Kati ya hawa mmojawapo anaweza kuwa Rais 2025

Kati ya hawa mmojawapo anaweza kuwa Rais 2025

Aisee nimefikili na wewe umejiweka kwenye orodha hiyo, kazi yako kuwa orodhesha wengine kweli we mjinga aisee!.
 
Mkuu, mimi umeniweza kabisa; nimesoma nikitarajia utaliweka na lile kanyabwoya la chadema, nikaambulia parupu!
 
Acheni Agrarian mentality , fikirieni kumpata kiongozi tofauti na JIWE atakayekuwa na mawazo ya kuendeleza nchi kwa mawazo mapya yanayoendana na Dunia ya leo!! Hii leo kiongozi gani mwenye maono anafikiria kuongoza nchi kwa kujenga viwanda bila kuainisha information/ technological advancement inayoendelea duniani? Bila kumpata kiongozi mwenye maono kila siku tutakuwa tunafikiria kuchimba mashimo ya vyoo shuleni wakati wakina Mask na Bezos wanafikiria kuhamia MARS!!
 
Kwanza poleni na majukumu, pia poleni na misiba ya wazee wetu, misiba ambayo inahisiwa ama kuhusishwa moja kwa moja na Covid19. Ama hakika ugonjwa huu upo hivyo tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.

Turudi kwenye mada

Inasemekana sasa hivi kambi mbalimbali tayari ziko kazini kuhakikisha hazifanyi kosa na mtu wao anapenya na kuwa rais wa awamu ya sita. Harakati hizi zinaendeshwa kwa usiri sana ili kuhakikisha mkubwa hastuki hasa ukizingatia kwamba jamaa hataki makundi kwani anaamini kuwa kwa namna moja ama nyingine yataharibu utendaji kazi wa serikali.

Watu wenyewe naowapa karata yangu ni hawa:

1. Hussein Mwinyi
Sababu;
a) Hana makundi
b) Anafanya kazi zake kwa umakini mkubwa toka akiwa waziri wa ulinzi mpaka sasa ambapo ni rais wa Zanzibar
c) Ana uhusiano mzuri marais wote wastaafu walio hai na pia zinaiva na rais aliyeko madarakani. Huyu nampa asilimia 80 za kutoboa.

2. Kassim Majaliwa
Sababu;
a) Anaendana kihulka na rais aliyeko madarakani
b) Anajitahidi kufanya kazi kwa bidii na hilo limetokea kuwavutia baadhi ya Watanzania.
Huyu nampa asilimia 20 za kutoboa na anaweza kutoboa iwapo tu Mwinyi ataharibu hapo katikati.

Hata hivyo kinyang'anyiro hicho kitanogeshwa na watu wafuatao;
1. Mwigulu Nchemba
Huyu anautamani sana urais toka 2015

2. January Makamba
Huyu toka aambiwe na marehemu Ruge kuwa anastahili kuwa rais basi muda wote anakiwaza cheo hicho na anafanya kila kinachowezekana kukipata cheo hicho.

3. Samia Suluhu
Huyu anaweza kuingia ili kujaribu bahati yake huku akitegemea sapoti kubwa kutoka kwa akina mama.

4. Bernard Membe
Huyu hisia zangu zinanituma kuwa aturudi kundini (CCM) kisha atajitosa kwenye ulingo.

5. Orodha itakuwa kubwa zaidi, si ajabu hata akina Makonda wakajitosa

Mwisho:
- Upinzani sijauweka kwasababu kwa hali ilivyo sidhani kama unaweza kutoboa.

- Lolote linaweza kutokea, anaweza kuja mtu asiyetarajiwa kabisa.

- Haya ni mawazo yangu binafsi, mi ni mfuatiliaji wa siasa zetu japo sina chama.

* Nawatakieni majukumu mena.
Toa wakristo hao, ajaye ni muislamu
 
Kwanza poleni na majukumu, pia poleni na misiba ya wazee wetu, misiba ambayo inahisiwa ama kuhusishwa moja kwa moja na Covid19. Ama hakika ugonjwa huu upo hivyo tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.

Turudi kwenye mada

Inasemekana sasa hivi kambi mbalimbali tayari ziko kazini kuhakikisha hazifanyi kosa na mtu wao anapenya na kuwa rais wa awamu ya sita. Harakati hizi zinaendeshwa kwa usiri sana ili kuhakikisha mkubwa hastuki hasa ukizingatia kwamba jamaa hataki makundi kwani anaamini kuwa kwa namna moja ama nyingine yataharibu utendaji kazi wa serikali.

