Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyuki wa mashineni😃😃😃Unique Flower ukiniacha ninunulie na jeneza mama unizike
Ukweli hapana sio woteKwa haraka haraka hao watu nane wote umeshatembea nao kwahiyo hapa unatafuta tu confirmation uondoke na nani moja kwa moja kati ya hao
Njoo nikung'ate😂Nyuki wa mashineni😃😃😃
Eh alikuja kujenga ghorofa la serikali 2015 alikuwa msimamizi so tulipendana tukapotezana mawasiliano so mwanzo wa mwezi huu nikamwona tena facebook ila bado hajaoaHakuna mtz ??
ila mdada unaonekana uko desparate sana kiasi kwamba unaishi kwa imagination et bwana mchina khaaa!!!!...
Wote hawa wanakumiliki mrembo?😅😅Kuolewa na hawa wafuatao,
A. Muarabu
B.Mzungu
C.Mchina
D. Mkongo
E. Muhindi
F. Mkenya
G. Mmalawi
H. Uganda
Kwa uzoefu wenu yupo ni tiki?? Atakuwa mvumilivu, muelewa , anajali, anatunza , anatambua familia yake .
Sio wote badhiiWote hawa wanakumiliki mrembo?😅😅
Ngoja nikupigie debe kwa da yunikiNjoo nikung'ate😂
Mwaya hapo ninaowajua ni 3 hao wengine siwezi sema kweli ila 3 ndio atleast nawajua tabiaNgoja nikupigie debe kwa da yuniki
Kina nani hao, nikuchagulie mmoja 🤗Mwaya hapo ninaowajua ni 3 hao wengine siwezi sema kweli ila 3 ndio atleast nawajua tabia
Mkenya , Mmalawi na MchinaKina nani hao, nikuchagulie mmoja 🤗
Hapo baki na mkenya,, au tabia zake unaona hazitakufaa🤔Mkenya , Mmalawi na Mchina
Sio mmbaya nashukuru kwa uchaguzi saa hihiHapo baki na mkenya,, au tabia zake unaona hazitakufaa🤔
Je wewe ??Naona walio wahi kuolewa nao wameanza kukujibu
Unakaribishwa sana kipenzi 😊🤗Sio mmbaya nashukuru kwa uchaguzi saa hihi
Mimi nasubiri nikubebe begani.Je wewe ??
Wewe nae maada ya kuolewa kila siku ....kwani una sugu ?Kuolewa na hawa wafuatao,
A. Muarabu
B.Mzungu
C.Mchina
D. Mkongo
E. Muhindi
F. Mkenya
G. Mmalawi
H. Uganda
Kwa uzoefu wenu yupo ni tiki?? Atakuwa mvumilivu, muelewa , anajali, anatunza , anatambua familia yake .