Kati ya hawa mmojawapo anaweza kuwa Rais 2025

Kati ya hawa mmojawapo anaweza kuwa Rais 2025

Kwanza poleni na majukumu, pia poleni na misiba ya wazee wetu, misiba ambayo inahisiwa ama kuhusishwa moja kwa moja na Covid19. Ama hakika ugonjwa huu upo hivyo tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.

Turudi kwenye mada

Inasemekana sasa hivi kambi mbalimbali tayari ziko kazini kuhakikisha hazifanyi kosa na mtu wao anapenya na kuwa rais wa awamu ya sita. Harakati hizi zinaendeshwa kwa usiri sana ili kuhakikisha mkubwa hastuki hasa ukizingatia kwamba jamaa hataki makundi kwani anaamini kuwa kwa namna moja ama nyingine yataharibu utendaji kazi wa serikali.

Watu wenyewe naowapa karata yangu ni hawa:

1. Hussein Mwinyi
Sababu;
a) Hana makundi
b) Anafanya kazi zake kwa umakini mkubwa toka akiwa waziri wa ulinzi mpaka sasa ambapo ni rais wa Zanzibar
c) Ana uhusiano mzuri marais wote wastaafu walio hai na pia zinaiva na rais aliyeko madarakani. Huyu nampa asilimia 80 za kutoboa.

2. Kassim Majaliwa
Sababu;
a) Anaendana kihulka na rais aliyeko madarakani
b) Anajitahidi kufanya kazi kwa bidii na hilo limetokea kuwavutia baadhi ya Watanzania.
Huyu nampa asilimia 20 za kutoboa na anaweza kutoboa iwapo tu Mwinyi ataharibu hapo katikati.

Hata hivyo kinyang'anyiro hicho kitanogeshwa na watu wafuatao;
1. Mwigulu Nchemba
Huyu anautamani sana urais toka 2015

2. January Makamba
Huyu toka aambiwe na marehemu Ruge kuwa anastahili kuwa rais basi muda wote anakiwaza cheo hicho na anafanya kila kinachowezekana kukipata cheo hicho.

3. Samia Suluhu
Huyu anaweza kuingia ili kujaribu bahati yake huku akitegemea sapoti kubwa kutoka kwa akina mama.

4. Bernard Membe
Huyu hisia zangu zinanituma kuwa aturudi kundini (CCM) kisha atajitosa kwenye ulingo.

5. Orodha itakuwa kubwa zaidi, si ajabu hata akina Makonda wakajitosa

Mwisho:
- Upinzani sijauweka kwasababu kwa hali ilivyo sidhani kama unaweza kutoboa.

- Lolote linaweza kutokea, anaweza kuja mtu asiyetarajiwa kabisa.

- Haya ni mawazo yangu binafsi, mi ni mfuatiliaji wa siasa zetu japo sina chama.

* Nawatakieni majukumu mena.
Mnadhani nchi ya bau yenu hii
 
JPM atafia madarakani,swala la rais mpya 2025 sahau kabisa.Alama za nyakati ziko ukutani.
Ikifika 2023/2024 katiba inaenda kurekebishwa na kuondoa ukomo wa muda wa uraisi.
 
Katika nchi yeyote duniani inayo tegemea mfumo kiutendaji kama inner state yake, kiutendaji wanazingatia nyakati na siku zote
Mda uongea na kwenye siasa kila tukio halitokei kwa bahati mbaya bali huwa limepangwa.

Leo siasa ya Tanzania ina tension kubwa sana hususani atakae rithi mikoba ya MAGUFULI baada 2025 lakini tiali utendaji wa MAGUFULI unawafanya watu wawe na maswali kuhusu kung'atuka madarakani kwa mjibu wa katiba, ingawaje maswali haya yanakuja baada ya PROPAGANDA kuhusu Raisi kusalia madarakani baada ya mda wake kuisha

Sasa hili la kusalia madarakani linawakuna watu wengi na wale walio na nia ya kugombea macho yao kuyaelekeza kwa MAGUFULI
Katika nchi ya kidemocrasia hili linawafanya WATU kutumia nguvu kubwa kumshambulia MAGUFULI nawakati mda unasonga lakini nyuma ya pazia tiali mfumo unafanya kazi yake usiku na mchana kuakikisha mtu wao anakuwa safi, wakati wanakuja kusituka kuwa sio MAGUFULI tena tiali mda usha waacha.

Kilicho fanyika mwaka 2020 katika uchaguzi ni matokeo ya maandalizi ya uchaguzi wa 2025, kivip,

Hussein Mwinyi kuchaguliwa kuwa raisi wa Zanzibar ni kwenda ku prove wrong perception ya wazanzibari kwake kuwa hafai kuwa Raisi wa Zanzibar lakini baada ya kuapishwa hadi leo mambo yamekuwa tofauti wazanzibari wamekuwa kitu kimoja na wana furahia uongozi wake ukitaka kuteka mioyo ya watu fanya aina ya siasa itakayo wafanya watu wa smile, ndicho Mwinyi anakifanya Zanzibar
Ndio maana muunganiko wa seif ulikuwa muhimu sana.
Hivyo kadili ya mda unavyo enda Mwinyi atatatua changamoto mbali mbali za wazanzibari na kuiteka mioyo yao na kwa upande wa bara tutatamani raisi kama mwinyi itafikia hatua tunawatamani wazanzibari kwa sababu ya utawala wa Mwinyi

Shabaha nyingine ni kumuandaa makamu wapili wa raisi wa Zanzibar Mh. Hameid Suleiman Abdallah
Kujakuwa raisi wa Zanzibar baada ya Mwinyi kwani kinacho fanyika kwa sasa ni kulejesha matumaini ya watu wa pemba kwenye serikali ambao huu ndio mkakati mkubwa kwa serikali ya Zanzibar

Mwisho.
Raisi ajae 2025
Rais, Hussein Mwinyi - JMT
Rais, Hameid S Abdallah/prof mbalawa - zanzibar
 
Katika nchi yeyote duniani inayo tegemea mfumo kiutendaji kama inner state yake, kiutendaji wanazingatia nyakati na siku zote
Mda uongea na kwenye siasa kila tukio halitokei kwa bahati mbaya bali huwa limepangwa.