Watu wenyewe naowapa karata yangu ni hawa:

1. Hussein Mwinyi
Sababu;
a) Hana makundi
b) Anafanya kazi zake kwa umakini mkubwa toka akiwa waziri wa ulinzi mpaka sasa ambapo ni rais wa Zanzibar
c) Ana uhusiano mzuri marais wote wastaafu walio hai na pia zinaiva na rais aliyeko madarakani. Huyu nampa asilimia 80 za kutoboa.

2. Kassim Majaliwa
Sababu;
a) Anaendana kihulka na rais aliyeko madarakani
b) Anajitahidi kufanya kazi kwa bidii na hilo limetokea kuwavutia baadhi ya Watanzania.
Huyu nampa asilimia 20 za kutoboa na anaweza kutoboa iwapo tu Mwinyi ataharibu hapo katikati.

Hata hivyo kinyang'anyiro hicho kitanogeshwa na watu wafuatao;
1. Mwigulu Nchemba
Huyu anautamani sana urais toka 2015

2. January Makamba
Huyu toka aambiwe na marehemu Ruge kuwa anastahili kuwa rais basi muda wote anakiwaza cheo hicho na anafanya kila kinachowezekana kukipata cheo hicho.

3. Samia Suluhu
Huyu anaweza kuingia ili kujaribu bahati yake huku akitegemea sapoti kubwa kutoka kwa akina mama.

4. Bernard Membe
Huyu hisia zangu zinanituma kuwa aturudi kundini (CCM) kisha atajitosa kwenye ulingo.

5. Orodha itakuwa kubwa zaidi, si ajabu hata akina Makonda wakajitosa

Mwisho:
- Upinzani sijauweka kwasababu kwa hali ilivyo sidhani kama unaweza kutoboa.

- Lolote linaweza kutokea, anaweza kuja mtu asiyetarajiwa kabisa.

- Haya ni mawazo yangu binafsi, mi ni mfuatiliaji wa siasa zetu japo sina chama.

* Nawatakieni majukumu mena.
ungekuwa huna chama ungetaja ndugu zako bas..😎
 
Jafo gani tena jamani,??? Yaani akili za jafo ndo awe rais wa nchi??? Hebu mtupumzishe bwana, mtu ambae hawezi kusimamia anachokiamini hafai kuongoza hata familia
Jaffo au Ummy Mwalimu..
 
Kwanza poleni na majukumu, pia poleni na misiba ya wazee wetu, misiba ambayo inahisiwa ama kuhusishwa moja kwa moja na Covid19. Ama hakika ugonjwa huu upo hivyo tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.

Turudi kwenye mada

Inasemekana sasa hivi kambi mbalimbali tayari ziko kazini kuhakikisha hazifanyi kosa na mtu wao anapenya na kuwa rais wa awamu ya sita. Harakati hizi zinaendeshwa kwa usiri sana ili kuhakikisha mkubwa hastuki hasa ukizingatia kwamba jamaa hataki makundi kwani anaamini kuwa kwa namna moja ama nyingine yataharibu utendaji kazi wa serikali.

Watu wenyewe naowapa karata yangu ni hawa:

1. Hussein Mwinyi
Sababu;
a) Hana makundi
b) Anafanya kazi zake kwa umakini mkubwa toka akiwa waziri wa ulinzi mpaka sasa ambapo ni rais wa Zanzibar
c) Ana uhusiano mzuri marais wote wastaafu walio hai na pia zinaiva na rais aliyeko madarakani. Huyu nampa asilimia 80 za kutoboa.

2. Kassim Majaliwa
Sababu;
a) Anaendana kihulka na rais aliyeko madarakani
b) Anajitahidi kufanya kazi kwa bidii na hilo limetokea kuwavutia baadhi ya Watanzania.
Huyu nampa asilimia 20 za kutoboa na anaweza kutoboa iwapo tu Mwinyi ataharibu hapo katikati.

Hata hivyo kinyang'anyiro hicho kitanogeshwa na watu wafuatao;
1. Mwigulu Nchemba
Huyu anautamani sana urais toka 2015

2. January Makamba
Huyu toka aambiwe na marehemu Ruge kuwa anastahili kuwa rais basi muda wote anakiwaza cheo hicho na anafanya kila kinachowezekana kukipata cheo hicho.

3. Samia Suluhu
Huyu anaweza kuingia ili kujaribu bahati yake huku akitegemea sapoti kubwa kutoka kwa akina mama.

4. Bernard Membe
Huyu hisia zangu zinanituma kuwa aturudi kundini (CCM) kisha atajitosa kwenye ulingo.

5. Orodha itakuwa kubwa zaidi, si ajabu hata akina Makonda wakajitosa

Mwisho:
- Upinzani sijauweka kwasababu kwa hali ilivyo sidhani kama unaweza kutoboa.

