Kati ya Gari ya Diesel na Petrol, ni ipi inatumia Mafuta sana?

Kati ya Gari ya Diesel na Petrol, ni ipi inatumia Mafuta sana?

Kindeena

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
11,462
Reaction score
21,124
Kuna fundi aliniambia kwamba petrol ni nyepesi na hivyo huhitajika kiasi kikubwa ili injini ipate nguvu ya mzunguko.
Ila diesel ni nzito kuliko petrol hivyo huhitajika kidogo ili kusukuma injini.
Na pia, mfano, trekta, kwenye tank la mafuta kuna pipe mbili: moja ya kupeleka mafuta kwenye filters then kwenye injini, halafu kuna pipe ambayo ni return yaani inatoa mafuta kwenye injini yanarudi kwenye tank tena.
Sasa nataka kujua, je, kati ya gari ya petrol yenye cc 2500 na ya diesel yenye cc 2500 ni ipi inakula mafuta sana?
Specifically, Lita moja ya diesel kwa injini ya cc2500 inaenda kilometers ngapi?
 
Kuna fundi aliniambia kwamba petrol ni nyepesi na hivyo huhitajika kiasi kikubwa ili injini ipate nguvu ya mzunguko.
Ila diesel ni nzito kuliko petrol hivyo huhitajika kidogo ili kusukuma injini.
Na pia, mfano, trekta, kwenye tank la mafuta kuna pipe mbili: moja ya kupeleka mafuta kwenye filters then kwenye injini, halafu kuna pipe ambayo ni return yaani inatoa mafuta kwenye injini yanarudi kwenye tank tena.
Sasa nataka kujua, je, kati ya gari ya petrol yenye cc 2500 na ya diesel yenye cc 2500 ni ipi inakula mafuta sana?
Specifically, Lita moja ya diesel kwa injini ya cc2500 inaenda kilometers ngapi?
Gari ya Diesel hainywi mafuta mengi kama ya petrol.Changamoto ya gari za Diesel ni matengenezo hasa kama gari halitumiki sana.
 
Mkuu mafuta yakishachomwa hayarudi tena labda unieleweshe vizur hapo lakini usichanganye na hydrolicky


Labda ni Mimi sijaelewa, ila trekta, kwenye tank lake la mafuta kuna pipe mbili: moja juu kabisa ya tank ambayo ni return pipe, na moja ipo chini kabisa ambayo inapeleka mafuta kwenye injini.

Na niliaambiwa yakichomwa yanarudi
 
Labda ni Mimi sijaelewa, ila trekta, kwenye tank lake la mafuta kuna pipe mbili: moja juu kabisa ya tank ambayo ni return pipe, na moja ipo chini kabisa ambayo inapeleka mafuta kwenye injini.

Na niliaambiwa yakichomwa yanarudi
Kakupa kamba huyo
 
Gari za diesel zinatumia mafuta kidogo kuliko zinazotumia Petrol sema Magari yanayotumia Diesel service yake iko juu kuliko Petrol na yanahitaji uangalizi mkubwa hasa kwenye mafuta kwani ukiweka diesel iliyochakachuliwa unaua Engine, Gari ya diesel yenye cc 3000 inakwenda km 10 kwa lita 1 tofauti na Petrol inayokwenda km 6 kwa lita ndo maana gari za diesel mara nyingi bei yake iko juu
 
Gari za diesel zinatumia mafuta kidogo kuliko zinazotumia Petrol sema Magari yanayotumia Diesel service yake iko juu kuliko Petrol na yanahitaji uangalizi mkubwa hasa kwenye mafuta kwani ukiweka diesel iliyochakachuliwa unaua Engine, Gari ya diesel yenye cc 3000 inakwenda km 10 kwa lita 1 tofauti na Petrol inayokwenda km 6 kwa lita ndo maana gari za diesel mara nyingi bei yake iko juu
Mnazungumzia technologia za kizamani, siku hizi gari ya petrol CC4500 inatembea km 18 mpaka 19
 
Labda ni Mimi sijaelewa, ila trekta, kwenye tank lake la mafuta kuna pipe mbili: moja juu kabisa ya tank ambayo ni return pipe, na moja ipo chini kabisa ambayo inapeleka mafuta kwenye injini.

Na niliaambiwa yakichomwa yanarudi
Sio trekta tu,hata gari ya kawaida ya diesel iko hivyo
 
Gari ya petrol inatumia sana mafuta lakini ina speed nzuriii na inafika Top speed kwa harakaa... diesel inatumia mafuta less na inagain speed slow lakini ikigain speed aisee gari ya petrol inasubirii miaka 1000...
 
Gari ya petrol inatumia sana mafuta lakini ina speed nzuriii na inafika Top speed kwa harakaa... diesel inatumia mafuta less na inagain speed slow lakini ikigain speed aisee gari ya petrol inasubirii miaka 1000...


Ninakubaliana na wewe, maana nimeendesha trekta, ukianza namba moja ni ngurumo kubwa ila mwendo ni kama unatambaa, ukienda mbili inaamka kidogo, 3 inaanza kuwa nyepesi, nne inachanganya vizuri zaidi.

Diesel engines ni nzito
 
Gari ya petrol inatumia sana mafuta lakini ina speed nzuriii na inafika Top speed kwa harakaa... diesel inatumia mafuta less na inagain speed slow lakini ikigain speed aisee gari ya petrol inasubirii miaka 1000...
Ujinga wa diesel inapenda sana kutiwa vidole na mafundi. Trip za kwenda garage kwa gari ya diesel ni za mara kwa mara!
 
Mnazungumzia technologia za kizamani, siku hizi gari ya petrol CC4500 inatembea km 18 mpaka 19

Acha fiksi mkuu,gari ipi ya petrol ya cc 4500 haibugii mafuta?
Maana yake hata zile za hi-tec za hybrid sio za cc hizo
 
Back
Top Bottom