Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 1,540
- 7,973
Kwa sasa chukulia makundi haya mawili, kundi la kwanza ukiwaweka watu wa aina ya Kitenge, Mwijaku, Baba Levo na mwanasiasa mmoja, na kundi la pili ukawaweka wasomi wenye digirii na ambao hawajibia mitihani au kununua vyeti watatu tena wenye HIGH CLASS za vyuo vikuu nchini.
Je, kundi gani kati ya hayo mawili kwa sasa yana pesa, yanakula maisha ya kitajiri na ya kifahari? Kundi ambalo linaweza kununua gari kwa cash milioni 500 kama tano, au kujenga nyumba ya Bilioni 1..
Je kwa sasa elimu muhimu ni wewe kujua kusoma na kuandika tu?
Je "connection" ndio kila kitu?
Je, kundi gani kati ya hayo mawili kwa sasa yana pesa, yanakula maisha ya kitajiri na ya kifahari? Kundi ambalo linaweza kununua gari kwa cash milioni 500 kama tano, au kujenga nyumba ya Bilioni 1..
Je kwa sasa elimu muhimu ni wewe kujua kusoma na kuandika tu?
Je "connection" ndio kila kitu?