Gari zinakuwga na return pipe ambapo mafuta yale yaliyosukumwa na pump alaf hayakwenda kuchomwa yanarud kwenye tanka tenaMkuu mafuta yakishachomwa hayarudi tena labda unieleweshe vizur hapo lakini usichanganye na hydrolicky
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari zinakuwga na return pipe ambapo mafuta yale yaliyosukumwa na pump alaf hayakwenda kuchomwa yanarud kwenye tanka tenaMkuu mafuta yakishachomwa hayarudi tena labda unieleweshe vizur hapo lakini usichanganye na hydrolicky
Watu hawaeli ili waeleweshwe wanakuwa wajuajiHata Mimi ninaelewa hivyo
Chunguza vizuri mfumo wetu wa chakula,utaelewaHiyo ya binadamu imekaaje?
Mkuu gari gani hii cc4500 petrol Lita 1 inaenda km18-19?Mnazungumzia technologia za kizamani, siku hizi gari ya petrol CC4500 inatembea km 18 mpaka 19
Mark X ina speed zaidi lakini Brevis ina comfortability hata ukiwa upo speed sana!..Mkuu kwahiyo brevis n mark x ipi ina mbio
Mie naifavour mark x maana inachanganya harakayMkuu kwahiyo brevis n mark x ipi ina mbio
Yeah mkuuAisee basi wewe unazijua sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa anasema hiyo ni ng'ombe, yaani inakunywa
Acha kutupiga kamba brotherMnazungumzia technologia za kizamani, siku hizi gari ya petrol CC4500 inatembea km 18 mpaka 19
Alicho kwambia ni kweli. Hii kwasababu pampu husukuma mafuta mengi kuelekea kwenye injini na yanayotumika ni kidogo sana.... yale yanayobaki hurudi (ndio return)Labda ni Mimi sijaelewa, ila trekta, kwenye tank lake la mafuta kuna pipe mbili: moja juu kabisa ya tank ambayo ni return pipe, na moja ipo chini kabisa ambayo inapeleka mafuta kwenye injini.
Na niliaambiwa yakichomwa yanarudi
Ujinga wa diesel inapenda sana kutiwa vidole na mafundi. Trip za kwenda garage kwa gari ya diesel ni za mara kwa mara!
Brevis 1JZ huyo anakamua wese kama kichaa
Yanayorudi si yale yaliyochomwa.... Mafuta yanayonyonywa toka kwenye tenki ni mengi kuliko yanayohitajka kwa wakati husika. Kabyureta (Petroli) inector pump (Diesel) inachukua kiasi kinachohitajika nankukipeleka kuchomwa, kile kilichozidi ndo hicho kinarudi kwenye tenk kurudia mzunguko. Lakini yakishaingiamkwenye kuchomwa hayarudiLabda ni Mimi sijaelewa, ila trekta, kwenye tank lake la mafuta kuna pipe mbili: moja juu kabisa ya tank ambayo ni return pipe, na moja ipo chini kabisa ambayo inapeleka mafuta kwenye injini.
Na niliaambiwa yakichomwa yanarudi
Jamani msipotoshe. Hybrid zina electric motor. Kwenye speed below 60kph inatumia electric motor. Ikiwa above 60kph inatumia petrol kwa kiwango kile kile cha kawaida. Sema ukichukua combine mileage electric+petrol ndio unaweza kupata hizo km nyingi per litre.Yeye amezungumzia magari yenye mfumo zaidi wa umeme mfano harrier hybrid ina engine ya cc 3300 petrol ila inaenda hadi km 18 while harrier ya kawaida cc 2400 petrol inaenda km 12 sasa hiyo ya brevis ni engine ya kawaida c ya umeme mwingi
Jamani msipotoshe. Hybrid zina electric motor. Kwenye speed below 60kph inatumia electric motor. Ikiwa above 60kph inatumia petrol kwa kiwango kile kile cha kawaida. Sema ukichukua combine mileage electric+petrol ndio unaweza kupata hizo km nyingi per litre.
Ila hata teknolojia iweje cc4500 petrol haiwezi kukupa 18km/litre.
Chukua hio Hybrid ya cc4500 linganisha na Hybrid ya cc2000. Usilinganishe na conventional petrol engine.
Cc4500 sio kmMm sikutaja kabsa hapo km 4500 maana sina ushahid na hilo nimetolea mfano gari hizo ninazozifahamu hiyo ya 4500 atakuja kueleza anayejua
Cc4500 sio km
Ambacho hujui ni kwamba...mfumo wa diesel ndo imara na wakudumu zaidi ya mfumo wa petrol.Ujinga wa diesel inapenda sana kutiwa vidole na mafundi. Trip za kwenda garage kwa gari ya diesel ni za mara kwa mara!
Gari ipi unayotumia wewe?Gari gani hilo ndugu? Mbona mm natumia diesel na sijaona hayo?