Kati ya hawa mmojawapo anaweza kuwa Rais 2025

Kati ya hawa mmojawapo anaweza kuwa Rais 2025

PM na Mwinyi ndo pekee kwa sasa ndo wataweza irudisha nchi kwenye uchumi wa kisasa na wa kistaarabu.2025 ni zamu ya waislamu Kama ilivyo jadi Ili kuleta umoja wa kitaifa.
 
1.Hussen Mwinyi haiwezekani kwanza bado atakuwa Rais Zanziba,pili hamna mpumbavu ambaye anaweza aka risk kufanya uchaguzi Zanzibar ukizingatia hali ya kisiasa iliyopo huko.
2.Majaliwa na Samia by 2025 watakuwa above 64 years-hapa hutuwezi kuongozwa na Wazee
3.Mwigulu ni Mkristo haiwezekani maana kwa sasa ni zamu ya Mwisilam, pia ana weakness kubwa sana hana msimamo wa kiuongozi ana tamaa kupita maelezo-huyu anaweza uza Nchi.
4.Karata pekee iliyopo ni lazima Rais ajaye awe Mwislam -hapa nafasi kubwa ipo kwa January Makamba (huyu itategemeana kama Kikwete atakuwa Hai) na Ummy Mwalimu.
 
Why Hussein Mwinyi kwa 80%?
Kama itatokea hivo basi Watz tumerogwa na aliyeturoga keshakufa kitambo!
Yaani huyu Hussein Mwinyi ambaye kwa sasa ni Rais wa Zanzibar wa Awamu ya 8 kwa miaka 10 amalize 10 ya Zanzibar aje tena 10 ya Tanzania Bara???

Hii nchi imekuwa ya Masultani kurithishana madaraka??? Mzee Alli Hassan Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Tanzania Bara kwa miaka 10! Mnataka mwanaye atawale tena Bara &Visiwani for 20 years consecutively???

Hivi Tanzania Bara hakuna watu wenye sifa za kuwa Marais au mtu mwingine yeyote Visiwani ?? Kwangu mimi Hussein Mwinyi nasema HAPANA kwa her Ufisadi kubwa.

Anaweza hata miaka 50, labda tu asitake. Hii ni nchi ya makondoo hivyo hupati shida kuitawala.
 
Kwanza poleni na majukumu, pia poleni na misiba ya wazee wetu, misiba ambayo inahisiwa ama kuhusishwa moja kwa moja na Covid19. Ama hakika ugonjwa huu upo hivyo tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.

Turudi kwenye mada

Inasemekana sasa hivi kambi mbalimbali tayari ziko kazini kuhakikisha hazifanyi kosa na mtu wao anapenya na kuwa rais wa awamu ya sita. Harakati hizi zinaendeshwa kwa usiri sana ili kuhakikisha mkubwa hastuki hasa ukizingatia kwamba jamaa hataki makundi kwani anaamini kuwa kwa namna moja ama nyingine yataharibu utendaji kazi wa serikali.

Watu wenyewe naowapa karata yangu ni hawa:

1. Hussein Mwinyi
Sababu;
a) Hana makundi
b) Anafanya kazi zake kwa umakini mkubwa toka akiwa waziri wa ulinzi mpaka sasa ambapo ni rais wa Zanzibar
c) Ana uhusiano mzuri marais wote wastaafu walio hai na pia zinaiva na rais aliyeko madarakani. Huyu nampa asilimia 80 za kutoboa.

2. Kassim Majaliwa
Sababu;
a) Anaendana kihulka na rais aliyeko madarakani
b) Anajitahidi kufanya kazi kwa bidii na hilo limetokea kuwavutia baadhi ya Watanzania.
Huyu nampa asilimia 20 za kutoboa na anaweza kutoboa iwapo tu Mwinyi ataharibu hapo katikati.

Hata hivyo kinyang'anyiro hicho kitanogeshwa na watu wafuatao;
1. Mwigulu Nchemba
Huyu anautamani sana urais toka 2015

2. January Makamba
Huyu toka aambiwe na marehemu Ruge kuwa anastahili kuwa rais basi muda wote anakiwaza cheo hicho na anafanya kila kinachowezekana kukipata cheo hicho.

3. Samia Suluhu
Huyu anaweza kuingia ili kujaribu bahati yake huku akitegemea sapoti kubwa kutoka kwa akina mama.

4. Bernard Membe
Huyu hisia zangu zinanituma kuwa aturudi kundini (CCM) kisha atajitosa kwenye ulingo.

5. Orodha itakuwa ndugu zaidi, si ajabu hata akina Makonda wakajitosa

Mwisho:
- Upinzani sijauweka kwasababu kwa hali ilivyo sidhani kama unaweza kutoboa.

- Lolote linaweza kutokea, anaweza kuja mtu asiyetarajiwa kabisa.

- Haya ni mawazo yangu binafsi, mi ni mfuatiliaji wa siasa zetu japo sina chama.

* Nawatakieni majukumu mena.
Umemsahau suleiman Jafo,
 
Umemsahau Elungata,,niko nafanya maandalizi kabambe,tayari naandaa wajumbe toka kila kona,kila mtaa,kila kijiji,
 
Kwanza poleni na majukumu, pia poleni na misiba ya wazee wetu, misiba ambayo inahisiwa ama kuhusishwa moja kwa moja na Covid19. Ama hakika ugonjwa huu upo hivyo tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.

