Kati ya hawa mmojawapo anaweza kuwa Rais 2025

mwigulu na januari ni rais wa wapi?

uwezo wa januari ni kuwa waziri.

mwigulu hata ubunge hafai nawashangaa wanaomchagua.
 
Umemsahau Dr chrispin Manyonyi huyu anatajwa sana katika kufanya kazi zake kubwa za kufichua mafisadi kwa umahiri mkubwa!!
 
Ondoa namba 2 na namba 4 hapo juu nisije nikatapika.
 
Umemsahau Dr chrispin Manyonyi huyu anatajwa sana katika kufanya kazi zake kubwa za kufichua mafisadi kwa umahiri mkubwa!!
Huyu yeye yuko wapi? Sijawahi kumsika. Weka taarifa zake hapa angalau kwa uchache watazania wapate kumfahamu
 
Siku Mwigulu akiwa Rais, sio kuwa tu watu watalimia meno kama ilivyokuwa kwa Magufuli, bali wataongeza kwa kufanyia palizi na kucha, na kumwagilia kwa machozi ....
 
Mwigulu ni dikteta afai 2025,ni zamu ya muislamu Mwinyi au Majaliwa Hawa Wana hekima na busara,utu, uvumilivu.Makamba,Jafo hazina ya baadae.Membe kwisha habari yake, bashite ni mfungwa mtarajiwa.
Mwislam wa nn? Katiba haina hizo zamu
 
Huyu yeye yuko wapi? Sijawahi kumsika. Weka taarifa zake hapa angalau kwa uchache watazania wapate kumfahamu
sema wewe upate kumfahamu watu wote wanamjua ila wewe wa kijiji.

Ili uka mtest kichawi au!!!
 
Atakaeweza kupeperusha bendera ya CCM ni Dr Msukuma tu. Na atashinda asubuhi kweupe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…