- Lolote linaweza kutokea, anaweza kuja mtu asiyetarajiwa kabisa.

- Haya ni mawazo yangu binafsi, mi ni mfuatiliaji wa siasa zetu japo sina chama.

* Nawatakieni majukumu mena.
Kama ni kwa siri mbona tumejua ?
Ebu waambie wasubiri kwanza tufikie Tz ya viwanda
Au nasema uongo ndg zangu
 
Hali inaweza kuwa tofauti...
Lowassa anaweza kuwa rais na makamu wake mwinyi.
 
Kwanza poleni na majukumu, pia poleni na misiba ya wazee wetu, misiba ambayo inahisiwa ama kuhusishwa moja kwa moja na Covid19. Ama hakika ugonjwa huu upo hivyo tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.

Turudi kwenye mada

Inasemekana sasa hivi kambi mbalimbali tayari ziko kazini kuhakikisha hazifanyi kosa na mtu wao anapenya na kuwa rais wa awamu ya sita. Harakati hizi zinaendeshwa kwa usiri sana ili kuhakikisha mkubwa hastuki hasa ukizingatia kwamba jamaa hataki makundi kwani anaamini kuwa kwa namna moja ama nyingine yataharibu utendaji kazi wa serikali.

Watu wenyewe naowapa karata yangu ni hawa:

1. Hussein Mwinyi
Sababu;
a) Hana makundi
b) Anafanya kazi zake kwa umakini mkubwa toka akiwa waziri wa ulinzi mpaka sasa ambapo ni rais wa Zanzibar
c) Ana uhusiano mzuri marais wote wastaafu walio hai na pia zinaiva na rais aliyeko madarakani. Huyu nampa asilimia 80 za kutoboa.

2. Kassim Majaliwa
Sababu;
a) Anaendana kihulka na rais aliyeko madarakani
b) Anajitahidi kufanya kazi kwa bidii na hilo limetokea kuwavutia baadhi ya Watanzania.
Huyu nampa asilimia 20 za kutoboa na anaweza kutoboa iwapo tu Mwinyi ataharibu hapo katikati.

Hata hivyo kinyang'anyiro hicho kitanogeshwa na watu wafuatao;
1. Mwigulu Nchemba
Huyu anautamani sana urais toka 2015

2. January Makamba
Huyu toka aambiwe na marehemu Ruge kuwa anastahili kuwa rais basi muda wote anakiwaza cheo hicho na anafanya kila kinachowezekana kukipata cheo hicho.

3. Samia Suluhu
Huyu anaweza kuingia ili kujaribu bahati yake huku akitegemea sapoti kubwa kutoka kwa akina mama.

4. Bernard Membe
Huyu hisia zangu zinanituma kuwa aturudi kundini (CCM) kisha atajitosa kwenye ulingo.

5. Orodha itakuwa kubwa zaidi, si ajabu hata akina Makonda wakajitosa

Mwisho:
- Upinzani sijauweka kwasababu kwa hali ilivyo sidhani kama unaweza kutoboa.

- Lolote linaweza kutokea, anaweza kuja mtu asiyetarajiwa kabisa.

- Haya ni mawazo yangu binafsi, mi ni mfuatiliaji wa siasa zetu japo sina chama.

* Nawatakieni majukumu mena.
Hao wawili wa kwanza wote wape 50% kwa 50%. Hussein Mwinyi itategemea kama atakuwa tayari amepata mrithi wa kuaminika SMZ. Kama atakuwa bado basi ataendelea kwa miaka mingine mitano huku akiwa nafanya grooming ya mtu sahihi. Ikitokea hivyo hapo sasa Majaliwa itakuwa ni 100%. Zaidi ni kuwa Majaliwa ni mkali kuliko Hussein Mwinyi, na possibly kuliko hata JPM. Mwangalie vizuri. Kwa muda huu, nchi zetu zinahitaji marais wakali tu na si vinginevyo
 
2025 ni kati ya

1- Mr Madelu( Mwigulu)
2- Mkumbo
3-Doroth

Hawa watatu wana nafasi kubwa!!
Kumbuka Magufuli hataki watu wenye makundi!
3. Dorothy????
Huyu mwenda wazimu awe rais?!!!!!
Wizara tu inamzidi kimo
 
hapo sijaona hata mmoja anafaa kuwa rais. wote hao wanafanya kazi kwa bidii sababu rais aliepo sasa anawalazimisha kufanya hivyo haipo kwenye damu. JPM alikuwa mchapa kazi tangu waziri
 
Back
Top Bottom