Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,046
- 3,781
Uzi ufungwe hapa.Ila mna hakika hii ni account ya mpwayu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NB: Aacha kumfananisha Kiba na vitu vya ajabu!!!
🤣 Marahabaaa! Hujambo?shkamoo dada...
🤣🤣Uzi ufungwe hapa.
Ni suala tu la muda utakuja kujitangaza rasmi wewe ni nani, na pia sababu ya kuwa hivyo ulivyo.Hawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym
Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee kuwatafuna maana wadada ni maua wapo kwaajiri yetu View attachment 2743093View attachment 2743095
Hata kama I kutafuta attention,duh mkuu this is too muchIla mna hakika hii ni account ya mpwayu🤣🤣🤣🤣
NB: Aacha kumfananisha Kiba na vitu vya ajabu!!!
oyaaaMwamba kashaanza upapai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila mna hakika hii ni account ya mpwayu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NB: Aacha kumfananisha Kiba na vitu vya ajabu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mnashindwa, wanashinda case huko mahakamani kila siku.Umeajibana weeeeeeee sasa umeamua kujionesha wazi wazi.
Watu kama nyie inatakiwa kumsaidia Mungu kuwakutanisha nae. Ni kweli hukumu anatoa Mungu ila ni jukumu letu kuwakutanisha na Mungu alafu yeye atatoa hukumu au ataamua kukusamehe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We walimu washakubadili jinsia, waombee radhi.....
Wew Jamaa sio bure haujatimia sawasawa Una mapungufu,Hawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym
Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee kuwatafuna maana wadada ni maua wapo kwaajiri yetu View attachment 2743093View attachment 2743095
Tupo kwenye mlima mrefu kuuvuka upumbavu dear, yani mijitu migumu sana kuelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka had mbavu zinaumaa, sio kwa hizi Comments.
Wameambiwa wanawake wajibu, cha ajabu wanao comment ni wanaumee.
Woiiiiiiih