Turudi kwenye mada

Inasemekana sasa hivi kambi mbalimbali tayari ziko kazini kuhakikisha hazifanyi kosa na mtu wao anapenya na kuwa rais wa awamu ya sita. Harakati hizi zinaendeshwa kwa usiri sana ili kuhakikisha mkubwa hastuki hasa ukizingatia kwamba jamaa hataki makundi kwani anaamini kuwa kwa namna moja ama nyingine yataharibu utendaji kazi wa serikali.

Watu wenyewe naowapa karata yangu ni hawa:

1. Hussein Mwinyi
Sababu;
a) Hana makundi
b) Anafanya kazi zake kwa umakini mkubwa toka akiwa waziri wa ulinzi mpaka sasa ambapo ni rais wa Zanzibar
c) Ana uhusiano mzuri marais wote wastaafu walio hai na pia zinaiva na rais aliyeko madarakani. Huyu nampa asilimia 80 za kutoboa.

2. Kassim Majaliwa
Sababu;
a) Anaendana kihulka na rais aliyeko madarakani
b) Anajitahidi kufanya kazi kwa bidii na hilo limetokea kuwavutia baadhi ya Watanzania.
Huyu nampa asilimia 20 za kutoboa na anaweza kutoboa iwapo tu Mwinyi ataharibu hapo katikati.

Hata hivyo kinyang'anyiro hicho kitanogeshwa na watu wafuatao;
1. Mwigulu Nchemba
Huyu anautamani sana urais toka 2015

2. January Makamba
Huyu toka aambiwe na marehemu Ruge kuwa anastahili kuwa rais basi muda wote anakiwaza cheo hicho na anafanya kila kinachowezekana kukipata cheo hicho.

3. Samia Suluhu
Huyu anaweza kuingia ili kujaribu bahati yake huku akitegemea sapoti kubwa kutoka kwa akina mama.

4. Bernard Membe
Huyu hisia zangu zinanituma kuwa aturudi kundini (CCM) kisha atajitosa kwenye ulingo.

5. Orodha itakuwa ndugu zaidi, si ajabu hata akina Makonda wakajitosa

Mwisho:
- Upinzani sijauweka kwasababu kwa hali ilivyo sidhani kama unaweza kutoboa.

- Lolote linaweza kutokea, anaweza kuja mtu asiyetarajiwa kabisa.

- Haya ni mawazo yangu binafsi, mi ni mfuatiliaji wa siasa zetu japo sina chama.

* Nawatakieni majukumu mena.
Hakuna hata mmoja hapo
 
Kuna wengine itabidi watumie piko kichwani Ili wafike vigezo.
 
CCM mshaifanya hii nchi yenu eeee !! mnaanza kufikiri kugawana vyeo badala ya kuwaletea wananchi maendeleo!!
 
Kwanza poleni na majukumu, pia poleni na misiba ya wazee wetu, misiba ambayo inahisiwa ama kuhusishwa moja kwa moja na Covid19. Ama hakika ugonjwa huu upo hivyo tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.

Turudi kwenye mada

Inasemekana sasa hivi kambi mbalimbali tayari ziko kazini kuhakikisha hazifanyi kosa na mtu wao anapenya na kuwa rais wa awamu ya sita. Harakati hizi zinaendeshwa kwa usiri sana ili kuhakikisha mkubwa hastuki hasa ukizingatia kwamba jamaa hataki makundi kwani anaamini kuwa kwa namna moja ama nyingine yataharibu utendaji kazi wa serikali.

Watu wenyewe naowapa karata yangu ni hawa:

1. Hussein Mwinyi
Sababu;
a) Hana makundi
b) Anafanya kazi zake kwa umakini mkubwa toka akiwa waziri wa ulinzi mpaka sasa ambapo ni rais wa Zanzibar
c) Ana uhusiano mzuri marais wote wastaafu walio hai na pia zinaiva na rais aliyeko madarakani. Huyu nampa asilimia 80 za kutoboa.

2. Kassim Majaliwa
Sababu;
a) Anaendana kihulka na rais aliyeko madarakani
b) Anajitahidi kufanya kazi kwa bidii na hilo limetokea kuwavutia baadhi ya Watanzania.
Huyu nampa asilimia 20 za kutoboa na anaweza kutoboa iwapo tu Mwinyi ataharibu hapo katikati.

Hata hivyo kinyang'anyiro hicho kitanogeshwa na watu wafuatao;
1. Mwigulu Nchemba
Huyu anautamani sana urais toka 2015

2. January Makamba
Huyu toka aambiwe na marehemu Ruge kuwa anastahili kuwa rais basi muda wote anakiwaza cheo hicho na anafanya kila kinachowezekana kukipata cheo hicho.

3. Samia Suluhu
Huyu anaweza kuingia ili kujaribu bahati yake huku akitegemea sapoti kubwa kutoka kwa akina mama.

4. Bernard Membe
Huyu hisia zangu zinanituma kuwa aturudi kundini (CCM) kisha atajitosa kwenye ulingo.

5. Orodha itakuwa kubwa zaidi, si ajabu hata akina Makonda wakajitosa

Mwisho:
- Upinzani sijauweka kwasababu kwa hali ilivyo sidhani kama unaweza kutoboa.

- Lolote linaweza kutokea, anaweza kuja mtu asiyetarajiwa kabisa.

- Haya ni mawazo yangu binafsi, mi ni mfuatiliaji wa siasa zetu japo sina chama.

* Nawatakieni majukumu mena.
Mnadhani nchi ya bau yenu hii
 
Back
Top Bottom