Leo siasa ya Tanzania ina tension kubwa sana hususani atakae rithi mikoba ya MAGUFULI baada 2025 lakini tiali utendaji wa MAGUFULI unawafanya watu wawe na maswali kuhusu kung'atuka madarakani kwa mjibu wa katiba, ingawaje maswali haya yanakuja baada ya PROPAGANDA kuhusu Raisi kusalia madarakani baada ya mda wake kuisha

Sasa hili la kusalia madarakani linawakuna watu wengi na wale walio na nia ya kugombea macho yao kuyaelekeza kwa MAGUFULI
Katika nchi ya kidemocrasia hili linawafanya WATU kutumia nguvu kubwa kumshambulia MAGUFULI nawakati mda unasonga lakini nyuma ya pazia tiali mfumo unafanya kazi yake usiku na mchana kuakikisha mtu wao anakuwa safi, wakati wanakuja kusituka kuwa sio MAGUFULI tena tiali mda usha waacha.

Kilicho fanyika mwaka 2020 katika uchaguzi ni matokeo ya maandalizi ya uchaguzi wa 2025, kivip,

Hussein Mwinyi kuchaguliwa kuwa raisi wa Zanzibar ni kwenda ku prove wrong perception ya wazanzibari kwake kuwa hafai kuwa Raisi wa Zanzibar lakini baada ya kuapishwa hadi leo mambo yamekuwa tofauti wazanzibari wamekuwa kitu kimoja na wana furahia uongozi wake ukitaka kuteka mioyo ya watu fanya aina ya siasa itakayo wafanya watu wa smile, ndicho Mwinyi anakifanya Zanzibar
Ndio maana muunganiko wa seif ulikuwa muhimu sana.
Hivyo kadili ya mda unavyo enda Mwinyi atatatua changamoto mbali mbali za wazanzibari na kuiteka mioyo yao na kwa upande wa bara tutatamani raisi kama mwinyi itafikia hatua tunawatamani wazanzibari kwa sababu ya utawala wa Mwinyi

Shabaha nyingine ni kumuandaa makamu wapili wa raisi wa Zanzibar Mh. Hameid Suleiman Abdallah
Kujakuwa raisi wa Zanzibar baada ya Mwinyi kwani kinacho fanyika kwa sasa ni kulejesha matumaini ya watu wa pemba kwenye serikali ambao huu ndio mkakati mkubwa kwa serikali ya Zanzibar

Mwisho.
Raisi ajae 2025
Rais, Hussein Mwinyi - JMT
Rais, Hameid S Abdallah/prof mbalawa - zanzibar
Akiwa mwinyi nitafurahi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Membe hana chama na hawezi pitishw na CCM Baada ya yote yaliotokea
 
waislamu tunasubiri mjikwae tu mumuweke MGALATIA mwengine halafu muone kitachojiri.. kwenye hili hakuna ukada
Kwa hiyo unamaanisha Lissu hawezi kushinda uraisi 2025??
Bavicha wasahaulifu Sana, Hadi hapo unaamini raisi anapatikana ccm
 
Mwigulu ni dikteta afai 2025,ni zamu ya muislamu Mwinyi au Majaliwa Hawa Wana hekima na busara,utu, uvumilivu.Makamba,Jafo hazina ya baadae.Membe kwisha habari yake, bashite ni mfungwa mtarajiwa.
Sio Lissu?
 
1.Hussen Mwinyi haiwezekani kwanza bado atakuwa Rais Zanziba,pili hamna mpumbavu ambaye anaweza aka risk kufanya uchaguzi Zanzibar ukizingatia hali ya kisiasa iliyopo huko.
2.Majaliwa na Samia by 2025 watakuwa above 64 years-hapa hutuwezi kuongozwa na Wazee
3.Mwigulu ni Mkristo haiwezekani maana kwa sasa ni zamu ya Mwisilam, pia ana weakness kubwa sana hana msimamo wa kiuongozi ana tamaa kupita maelezo-huyu anaweza uza Nchi.
4.Karata pekee iliyopo ni lazima Rais ajaye awe Mwislam -hapa nafasi kubwa ipo kwa January Makamba (huyu itategemeana kama Kikwete atakuwa Hai) na Ummy Mwalimu.
Lissu ndio basi Tena? Wote naona mawaza ccm kuendelea Tena kutawala
 
JPM atafia madarakani,swala la rais mpya 2025 sahau kabisa.Alama za nyakati ziko ukutani.
Ikifika 2023/2024 katiba inaenda kurekebishwa na kuondoa ukomo wa muda wa uraisi.
So 2021 Tena? Mwanzo mlikuwa mnasema 2021 ndio inabadilishwa, Sasa hivi naona mmesogeza mbele
 
Back
Top Bottom