaaa, watu wanabadili magari kama simu.
b1d55ac698e0a594836283a906d03939.png
 
Nissan kamfuata Toyota huko huko juu, baada ya Toyota kutoka na LC 300 series V6. Sasa Nissan patrol baada ya kutokufanya vizuri na gari lake Nissan Y63 V8 petrol engine. Sasa kahamua kurudi sokoni na Nissan Patrol V6 3.5 liter super charged kwa ajili ya kupambana na LC 300 series. Inawezekana akafanya vizuri kutokana na kuwa na bei rafiki sokoni zaidi ya mpinzani Toyota.

Naona Nissan kurudi kwenye soko la Tanzania hasa serikalini kama ilivyokuwa kipindi cha Kikwete.

⚠️Tutafute helaaaa, watu wanabadili magari kama simu.
View attachment 2779594
Hizi kaja na diesel engine au Ni petrol tu
 
Sasa hapo kuna kulinganisha kweli? Cruiser is more powerful and durable. Labda kama unacompare na hilux

LCruiser a.k.a punda... sharti mzigo ufike!



-Kaveli-
 
🙏🙏🙏

Nimepachagua South Africa kwa sababu nataka nifike kuliona kabla ya kulilipia. Japan nahisi itakuwa gharama kubwa kuzidi South Africa. Hata wanafamilia wengi wa humu Jamii Forum wanaliafiki hilo, kwamba kuna unafuu endapo nitalichukulia South Africa.
Na za South Africa zina tembea zaidi kasi kuliko za Japan, South wanapenda mbio sana . Chukuwa LC utafaidi utendaji wake kikubwa jali matengenezo tu .
 
Back
Top Bottom