Kati ya Ford Ranger Double Cabin na Land Cruiser Double Cabin, lipi ni gari bora zaidi kwa kazi za "porini"?

Kati ya Ford Ranger Double Cabin na Land Cruiser Double Cabin, lipi ni gari bora zaidi kwa kazi za "porini"?

Ingawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake".

Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi.

SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA:
1. Double Cabin Pick Up

2. Limudu safari ndefu za mara kwa mara

3. Limudu barabara za aina zote: lami, vumbi, na hata zenye utelezi nyakati za mvua

4. Liwe na uwezo wa kubeba mizigo midogo mara kwa mara na wakati mwingine muda mrefu - kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine au mingine

5. Lililo na uwezekano wa kudumu
muda mrefu.


Lipi linakidhi hivyo vigezo kati ya FORD RANGER na LAND CRUISER?

Kuna lililo bora zaidi kuzidi hayo machaguo mawili?

View attachment 2751225View attachment 2751229View attachment 2751231View attachment 2751238View attachment 2751239
LC ni moja kati ya gari nzuri ya kufanyia kazi kwenye mapori
 
Ingawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake".

Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi.

SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA:
1. Double Cabin Pick Up

2. Limudu safari ndefu za mara kwa mara

3. Limudu barabara za aina zote: lami, vumbi, na hata zenye utelezi nyakati za mvua

4. Liwe na uwezo wa kubeba mizigo midogo mara kwa mara na wakati mwingine muda mrefu - kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine au mingine

5. Lililo na uwezekano wa kudumu
muda mrefu.


Lipi linakidhi hivyo vigezo kati ya FORD RANGER na LAND CRUISER?

Kuna lililo bora zaidi kuzidi hayo machaguo mawili?

View attachment 2751225View attachment 2751229View attachment 2751231View attachment 2751238View attachment 2751239
Ukitaka comfortability chukua ford , ukitaka reliability chukua Land cruiser...
 
Bei ya Land Cruiser ataiweza? Webuycars nimenunua vyuma kadhaa Johannesburg (Dome na South) Wana gari Kali sana
Ni kwa sababu wanajiweza kiuchumi na ndio maana engine mbavu kama 1fz,1gr,1hd,1vd...unazikuta kwenye LC70 tena mpya tofauti na sisi Tayota Tanzania tuna injini moja tu iliyo kwenye 70 series 1hz.
 
Wakuu sina uzoefu sana na magari ila kuna hizi gari za land rover 110, japokuwa zimesitishwa kutengenezwa lakini nahisi ni gari ambalo liko akilini mwangu tokea zamani.

Mwenye ujuzi naomba anisaidie faida na hasara za kumiliki hili gari.

Je katika kupambana na mazingira magumu linaweza kushindana na magari kama land cruiser?.

Nimefuatilia sana kuhusu upatikanaji wake sasa hivi umekuwa adimu sana. Je kwa nchi kama south Africa linaweza kuwa adimu kama ilivyo kwa tz? Ahsante.
lc hapa ikipita amueni tusi la kunitukana.
 
iyo lc yenu ikivuka. hapa narudia mtafute tusi la kuniita
 

Attachments

  • VID-20240618-WA0001.mp4
    7 MB
Duuu!!! Kumbe hela zinatakiwa kutaftwa otherwise tutaishia kupanda bodaboda 🏃🏃
 
Mnyama wangu huyu bado Ana dunda,bingwa wa pori July lindi moja nkitoka huko wanangu wa chunya nakuja nkitokea lindi,
Huu moto usiufate,ukifata safari zangu utalala na kubaki huko

Ova
 

Attachments

  • 20240626_125835.jpg
    20240626_125835.jpg
    2.5 MB · Views: 8
Mnyama wangu huyu bado Ana dunda,bingwa wa pori July lindi moja nkitoka huko wanangu wa chunya nakuja nkitokea lindi,
Huu moto usiufate,ukifata safari zangu utalala na kubaki huko

Ova
ina kiatu matata sana.
 
Back
Top Bottom