Kati ya haya makundi mawili, ni nani anakula maisha ya kifahari na kitajiri?

Kati ya haya makundi mawili, ni nani anakula maisha ya kifahari na kitajiri?

Yaani unatumia smartphone halafu unauliza
"Kwa sasa Elimu Muhimu ni Kujua kusoma na kuandika?"

Hapana, Dunia bado inahitaji watu ambao watasoma na watajua vitu zaidi ya kusoma na kuandika.

Dunia bado inahitaji wataalamu wa nyanja mbalimbali.

Ili hao unawaona wamefanikiwa waweze kuonekana kwenye runinga au smartphone yako.
Kuna wataalamu nyuma wamefanikisha hilo.
 
Ndio maana vijana mnapasuliwa yai kindezi kwa kuendekeza tamaa na kutaka kuishi maisha wanayoish kina Mwijaku.

Ni ajabu na aibu sana kua na kizazi cha wasomi kama mleta uzi.
Mimi hata unilipe aje siwezi kua vile walivyo hao jamaa.

Hao kina Mwijaku ukiachana na kulipwa pia ndivyo walivyo, kina Baba levo huo uongeaji ndivyo walivyo toka kitambo. Hapo ni kama wamepata gape kupitia huo uongeaji wao.

Ni sawa na wengine wenye vipaji mbalimbali, wanatengeneza pesa katika namna ambayo wewe unaona ni rahisi na elimu haina maana.

Okay, usisome utaweza kua chawa?? Kilamba miguu wenye fedha, kugalagala miguuni kwa wenye ukwasi kila siku ili upate kitu??

Somesha wanao, na sio kila mtu atakua tajiri kama Mo lakini pia sio wote eanautaka utajiri wa namna hiyo, makinika kijana usije kua unahangaika na kitu usichohitaji.
 
Kwahio mkuu hawa watoto wetu tukae nao na tuwape hizo option mbili na matokeo yake wachague waende wapi, kuliko kuwapa matumain hewa kwamba watafanikiwa sana kiuchumi na kipesa maishan tena hapa tanzania kwa kupata high class chuo kikuu
Unazungumzia mafanikio ama utajiri?
 
Yaani unatumia smartphone halafu unauliza
"Kwa sasa Elimu Muhimu ni Kujua kusoma na kuandika?"

Hapana, Dunia bado inahitaji watu ambao watasoma na watajua vitu zaidi ya kusoma na kuandika.

Dunia bado inahitaji wataalamu wa nyanja mbalimbali.

Ili hao unawaona wamefanikiwa waweze kuonekana kwenye runinga au smartphone yako.
Kuna wataalamu nyuma wamefanikisha hilo.
Mazingira na maisha ya kitanzania kwa nchi ya tanzania kwenye nyanja ya uchumi, elimu, na biashara ndivyo vinaongelewa hapa,
 
Class ni wastage of time kwa kulingana na mada hii husika
Tukutane 2035 mkuu na hawa waliotajwa uwaangalie, then ulinganishe na aliyeenda shule kwa maana ya shule. Don't be myopic!
 
Kwa sasa chukulia makundi haya mawili, kundi la kwanza ukiwaweka watu wa aina ya kitenge, mwijaku, baba levo na mwanasiasa mmoja, na kundi la pili ukawawweka wasomi wenye digirii na ambao hawajibia mitihani au kununua vyeti watatu tena wenye HIGH CLASS za vyuo vikuu nchini.

Je kundi gani kati ya hayo mawili kwa sasa yana pesa, yanakula maisha ya kitajiri na ya kifahari? Kundi ambalo linaweza kununua gari kwa cash milioni 500 kama tano, au kujenga nyumba ya Bilioni 1..

Je kwa sasa elimu muhimu ni wewe kujua kusoma na kuandika tu?

Je "connection" ndio kila kitu?

Dogo acha kufanisha wasomi na vitu vya ajabu ajabu...
 
Aigle Mleta mada, naomba nije Chemba tutete kuhusu waganga na utajiri
Naona umegusia eneo lenye confounders kubwa kwa matajili aliowataja. Yeye mtoa mada kagusia uchawa etc, lakini kasahahu eneo kubwa linalowawezesha hawa aliowataja. Fuatilia habari zao nyuma ya kapeti ndipo utajua utajiri wao sio wa kawaida, sio utajili huru wa msomi unayemtaja kwenye habari. Ukijua ulimwengu wa giza ulivyotamalaki hasa kwa vijana hawa wachakalikaji kwani ndio target ya haya makanisa/madhabahu ya kishetani.
 
Umuhimu wa elimu utaendelea kuwepo mpaka mwisho wa Dunia,
Hayo magari wanayoyanunua na hizo Nyumba wanazojenga,ni matokeo ya watu wenye elimu,nyumba haijengwi kienyeji wala tech ya magari haijavumbuliwa au kuendelezwa na wasio na elimu,
Simu wanazotumia kuwaonyesha nyinyi kua wana maisha mazuri,ni matokeo ya elimu.
 
Umuhimu wa elimu utaendelea kuwepo mpaka mwisho wa Dunia,
Hayo magari wanayoyanunua na hizo Nyumba wanazojenga,ni matokeo ya watu wenye elimu,nyumba haijengwi kienyeji wala tech ya magari haijavumbuliwa au kuendelezwa na wasio na elimu,
Simu wanazotumia kuwaonyesha nyinyi kua wana maisha mazuri,ni matokeo ya elimu.
Ila mkuu ndio watumie vilaza sasa😭😭
 
We jamaa una uwezo mzuri na mkubwa sana kifikra. Sikufichi nakukubaligi sana! Na huwa nafuatilia sana michango yako humu. I bet haupo bongo, au kama upo una Exposure kubwa sana! Katika nyanja zote.

Mwenyezi mungu akubariki na akulinde.
Umuhimu wa elimu utaendelea kuwepo mpaka mwisho wa Dunia,
Hayo magari wanayoyanunua na hizo Nyumba wanazojenga,ni matokeo ya watu wenye elimu,nyumba haijengwi kienyeji wala tech ya magari haijavumbuliwa au kuendelezwa na wasio na elimu,
Simu wanazotumia kuwaonyesha nyinyi kua wana maisha mazuri,ni matokeo ya elimu.
 
We jamaa una uwezo mzuri na mkubwa sana kifikra. Sikufichi nakukubaligi sana! Na huwa nafuatilia sana michango yako humu. I bet haupo bongo, au kama upo una Exposure kubwa sana! Katika nyanja zote.

Mwenyezi mungu akubariki na akulinde.
Thx Mkuu,

Tupo pamoja mkuu,Mwenyezi Mungu atubariki na kutulinda wana JF wote kwa ujumla.
 
Tukutane 2035 mkuu na hawa waliotajwa uwaangalie, then ulinganishe na aliyeenda shule kwa maana ya shule. Don't be myopic!
Mmoja mwenye mavyeti atakua hata vyeti hajui vipo wapi, yuko kibarazani, kwenye nyumba aliyojenga kwa jasho na mikopo, na gari ya IST iliyochoka ...wengine pesa walizopata nyingi bila idadi wanazozificha offshores watakua visiwa vya ibiza kwenye upepo na warembo huku wakiwa wamewekeza kwenye big generational businesses
 
Back
Top Bottom