Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio hujaeleweka. Umeuliza as if tunazijua sifa za kila mmoja kwenye hao uliowataja. Anyway, orodhesha sifa za kila mmoja watu wang'amue yupi anaekufaaHujui namaanisha nini kazi kihere here kaa aisha wa buza
Siwezi wamekuwa sana na mambo sio mazuri kweli nanikila mtuMtanzania
Sawa ila ni ngumuWewe ndio hujaeleweka. Umeuliza as if tunazijua sifa za kila mmoja kwenye hao uliowataja. Anyway, orodhesha sifa za kila mmoja watu wang'amue yupi anaekufaa
Naona walio wahi kuolewa nao wameanza kukujibuKuolewa na hawa wafuatao,
A. Muarabu
B.Mzungu
C.Mchina
D. Mkongo
E. Muhindi
F. Mkenya
G. Mmalawi
H. Uganda
Kwa uzoefu wenu yupo ni tiki?? Atakuwa mvumilivu, muelewa , anajali, anatunza , anatambua familia yake .
Kivp?Sawa ila ni ngumu
Kwa mwampopoWa kanisa gani?
Ngese sana wewe yani sisi tumeolewa 😅Naona walio wahi kuolewa nao wameanza kukujibu
Watampa majibu lakini hayatokuwa sahihi kwa upande wake. Licha ya utaifa wa mtu ila kila mmoja ana sifa na tabia binafsi. Watakaosema wameolewa na mwarabu haitamaanisha itakuwa applicable kwake pia sababu sifa za mwarabu tajwa hazitakuwa sawa na za mwarabu wakeWalio wahi kuolewa nao watakujibu
Hivi we bibie,huwa uko timamu kweli?
Hakuna mtz ??
ila mdada unaonekana uko desparate sana kiasi kwamba unaishi kwa imagination et bwana mchina khaaa!!!!...
Kuna waya umenyofokaHivi we bibie,huwa uko timamu kweli?
😁😁😁😁Kuna muhuni aliuza file lake kasema huyu sio xx ni xyIla huyu nae huwa anakitembeza...😅
Kuolewa na hawa wafuatao,
A. Muarabu
B.Mzungu
C.Mchina
D. Mkongo
E. Muhindi
F. Mkenya
G. Mmalawi
H. Uganda
Kwa uzoefu wenu yupo ni tiki?? Atakuwa mvumilivu, muelewa , anajali, anatunza , anatambua familia yake .
Dah..umenifanya nicheke kitanzania🤣🤣.Ngese sana wewe yani sisi tumeolewa 😅
Anakitembeza ki nini?Ila huyu nae huwa anakitembeza...😅