Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Gari ipi unayotumia wewe?
VNT 3000 CC D4D
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari ipi unayotumia wewe?
Labda diesel engine ambayo ni current mkuu ila kama ni zile zilizotoka enzi za mkapa anapokea kijiti zilikuwa zinazingua sanaGari gani hilo ndugu? Mbona mm natumia diesel na sijaona hayo?
VNT 3000 CC D4D
Ni imara ila maintance costs ziko juu compared to petrol! Labda kama unazungumzia current diesel engines ambazo ziko refined.Ambacho hujui ni kwamba...mfumo wa diesel ndo imara na wakudumu zaidi ya mfumo wa petrol.
Diesel ni kwaajili ya heavy duty machines. Na petrol ni kwaajili ya mashine nyepesi.
Mfumo wa diesel sio sumbufu kama petrol na unavumilia matatizo zaidi,
Mfumo wa diesel ni bei kubwa kuliko petrol (gari ya petrol ina bei ndogo lakini gari hiyo hiyo ikiwekwa injine ya diesel inapanda bei!)
Uliza bei ya jenereta la petrol na ufananishe na bei ya jenereta la diesel lenye uwezo huohuo, 'utahisi unaibiwa!
Kwani we uko dunia gani mkuu? Hebu itafute crown majesta cc4300 V8 uone mambo yake Lita moja kilomita 19Acha kutupiga kamba brother
Hiyo ni Crown majesta cc4300 V8Mkuu gari gani hii cc4500 petrol Lita 1 inaenda km18-19?
Crown majesta CC4300 V8mkuu ni gari gani hiyo yenye performance hiyo uliyoisema??
Sio kweli skuiz gari zina turbo hatari sana umeme kibao gari inatembea vibayaaaaaaGari ya petrol inatumia sana mafuta lakini ina speed nzuriii na inafika Top speed kwa harakaa... diesel inatumia mafuta less na inagain speed slow lakini ikigain speed aisee gari ya petrol inasubirii miaka 1000...
Mkuu unaijua vizuri gari inaitwa crown majesta? ina cc 4300 V8 INA gear 8, inatembea kilomita 19 kwa lita CVTAcha fiksi mkuu,gari ipi ya petrol ya cc 4500 haibugii mafuta?
Maana yake hata zile za hi-tec za hybrid sio za cc hizo
VNT 3000 CC D4D
Mmmmmhhhhhhh hii chai ungeipoza kidogo tunaungua wenzio.Mnazungumzia technologia za kizamani, siku hizi gari ya petrol CC4500 inatembea km 18 mpaka 19
😂😂 Noma sana mkuuMmmmmhhhhhhh hii chai ungeipoza kidogo tunaungua wenzio.
Jamaa katoa chai jikoni na kutia kwenye vikombe muda huohuo.[emoji23][emoji23] Noma sana mkuu
Inaonyesha ni jinsi gani watu wengi hamuyajui magari, wengi wenu si wapenzi wa magari na ni wavivu sana, sasa basi hebu ingia google uitafute crown majesta pa kuanzia tuMmmmmhhhhhhh hii chai ungeipoza kidogo tunaungua wenzio.
Inatumia Lita 1 km18? Jamani hebu acheni utaniHiyo ni Crown majesta cc4300 V8
Nimeandika huko juu..Hiyo ni Crown majesta cc4300 V8
Malizia HYBRID. Kwamba ina electric motor kwenye speed below 60 inatumia umeme tuKwani we uko dunia gani mkuu? Hebu itafute crown majesta cc4300 V8 uone mambo yake Lita moja kilomita 19
Sasa ikitumia umeme tu mafuta yanatumikaje mkuu?Malizia HYBRID. Kwamba ina electric motor kwenye speed below 60 inatumia umeme tu
Petrol engine inaanza kufanyakazi speed ikivuka 60kph. Kwahio foleni za mjini unatumia umeme tu.Sasa ikitumia umeme tu mafuta yanatumikaje mkuu?
Mkuu gari yenye CVT unywaji wake wa mafuta ni kidogo sana tofauti ma gear box za kawaida,kwa sababu engine haipati kazi kubwa kama hizo zisizo na cvtNimeandika huko juu..
Hybrid ina electric motor na petrol engine hio cc4300. Kwenye speed below 60kph inatumia electric motor kwahio mafuta hayatumiki hata chembe ndio maana ukichukua combined consumption unapata 18km/l. Lakini majesta cc4300 bila electric motor unapata 6-8km/l.