Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezakuwa kweli .... Ila sina hakika kwamba kuna mdangaji mwenye utimamu wakutumia nakuanzisha thread JFWe unaonyesh kabisa ni mdangaji Pro max ........
Kwani wote hao wamekutongoza uchumba? Au wewe ndio umepanga kumtokea mmojawapo ukishapata ushauriKuolewa na hawa wafuatao,
A. Muarabu
B.Mzungu
C.Mchina
D. Mkongo
E. Muhindi
F. Mkenya
G. Mmalawi
H. Uganda
Kwa uzoefu wenu yupo ni tiki?? Atakuwa mvumilivu, muelewa , anajali, anatunza , anatambua familia yake .
well said mkuuAngalia mwenye upendo, kwasababu hakuna mwanaume alie ambiwa akamfae mwanamke.
Kazi ya mwanaume ni kumpenda mwanamke wake, na kazi ya mwanamke ni kumtii mwanaume wake.
End of the story....😊
Kwamba kuzama topeni ruksa !!!!...[emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna muhuni aliuza file lake kasema huyu sio xx ni xy
Kuna haw watatu ndio nimewapata ila hao wengine nimeongeza ili nione wazo lenu nani atashinda kindaki ndaki ila kwa ushauri mzuri niliupata janaKwani wote hao wamekutongoza uchumba? Au wewe ndio umepanga kumtokea mmojawapo ukishapata ushauri
Katika wote hao;Kuna haw watatu ndio nimewapata ila hao wengine nimeongeza ili nione wazo lenu nani atashinda kindaki ndaki ila kwa ushauri mzuri niliupata jana
Swali wewe umekula chumvi nyingi wanawake hukubali kuolewa na wanaume zao wamependa nini??Katika wote hao;
..nani mtamu kuliko wote?
..nani anakuhonga kuliko wote?
..nani anakupenda kuliko wote?
Upi huo?Kuna haw watatu ndio nimewapata ila hao wengine nimeongeza ili nione wazo lenu nani atashinda kindaki ndaki ila kwa ushauri mzuri niliupata jana
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna mtz ??
ila mdada unaonekana uko desparate sana kiasi kwamba unaishi kwa imagination et bwana mchina khaaa!!!!...